Mkunde Original
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 807
- 647
Daaah niko ofisini, yaani bosi wangu yuko pembeni ila haoni nafanya nini mezani kwangu, yaani nimesoma thread yote nilikuwa nachekea tumboni, ila kuna mda kule kujibana kisauti kikatoka ikabidi nijikaushe na kakikohozi nikijifanya ni kikohozi kimenishika, hahahahaaaaa mmenichekesha mnoo wachangiaji wa hii mada.
Mie bana mara ya kwanza kupanda pipa ilikuwa wakati niko mdogo hata darasa la kwanza sijanza, tulienda Moshi kulikuwa na msiba ilikuwa air Tanzania ilikuwa na giza mnoo na hakukuwa na A/C sina memory nayo sana ila sikuona tofauti yoyote na ussafiri mwingine labda kwakuwa nilikuwa mtoto.
Nilipata sarafi nyingine nje ya nchi na mzazi wangu alienda kikazi, ilikuwa tunaenda Italy kwanza tuliachwa na ndege mara ya kwanza, tulichukua taxi kumbe ahikuwa na mafuta kufika njiani ikazima wakati huo hadi kupata taxi nyingine na ilikuwa alfajiri saa kumi na moja hivyo kufika airport ndege ishaondoka saa nyingi na safari ikasogezewa hadi wiki iliyofuata ndo tukafanikiwa kuondoaka.
Kwenye ndege ilikuwa KLM tulihudumiwa vizuri sasa nikapewa walkman (viredio vidogo ambavyo unaplay casset unasikiliza mziki na headphones zake) Mie kupewa ile baada ya kupewa msosi nilianza kusikiliza hadi usiku watu wanalala mama ananiambia lala mie namwambia sina usingizi nikajifanya nunda bana nikakesha nasikiliza mziki. Ile kufika alfajiri ndo macabin crew wanapita kuwapa watu vitafunwa kabla ya kushuka looh mie lepe la usingizi na mama kufikiria kunibeba mie, na mizigo aliyonayo nilikula makwenzi hayo hadi usingizi ukaisha hheheheheheheee.
Tulipofika Italy nyumba tuliyofikia ilikuwa toilet wametenga sinki za haja ndogo na za haja kubwa. Mie na akili zangu za utoto pamoja na kuwa mama alishanipa melekezi jinsi ya kutumia nikabanwa na kubwa na ndogo sasa nikasema wacha nipige nikae kwenye sinki la ndogo kisha nikimaliza ndogo nahamia sinki la kubwa kisha naflash. Weeh ile nakaa namalizia haja ndogo si ikaunganisha na kubwa hapohapo, sasa ile sinki ya haja ndogo inakachujio kama ka chai ukiflash kubwa inabaki palepale weeeh jasho lilintoka na maza alikuwa makali balaa....
Usitake kujua nilisolve vipi hilo tatizo maana nilikaa huko toileta kwa masaa mawili looh sitakaa nisahau. Hizi safari za ukubwani zilianza wakati naenda dubei ilikuwa poa kwani nilikuwa na mwenyeji then hizi za kikazi za nchini na nairobi wala hazijanipa shida thanks kwa muanzisha mada looh!!!
U made my day.
Mie bana mara ya kwanza kupanda pipa ilikuwa wakati niko mdogo hata darasa la kwanza sijanza, tulienda Moshi kulikuwa na msiba ilikuwa air Tanzania ilikuwa na giza mnoo na hakukuwa na A/C sina memory nayo sana ila sikuona tofauti yoyote na ussafiri mwingine labda kwakuwa nilikuwa mtoto.
Nilipata sarafi nyingine nje ya nchi na mzazi wangu alienda kikazi, ilikuwa tunaenda Italy kwanza tuliachwa na ndege mara ya kwanza, tulichukua taxi kumbe ahikuwa na mafuta kufika njiani ikazima wakati huo hadi kupata taxi nyingine na ilikuwa alfajiri saa kumi na moja hivyo kufika airport ndege ishaondoka saa nyingi na safari ikasogezewa hadi wiki iliyofuata ndo tukafanikiwa kuondoaka.
Kwenye ndege ilikuwa KLM tulihudumiwa vizuri sasa nikapewa walkman (viredio vidogo ambavyo unaplay casset unasikiliza mziki na headphones zake) Mie kupewa ile baada ya kupewa msosi nilianza kusikiliza hadi usiku watu wanalala mama ananiambia lala mie namwambia sina usingizi nikajifanya nunda bana nikakesha nasikiliza mziki. Ile kufika alfajiri ndo macabin crew wanapita kuwapa watu vitafunwa kabla ya kushuka looh mie lepe la usingizi na mama kufikiria kunibeba mie, na mizigo aliyonayo nilikula makwenzi hayo hadi usingizi ukaisha hheheheheheheee.
Tulipofika Italy nyumba tuliyofikia ilikuwa toilet wametenga sinki za haja ndogo na za haja kubwa. Mie na akili zangu za utoto pamoja na kuwa mama alishanipa melekezi jinsi ya kutumia nikabanwa na kubwa na ndogo sasa nikasema wacha nipige nikae kwenye sinki la ndogo kisha nikimaliza ndogo nahamia sinki la kubwa kisha naflash. Weeh ile nakaa namalizia haja ndogo si ikaunganisha na kubwa hapohapo, sasa ile sinki ya haja ndogo inakachujio kama ka chai ukiflash kubwa inabaki palepale weeeh jasho lilintoka na maza alikuwa makali balaa....
Usitake kujua nilisolve vipi hilo tatizo maana nilikaa huko toileta kwa masaa mawili looh sitakaa nisahau. Hizi safari za ukubwani zilianza wakati naenda dubei ilikuwa poa kwani nilikuwa na mwenyeji then hizi za kikazi za nchini na nairobi wala hazijanipa shida thanks kwa muanzisha mada looh!!!
U made my day.