kitundu
Member
- May 28, 2011
- 63
- 32
Mara ya kwanza nilipanda emirate dar-dubai-narita.
Ile kuingia tu ndan ya ndege pale dar tukapewa vitambaa vyenye kias fulan cha ubichi ili kufurta mikono. Baada ya kutambua (off course nilipiga chabo kwa jiran) ni vya kufutia mikono nusura nihifadhi mfukon nikijua ndo kimekua changu.
Nashukuru air hostess mwingine aliwahi kupita kukusanya vinginevyo ilikua aibu yangu
Ile kuingia tu ndan ya ndege pale dar tukapewa vitambaa vyenye kias fulan cha ubichi ili kufurta mikono. Baada ya kutambua (off course nilipiga chabo kwa jiran) ni vya kufutia mikono nusura nihifadhi mfukon nikijua ndo kimekua changu.
Nashukuru air hostess mwingine aliwahi kupita kukusanya vinginevyo ilikua aibu yangu