Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,973
- 150,463
Uwe unanitagNasubiri part4
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwe unanitagNasubiri part4
Usiajli mpendwa.Uwe unanitag
umenitenga lakiniUsiajli mpendwa.
Sijakutenga Walaumenitenga lakini
Mkuu tunatungiwa tu ili tufurahi akina sis wenye stress zetu. Yan n wachache wanaotoa true story😆😆😆Hivi mkuu Chizi Maarifa mkasa huu ulikutokea kabla ya ule wa wewe kugombea demu na jini au??
Maana kwenye ule uzi ulisema we umekulia sinza na maisha yako yalikuwa mazuri tu na ulikuwa unapush....
Hapa umekulia huko vijijini au mi ndio ambae sielewi vizuri???
Kulikuwa Kuna ule uzi wa jamaa alienda kwa binamu take aliye olewa na mganga,akawa msaidizi wa mganga...
uliendelea, siuoni. Kama una link naomba tafadhari
nioneshe mkuu nakusihi maisha yenyewe mabayaYa Mufindi, nikikuonyesha hiyo ya kujitesa utateseka sana mwisho utanitupia lawama. Hivi hujawahi kuona mtu aliechoka sana lakini ukiambiwa mali zake unashangaa?
mamba wa DarKwamba ulimezwa na mamba kisha akakutema!!
Huyo mamba alikuwa na masihara.
SASA HAPO CHA AJABU NINI JAMANI.?Kwahiyo ulimezwa na mamba alaf ukatemwa?View attachment 1686127
hii ya kutokua na mtoto unapatikana wapTafadhali usitafute utajiri kwa kumtesa binadamu! Jitese mwenyewe hata nyakati za mwisho Mungu atakusamehe. Kivipi? Kutokuvaa viatu maishani hata chooni ni pekupeku, kutokulala ndani ya nyumba ya gharama, kutokuwa na mtoto maishani, na mengi kulingana na sangoma wako. Watu hawataki kujitesa ila "kutesa " .
hahahahahaahaha mpaka mzee wa chura anafurahiaSijakutenga Wala
😂😂😂😂 Hamna bwana..Mambo tu yamekuwa mengihahahahahaahaha mpaka mzee wa chura anafurahia
Acha kumsumbua mchumba wangu!😄😄😄Uwe unanitag
Alikumabia kuwa ujiji hakuna nyumba nzuri ni nani, unafananisha na wapi?Ujiji wanapenda sana ushirikina ndio maana hamna maendeleo watu wanaogopa kujenga nyumba nzuri kisa watarogwa