Visa na Mikasa vya kusaka kwangu Utajiri toka Kigoma mpaka Kongo

Kama wala kwa kutafuta kitu huwezi ona faida yake, mi nakula kama kiburudisho, yaani hakuna nnachokitafuta zaidi ya burudani naenjoi sana kula K mkuu.
 
πŸ˜€πŸ˜πŸ˜‚
 
Huu ni mkasa wa maisha wa kushangaza niliowahi kuusoma humu jf... Umefunika hadi ule wa jamaa alieenda msumbiji akapewa lupatu dawa ya uchawi. More than a horror movie
 
Usituchangishe bukubuku mdau tupo uchumi wa kati
 
Mamba anameza maji tu vingine lazima avitafune tafune kwanza au avipukutishe viwe vidogo aweze kuvimeza... so kama ni Mtoto lazima amvunje kichwa kwa kukibastisha... hapo Chizi kweli Maalifa sema hadithi njoo uongo njoo utamu kolea
sayansi yako inakuambia hivyo, uswahilini haiko hivyo: mtu afichwa na mamba masaa 24, kisha anamrudisha mwenyewe pwani. Hii ni Ukara na kigoma tu, dont try at home
 
Tafadhali usitafute utajiri kwa kumtesa binadamu! Jitese mwenyewe hata nyakati za mwisho Mungu atakusamehe. Kivipi? Kutokuvaa viatu maishani hata chooni ni pekupeku, kutokulala ndani ya nyumba ya gharama, kutokuwa na mtoto maishani, na mengi kulingana na sangoma wako. Watu hawataki kujitesa ila "kutesa " .
 
nisaidie hiyo ya kujitesa
 
Mamba kagoma kumeza.. 🀣🀣🀣🀣 nawe utakuw ulikuw nachumvi sana bhana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…