Kuna baadhi ya threads humu zilitabiri majanga naona kete zimeanza kuliwaHata kabla ya kifo cha Jiwe, walianza kufa washkaj zake wa karibu akina Kijazi. Sijui nilitaka kusemaje kuhusu mstaafu mashuhuri?
WHO wametangaza kwamba Uviko 19 sio janga linalotishia maisha tena Kwa sababu idadi ya vifo imepungua il hawajasema ugonjwa umeisha au kudhibitiwa sawasaw.Kama Covid bado ipo serikali itahadharishe wananchi, tunapokwenda mahospitali tunakuta madaktari na manesi wamevaa barakoa sasa hili la.leo ndio linanipa mwanga kwamba wenzetu wa sekta ya fya bado wanajilinda ila wananchi wamerelax
Dr wake amesema hajawahi kuwa na historia ya magonjwa tajwa hapo Juu ,kikubwa alichosema ni shida ya hewa kwenye mapafu.Dhambi pia huja kwa hisia nyepesi za kibinaadamu.....
Nani anajua kuwa huenda alikuwa na matatizo ya shinikizo la damu?
Nani anajua kuwa huenda alikuwa na matatizo ya umeme wa moyo?!!
Nani anajua huenda alikuwa na matatizo ya "valves" za moyo?!!!!
Mafua ni ugonjwa wa VIRUSI.....huweza kuua kwa mtu mwenye kinga hafifu za kupambana na magonjwa hususani mtu akiwa na magonjwa mengineyo sugu......
Hivi CORONA si virusi na ambavyo vinasabibisha mafua na kuzibana mbavu?!!?
Tulishangaa CORONA kuua ndugu zetu?!!!?
#SiempreJMT[emoji120]
Corona haijaisha,chukua tahadhari.Aspirin amefanya yake tayari sio bure huu msiba umekuwa gafla sana na Corona oshaisha
Corona.Dr wake amesema hajawahi kuwa na historia ya magonjwa tajwa hapo Juu ,kikubwa alichosema ni shida ya hewa kwenye mapafu.
70 Years it is a gift from above may God keep him in a peace place.Mungu habagui, they kill when away so as to escape doubters, he celebrated the deaths of theirs now it's on his camp lets celebrate the man of 1953 November 9th demise, thank you Lord for his service to this great Nation. It's either now or he keeps torturing us for next 4 decades.
Watu wazuri hawafi hasa wa kambi yao.
Ulilala na mwanamke bila kinga aiku chache zilizopita?Of course Kuna upepo wa mafua makali hata Mimi umenipiga karibu wiki zima Hadi vidonda kwenye pua na homa Juu plus kichwa kuuma sana but nashukuru Mungu nilipona na wala haikuzuia kufanya ishu zangu na sikuwahi kuwaza kwamba ni Uviko 19.
Prof kazingua !! Amejuaje kama ni virus wakati hamna sample imechukuliwa? Hii inaleta taharuki mwa madaktari na manesi waliyomhudumia na waombolezaji ! Je chanjo za covid 19 hakupata?
Sasa hiyo postmortem imefanyika lini mpaka huyu Dk. aje na hiyo conclusion. Hilo tatizo la kuganda damu limejulikana kabla au baada ya kifo.......!!?Nimemsikiliza Daktari wa Familia ya Mzee Membe, ameeleza kitaalam kwamba Membe alikuwa na mafua ya kawaida kwa siku tatu na mwisho kupelekea kifo chake baada ya virus kushambullia mfumo wa damu.
Hawa Virus naamini kama wameweza kufanya damu kuganda hadi kusababisha kifo watakuwa hatari sana na yawezekana awapo kwenye mataifa mengine bali wapo Tanzania.
Napendekeza watoa maamuzi wachukue hatua ya kufanya uchunguzi kuhusu sampuli za virus hao na kuona namna ya kushughulika nao.
Tusipuuze au tufanye kazi kulinda afya zetu
Tujifunze kuishi nao(kwa kauli ya Hayati JPM).Covid imerudi. Ukitaka kujua nenda muhimbili na Bugando.
mkuu umemaliza! Hakuna cha covid wala niniVirusi vinaitwa Sukuma gang
Aaaawaaaapp korona toka bundaCorona haijaisha,chukua tahadhari.
Ila Victoire kuwa serious basi 🤣Tena hapo msibani waumbukizane vizuri.
Umejuaje kwamba "hawapo kwenye mataifa mengine". Daktari alieleza hivyo, au umeona uongeze ya kwako mwenyewe?Nimemsikiliza Daktari wa Familia ya Mzee Membe, ameeleza kitaalam kwamba Membe alikuwa na mafua ya kawaida kwa siku tatu na mwisho kupelekea kifo chake baada ya virus kushambullia mfumo wa damu.
Hawa Virus naamini kama wameweza kufanya damu kuganda hadi kusababisha kifo watakuwa hatari sana na yawezekana awapo kwenye mataifa mengine bali wapo Tanzania.
Napendekeza watoa maamuzi wachukue hatua ya kufanya uchunguzi kuhusu sampuli za virus hao na kuona namna ya kushughulika nao.
Tusipuuze au tufanye kazi kulinda afya zetu
Sasa hapa wewe unajipa ujuaji kuliko huyo Prof. aliyesomea kazi hiyo miaka na miaka?Prof kazingua !! Amejuaje kama ni virus wakati hamna sample imechukuliwa? Hii inaleta taharuki mwa madaktari na manesi waliyomhudumia na waombolezaji ! Je chanjo za covid 19 hakupata?
Ahahahahaha! What goes around, comes around! Ahahahahaha!Nimemsikiliza Daktari wa Familia ya Mzee Membe, ameeleza kitaalam kwamba Membe alikuwa na mafua ya kawaida kwa siku tatu na mwisho kupelekea kifo chake baada ya virus kushambullia mfumo wa damu.
Hawa Virus naamini kama wameweza kufanya damu kuganda hadi kusababisha kifo watakuwa hatari sana na yawezekana awapo kwenye mataifa mengine bali wapo Tanzania.
Napendekeza watoa maamuzi wachukue hatua ya kufanya uchunguzi kuhusu sampuli za virus hao na kuona namna ya kushughulika nao.
Tusipuuze au tufanye kazi kulinda afya zetu