Virus wanaodaiwa kumuua Membe waliondoka na viongozi wengi miaka miwili nyuma. Madaktari wawezeshwe wafanye utafiti, tusipuuze

Virus wanaodaiwa kumuua Membe waliondoka na viongozi wengi miaka miwili nyuma. Madaktari wawezeshwe wafanye utafiti, tusipuuze

Kama Covid bado ipo serikali itahadharishe wananchi, tunapokwenda mahospitali tunakuta madaktari na manesi wamevaa barakoa sasa hili la.leo ndio linanipa mwanga kwamba wenzetu wa sekta ya fya bado wanajilinda ila wananchi wamerelax
WHO wametangaza kwamba Uviko 19 sio janga linalotishia maisha tena Kwa sababu idadi ya vifo imepungua il hawajasema ugonjwa umeisha au kudhibitiwa sawasaw.
 
Dhambi pia huja kwa hisia nyepesi za kibinaadamu.....

Nani anajua kuwa huenda alikuwa na matatizo ya shinikizo la damu?

Nani anajua kuwa huenda alikuwa na matatizo ya umeme wa moyo?!!

Nani anajua huenda alikuwa na matatizo ya "valves" za moyo?!!!!

Mafua ni ugonjwa wa VIRUSI.....huweza kuua kwa mtu mwenye kinga hafifu za kupambana na magonjwa hususani mtu akiwa na magonjwa mengineyo sugu......

Hivi CORONA si virusi na ambavyo vinasabibisha mafua na kuzibana mbavu?!!?

Tulishangaa CORONA kuua ndugu zetu?!!!?

#SiempreJMT[emoji120]
Dr wake amesema hajawahi kuwa na historia ya magonjwa tajwa hapo Juu ,kikubwa alichosema ni shida ya hewa kwenye mapafu.
 
Of course Kuna upepo wa mafua makali hata Mimi umenipiga karibu wiki zima Hadi vidonda kwenye pua na homa Juu plus kichwa kuuma sana but nashukuru Mungu nilipona na wala haikuzuia kufanya ishu zangu na sikuwahi kuwaza kwamba ni Uviko 19.
 
Mungu habagui, they kill when away so as to escape doubters, he celebrated the deaths of theirs now it's on his camp lets celebrate the man of 1953 November 9th demise, thank you Lord for his service to this great Nation. It's either now or he keeps torturing us for next 4 decades.

Watu wazuri hawafi hasa wa kambi yao.
70 Years it is a gift from above may God keep him in a peace place.
 
Of course Kuna upepo wa mafua makali hata Mimi umenipiga karibu wiki zima Hadi vidonda kwenye pua na homa Juu plus kichwa kuuma sana but nashukuru Mungu nilipona na wala haikuzuia kufanya ishu zangu na sikuwahi kuwaza kwamba ni Uviko 19.
Ulilala na mwanamke bila kinga aiku chache zilizopita?
 
Nimemsikiliza Daktari wa Familia ya Mzee Membe, ameeleza kitaalam kwamba Membe alikuwa na mafua ya kawaida kwa siku tatu na mwisho kupelekea kifo chake baada ya virus kushambullia mfumo wa damu.

Hawa Virus naamini kama wameweza kufanya damu kuganda hadi kusababisha kifo watakuwa hatari sana na yawezekana awapo kwenye mataifa mengine bali wapo Tanzania.

Napendekeza watoa maamuzi wachukue hatua ya kufanya uchunguzi kuhusu sampuli za virus hao na kuona namna ya kushughulika nao.

Tusipuuze au tufanye kazi kulinda afya zetu
Sasa hiyo postmortem imefanyika lini mpaka huyu Dk. aje na hiyo conclusion. Hilo tatizo la kuganda damu limejulikana kabla au baada ya kifo.......!!?
 
Nimemsikiliza Daktari wa Familia ya Mzee Membe, ameeleza kitaalam kwamba Membe alikuwa na mafua ya kawaida kwa siku tatu na mwisho kupelekea kifo chake baada ya virus kushambullia mfumo wa damu.

Hawa Virus naamini kama wameweza kufanya damu kuganda hadi kusababisha kifo watakuwa hatari sana na yawezekana awapo kwenye mataifa mengine bali wapo Tanzania.

Napendekeza watoa maamuzi wachukue hatua ya kufanya uchunguzi kuhusu sampuli za virus hao na kuona namna ya kushughulika nao.

Tusipuuze au tufanye kazi kulinda afya zetu
Umejuaje kwamba "hawapo kwenye mataifa mengine". Daktari alieleza hivyo, au umeona uongeze ya kwako mwenyewe?

Hili la Membe naona 'mchawi' na nadharia kemkem zitaundwa na wataalam wa maswala ya aina hii.
 
Daktari amesema kuganda kwa damu kifuani kitaalam inaitwa pulmonary embolism
 
Prof kazingua !! Amejuaje kama ni virus wakati hamna sample imechukuliwa? Hii inaleta taharuki mwa madaktari na manesi waliyomhudumia na waombolezaji ! Je chanjo za covid 19 hakupata?
Sasa hapa wewe unajipa ujuaji kuliko huyo Prof. aliyesomea kazi hiyo miaka na miaka?

Pamoja na kwamba vipimo ni sehemu muhimu ya utambuzi, lakini hujui kwamba dalili nyingine zinazohusu ugoinjwa husika ni sehemu muhimu za utambuzi; wewe unasubiri vipimo tu?
 
Nimemsikiliza Daktari wa Familia ya Mzee Membe, ameeleza kitaalam kwamba Membe alikuwa na mafua ya kawaida kwa siku tatu na mwisho kupelekea kifo chake baada ya virus kushambullia mfumo wa damu.

Hawa Virus naamini kama wameweza kufanya damu kuganda hadi kusababisha kifo watakuwa hatari sana na yawezekana awapo kwenye mataifa mengine bali wapo Tanzania.

Napendekeza watoa maamuzi wachukue hatua ya kufanya uchunguzi kuhusu sampuli za virus hao na kuona namna ya kushughulika nao.

Tusipuuze au tufanye kazi kulinda afya zetu
Ahahahahaha! What goes around, comes around! Ahahahahaha!
 
Back
Top Bottom