Visa vya matapeli na watoto wa mjini

Visa vya matapeli na watoto wa mjini

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Thubutuuuuu labda sio kwa chamdeko nnaemjua mimi
Hapo akikulegezea jicho kidogo tu mpare lazima utoboke.

Maendeleo hayana chama
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
umenikumbusha mbali, hizo ndio ilikuwa zangu enzi hizo mpaka nilinunua fenicha za ndani kuanzia kitanda, godoro kabati makochi tv nk kwa pesa za kutumiwa nauli hahaha dah!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]wanaume tunaibiwa sana wallah [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Jr[emoji769]
 
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
Ila ilikuaje tena mzee baba, mara ghafla tu tukaona penzi limezima
Mlikua mnaturusha roho ujueee yaani Demiss alikua kama vile amepigwa dafrau mpaka mi nikahisi kuna kitu umemlisha maana sio kwa lile penzi.
Kumbe maskini ya Mungu kaka yetu alikua anaibiwa kibuyu chake.

Maendeleo hayana chama
 
Ukisikia mjini shule, shamba darasa. Jiulize hao waliotunga huo usemi walikuwa na maana gani ama walikutana na masahabu gani!

Akili ya binadamu ni kitu cha kushangaza mno. Kina uwezo wa ajabu hasa pale mtu anapokutana na changamoto mbalimbali. Huko vijijini akili nyingi zimelala kutokana na kukosa changamoto za kimaisha.

Kijijini hata kama huna kazi huna pesa utaishi tu... Sio mjini! Mjini tangu kunapambazuka mpaka kunakuchwa kila kitu ni shekeli. Hakuna cha bure mjini. Lakini vilevile mjini kila mtu anatamani kuishi maisha fulani lakini changamoto ya elimu kipato na ajira ndio kikwazo.

Hivyo basi kuweza kukabiliana na changamoto hizo watu kila uchao hubuni mbinu mpya za kuingiza kipato. Kuanzia utapeli, wizi, ujambazi, kukaba, kurubuni nknk. Kila mmoja wetu hawezi kukosa kisa cha hawa jamaa wanaoishi kwa ujanja ujanja. Nitaaza mimi kwa kusimulia vichache

Kisa cha kwanza
Huyu jamaa yeye hakuwa na kazi maalum. Ila muda wote ni msafi akionekana kama afisa fulani hivi. Siku moja akawa kakosa nauli kabisa ya kurudi nyumbani kwake Tabata na yuko kijitonyama.

Alichofanya ni kuwarubuni wale jamaa wa magari ya majitaka kuwa anataka huduma hiyo Tabata... Wakapatana bei akaenda nao mpaka mtaa wa pili kufika kwake.

Akashuka huku akiwaelekeza uchochoro mmoja kuwa ndio kwake... Akaingia hapo akatokea upande wa pili akasepa mazima.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kisa cha pili.
Ni wale jamaa wanaorubuni watoto kuwanunulia chakula ama chochote. Ataenda na mtoto hapo mahali ataagiza kama ni bidhaa ama chakula.... Kisha atasepa na kumuacha bond mtoto wa watu..

Karibu nawe kabla sijaendelea na visa vingine

Jr[emoji769]
Kuna wengine anajifanya mshamba mshamba halafu anajifanya anamadini hajui pa kwenda kuyauza Hii ni common Ubungo maana huwa anajifanya kashuka hapo
 
Nilimfanyia ushenzi dada mmoja aliyetaka kujifanya yeye ni mtoto wa mjini, baada ya kumtia swaga akaeleweka lakini eti kwa kuwa alikuwa anataka aende kwanza nyumbani kuwapelekea hela, nikamuuliza ulikuwa unataka kupeleka sh ngapi akasema elfu 80 lakini hapo alikuwa ana sh elfu 50 tu so kama nitamuongezea 30 itakuwa vzr.

Nikamwambia asiwe na tatizo nitamwambia kijana wangu wa m pesa awatumie yote elfu 80 wala asiwe na wasiwasi.......basi nikampigia jamaa yangu mmoja hivi ambae kwa kweli akili zake anazijuaga yeye mwenyewe tu nikamuelezea shida yangu akasema haina shida tumtumia hyo namba, mdada akanipa mimi ndo niitume .......basi nikaituma kwa sms kwenda kwa huyo jamaa yangu mwehu mwehu, halafu kwa chini nikaongezea maneno USITUME HELA NI MISSION MAALUM.......baada ya muda tukajisogeza sehemu kupata kilaji, halafu nikampigia tena jamaa yangu nikamwambia ukishatuma elfu 80 kwenye ile namba na mi nitumie elfu 80 jamaa akakubali, nikamwambia kimwali kwamba wakati nasubiri muamala wangu basi tuagize kwa sababu yeye ana ile elfu 50 hela ikitumwa namrudishia.......kweli bana .........tukaanza kukata miti na kupanda miti huku nyama yetu pendwa ya kitimoto ikizidi kuteketea mezani, nikamshawishi tuchukue room akakubali, wakati huo kasahau na kuulizia kwenye ile namba aliyonipa kama imepokea elfu 80 au la.

