Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Kama pua ya umbwa sio?Hao wanawake waliotulia Mara nyingi wanakuwaga introverts.Yaani wapo Kama hawapo hivi.
Sasa mwanaume gani atatamani kuishi na mwanamke asiye mchangamfu,yaani kapoa sijui Kama Nini.
Jiamini mkuu, kikubwa awe ni ke tu maswala ya uzuri na muonekano wake usikutishe.Unakuta mdada mzuri hakazii kbs ukiangalia muonekano kuanzia uso kifua tumbo paja mpaka tacall yupo vzr kitabia sio haba mpaka unajiuliza huyu kakosa nn mpaka anakuja kwangu?
😂 kiranga bhanaUsawa huu inawezekana kutokuwa na mtu ndiyo bahati yenyewe.
Mi nataka utulivu sheikhJiamini mkuu, kikubwa awe ni ke tu maswala ya uzuri na muonekano wake usikutishe.
KwendaaaAnaruruka❌
Anaruka✅
Unaniambia kwenda halafu baadae uniite kimahaba nitakumwagia majiKwendaaa
Duh utamwaga mengi au kidogo maana babe nataka nikikupelekea moto umwage majiUnaniambia kwenda halafu baadae uniite kimahaba nitakumwagia maji
angalia na umri uliomkuta akiwa ametulia.Kuna wadada wazuri tu wametulia lakini hawana bahati ya kupata wachumba, in short wana uhaba wa kupendwa.
Inafika wakati wanakiona wana gundu na kujichanganya kwa liwalo na liwe.
Kuna mmoja nimemuonea huruma sana, mana ametulia af kakutana na mimi nimeshaoa. Sitaki akolee mana sina malengo nae yoyote.
Ni hivyo tu kuna wadada wawaona warembo unawaogopa kumbe wana uhaba wa kupendwa
Umeshaniudhi🥸Duh utamwaga mengi au kidogo maana babe nataka nikikupelekea moto umwage maji
Lo siento mi amorUmeshaniudhi🥸
Kilugha gani hichoLo siento mi amor
Nifungulie nije nikufundisheKilugha gani hicho
Dah nakuonea wivu bro maana ghorofa zako unajenga mwenyewe unapandisha utakavyo 🤣Mm nsipogusa ghorofa ya tatu sihangaikii na ndoa
Endelea kusubiriNifungulie nije nikufundishe
Ruka ruka tu kama popcorn kuna siku ntakudakaEndelea kusubiri
Npe namba ykeKuna wadada wazuri tu wametulia lakini hawana bahati ya kupata wachumba, in short wana uhaba wa kupendwa.
Inafika wakati wanakiona wana gundu na kujichanganya kwa liwalo na liwe.
Kuna mmoja nimemuonea huruma sana, mana ametulia af kakutana na mimi nimeshaoa. Sitaki akolee mana sina malengo nae yoyote.
Ni hivyo tu kuna wadada wawaona warembo unawaogopa kumbe wana uhaba wa kupendwa
Umechelewa mwaya!Ruka ruka tu kama popcorn kuna siku ntakudaka
Toka hapa The Stress ChallengerrUmechelewa mwaya!
Ungewahi kipindi sijui mitaa ya jf, ila sasa namjua kila mtu na tabia yake
Kunidaka huwezi🤸