Visa vya matapeli na watoto wa mjini

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Thubutuuuuu labda sio kwa chamdeko nnaemjua mimi
Hapo akikulegezea jicho kidogo tu mpare lazima utoboke.

Maendeleo hayana chama
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
umenikumbusha mbali, hizo ndio ilikuwa zangu enzi hizo mpaka nilinunua fenicha za ndani kuanzia kitanda, godoro kabati makochi tv nk kwa pesa za kutumiwa nauli hahaha dah!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]wanaume tunaibiwa sana wallah [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Jr[emoji769]
 
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
Ila ilikuaje tena mzee baba, mara ghafla tu tukaona penzi limezima
Mlikua mnaturusha roho ujueee yaani Demiss alikua kama vile amepigwa dafrau mpaka mi nikahisi kuna kitu umemlisha maana sio kwa lile penzi.
Kumbe maskini ya Mungu kaka yetu alikua anaibiwa kibuyu chake.

Maendeleo hayana chama
 
Kuna wengine anajifanya mshamba mshamba halafu anajifanya anamadini hajui pa kwenda kuyauza Hii ni common Ubungo maana huwa anajifanya kashuka hapo
 
Mkuu una dhambi kinoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Teh teh teh lakini ipo siku utanasa Tunduni tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]tuliamua kubadili mbinu na kuhamisha magoli baada ya adui kusoma mchezo

Jr[emoji769]
 
[emoji537][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…