baada ya gradu yangu
chuo.Tukarudi mkoa na maza.
Fastjet ndo imeanza.Nı mara yetu
ya kwanza wote.
1. Mama anataka kukaa akakuta juu
ya siti sehemu ya mizgo kuna mtu
kashaweka wake.Akatia,"wee
kondaa,we kondaa wéeh,hebu
njoo kwanza"
2. Nikajaribu kwenda choóni japo
sijabanwa alimradi tu nione pakoje
3.Facebuk page yangu iliomba poo.
Mara checkin in at JKİ Airport. Mara
nitupie picha alimradi kila mtu
ajue.
4. Tulivofika madreva tax wakaanza
kututukana eti "hamna lolote nyie
mtakuwa fastjet tu" hapo kisa ni
baada ya wao wanatugombania sie
hatuna time tunaenda kwny
daladala.
5. Jioni napokea simu toka kwa
mjomba: "ah mjomba nimeamini
ushamba mzigo wa
mwiba".Nkamuuliza kwanini?
Akasema,"leo sina raha. mama
yako kutwa nzima anantambia
kwny simu kisa kapanda ndege"