Vipi Mdau, Ukiona sign gani kwenye mahusiano ya kimapenzi unajua hapa hatufiki mbali?

Nikiombwa savana na 'tuma na ya kutolea'
 
Sorry, hilo jina we ni Ke au Shoga?
 
Mi nikiona mwanamke anaombaomba hela nikishamla maramoja tu naanza kumpotezea akipiga simu sipokei, akiandika sms sijibu, niwa na upwiru namtafuta nampa hela namla siku nikimchoka analamba block natafuta mwingine. Sitaki wanaojiuza mie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…