Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Ndio zao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndiyo hivyo, ujanja utasikia eti wanapenda vipande vipande [emoji23][emoji23] sasa aliyewadanganya mwanamke yeye anapenda vizima vizima nani? Wao wakigeuziwa vibao haraka sana kutafuta panga haa haaa
Ule uzi wa chai tu πππ af inaonesha mnauchukia sana hamtiagi mguu kabisa!Acheni uongo..
Kila siku mpo kwenye Uzi wa kimasikhara halafu mnasema ni waaminifu.
Hata kea mwanamke ni hivyohivyo, Mwanaume mjanja mjanja hapaswi kufanyiwa vile..
Nyie hampo Kama yule mwanaume wa lile tangazo,kwahiyo kumtaka mwanamke wa vile ni ndoto zenu za kusadikika.
Kamanda ni mmoja tu chomboni! Uliona wapi makamanda wawili?Ndiyo hivyo, ujanja utasikia eti wanapenda vipande vipande [emoji23][emoji23] sasa aliyewadanganya mwanamke yeye anapenda vizima vizima nani? Wao wakigeuziwa vibao haraka sana kutafuta panga haa haaa
Kweli eee [emoji23][emoji23][emoji23] kama hajatulia anasaidiwa tu kama kawaidaKamanda ni mmoja tu chomboni! Uliona wapi makamanda wawili?
Kumbe mnajua haaa haaaMwanamke kamzidi akili jamaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kapigwa diko la mbau af kasokotwa kwa buku 4
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]Wanawake hawa sio mchezo...Jaribu kwa mkeo uone [emoji23][emoji23][emoji23]
Haaaa kumbe si msosi tu mnaangalia na hips [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bado safari ndefu sana
Mbona majungu sasa, sio wote kunguru bana. Mie nikiwa nahela nakula na wife hadi zikiisha then yeye ndio anaanza vichambo tena nikifulia πππ!!!Wao wanachokifanya akiwa na pesa anakuwa kunguru asiye fugika na siku akifulia anakuwa njiwa [emoji23][emoji23]
Waguswe wao sasa wanavyo toaga macho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio zao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Miezi miwili kwa nywele anazosuka zile ingekuwa ngumu, yule katupiga kunga bana πππAlikuwa anasave kila wiki elfu nne, assume alisave kwa miezi miwili
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Mimi na TV ni vitu viwili tofauti. Sikumbuki mara ya mwisho kuangalia taarifa ya habari ni lini. Habari nazipata zaidi humu JF. Ila kuna mwamba kaliweka nimedownload kabisa.Mkuu kwani huangaliagi hata taarifa ya habari hapo kwako? Habari haiishagi bila lile tangazo kuoneshwa tena ni zaidi ya mara moja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huwezi sema hapa ni kimya kimya tu kama nyau vileMbona majungu sasa, sio wote kunguru bana. Mie nikiwa nahela nakula na wife hadi zikiisha then yeye ndio anaanza vichambo tena nikifulia [emoji23][emoji23][emoji23]!!!
Unazungumziaje hilo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe ndiyo maana hampendi tukajinunulie wenyewe vitu vizuri haaΓ haaaMiezi miwili kwa nywele anazosuka zile ingekuwa ngumu, yule katupiga kunga bana [emoji23][emoji23][emoji23]
Eeh mkuu, nilitaka nikutag kama ushalipata freshi!Duh! Mimi na TV ni vitu viwili tofauti. Sikumbuki mara ya mwisho kuangalia taarifa ya habari ni lini. Habari nazipata zaidi humu JF. Ila kuna mwamba kaliweka nimedownload kabisa.