Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

salute kwako kaka nimecheka sanaa aiseee 😂😂😊
 

Nimecheka had kulia..dah
 
Hv Emirates ishawahi kupiga nyama Chini?
Mkuu acha nuksi EK ndio usafiri wangu ingawa nilikuwa siipendi, mpaka ATC itakapoanza kuruka nje ya nchi. December nilipiga katrip Dubai na Boeing 747-300-ER, hili dude ni kubwa kasheshe mkifika Dubai inabidi lizunguke kidogo kabla ya kutua maana kuna traffic,basi hapo mara limekata kushoto mara limekata kulia unaona dunia chini inapanda na kushuka na ule mji ulivyokuwa mzuri unaona mistari ya taa tu!
 
EK mzinga wa ndege huduma kama zote.
DUBAI /Dubei/ mkiingia usiku hadi raha. Enzi za Mkwere tunaenda Ijumaa tunarudi jumapili Bongo. Mihela ilikuwa ina-flow tu. Mademu unajiokotea bila kuongea saaana
 
Nahisi Emirates siku hizi wanakula hasara asee enzi zile mnakutana halmashauri kama zote ndani ya pipa yaan mnaweza kufanya kikao Humo Humo kwenye ndege. Yaan ilikuwa ni kuvuna tu midola ya posho safari za ughaibuni
 
Nahisi Emirates siku hizi wanakula hasara asee enzi zile mnakutana halmashauri kama zote ndani ya pipa yaan mnaweza kufanya kikao Humo Humo kwenye ndege. Yaan ilikuwa ni kuvuna tu midola ya posho safari za ughaibuni
Ha ha ha mnafanya vikao vya quarter na kufunga kikao... Umenichekesha sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…