Room akalipia yeye na nilivomuona alikuwa ana zaidi ya ile elfu 50 alonambia kuwa anayo, tukaendelea kupiga mtu kwa fujo, ili kumkoleza nikamtext jamaa yangu nikamwambia anitumie fasta laki moja, dakika chache tu muamala ukasoma 105,000/= nikamuonesha bi mdada akazidi kupagawa........ikawa kampa kampa tena mara akaachia mzigo, nilisimamia show kibabe maana nilikuwa nimepiga balimi mdogo mixing na jibapa........nikamuacha hoi, tukapumzika kidogo halafu nikamwambia twende nje tukaendelee kunywa, tukatoka nikamwambia aagize, nae akaagiza mi nikamwambia naenda kutoa ile hela tuendelee kupombeka.........hajaniona hadi leo na hiyo ilikuwa 2013

komando kinjekitile ngwale
Mkuu una dhambi kinoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi bingwa wa kutapeli wanaume wa mitandaoni wanitumie nauli.

Kama ni utapeli basi na mimi nipo kwenye hilo kundi najiuliza nini sababu mbna kazi ninayo pesaa ninazo lakini natapeli hela za nauli?

Basi najikuta na kesho naendelea tu kutapeli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Teh teh teh lakini ipo siku utanasa Tunduni tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila ilikuaje tena mzee baba, mara ghafla tu tukaona penzi limezima
Mlikua mnaturusha roho ujueee yaani Demiss alikua kama vile amepigwa dafrau mpaka mi nikahisi kuna kitu umemlisha maana sio kwa lile penzi.
Kumbe maskini ya Mungu kaka yetu alikua anaibiwa kibuyu chake.

Maendeleo hayana chama
[emoji23][emoji23][emoji23]tuliamua kubadili mbinu na kuhamisha magoli baada ya adui kusoma mchezo

Jr[emoji769]
 
Nilimfanyia ushenzi dada mmoja aliyetaka kujifanya yeye ni mtoto wa mjini, baada ya kumtia swaga akaeleweka lakini eti kwa kuwa alikuwa anataka aende kwanza nyumbani kuwapelekea hela, nikamuuliza ulikuwa unataka kupeleka sh ngapi akasema elfu 80 lakini hapo alikuwa ana sh elfu 50 tu so kama nitamuongezea 30 itakuwa vzr.

Nikamwambia asiwe na tatizo nitamwambia kijana wangu wa m pesa awatumie yote elfu 80 wala asiwe na wasiwasi.......basi nikampigia jamaa yangu mmoja hivi ambae kwa kweli akili zake anazijuaga yeye mwenyewe tu nikamuelezea shida yangu akasema haina shida tumtumia hyo namba, mdada akanipa mimi ndo niitume .......basi nikaituma kwa sms kwenda kwa huyo jamaa yangu mwehu mwehu, halafu kwa chini nikaongezea maneno USITUME HELA NI MISSION MAALUM.......baada ya muda tukajisogeza sehemu kupata kilaji, halafu nikampigia tena jamaa yangu nikamwambia ukishatuma elfu 80 kwenye ile namba na mi nitumie elfu 80 jamaa akakubali, nikamwambia kimwali kwamba wakati nasubiri muamala wangu basi tuagize kwa sababu yeye ana ile elfu 50 hela ikitumwa namrudishia.......kweli bana .........tukaanza kukata miti na kupanda miti huku nyama yetu pendwa ya kitimoto ikizidi kuteketea mezani, nikamshawishi tuchukue room akakubali, wakati huo kasahau na kuulizia kwenye ile namba aliyonipa kama imepokea elfu 80 au la.

Room akalipia yeye na nilivomuona alikuwa ana zaidi ya ile elfu 50 alonambia kuwa anayo, tukaendelea kupiga mtu kwa fujo, ili kumkoleza nikamtext jamaa yangu nikamwambia anitumie fasta laki moja, dakika chache tu muamala ukasoma 105,000/= nikamuonesha bi mdada akazidi kupagawa........ikawa kampa kampa tena mara akaachia mzigo, nilisimamia show kibabe maana nilikuwa nimepiga balimi mdogo mixing na jibapa........nikamuacha hoi, tukapumzika kidogo halafu nikamwambia twende nje tukaendelee kunywa, tukatoka nikamwambia aagize, nae akaagiza mi nikamwambia naenda kutoa ile hela tuendelee kupombeka.........hajaniona hadi leo na hiyo ilikuwa 2013

komando kinjekitile ngwale
[emoji537][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NISHAFANYA NA BADO NAFANYA LAKINI KWA MALAYA TU,NAINGIA BAR HASWA ZILE ZENYE GESTI KWENYE MACHANGU,NACHAGUA TOTO ZURI LINALOLIPA NA WENGI WAO UZURI KICHWANI NI ZERO.KWA MFANO LAST WEEK NILIPIGA SINZA DEMU ZURI KWELI LIKANIPA HADI TIGO KWA KUJITUMA SANA...NINACHOFANYA NALIITA NAKAA NAYE MEZANI NAAGIZA BIA SIO ZAIDI YA SH 10,000 KWAKE NA KWANGU YAANI BIA KAMA NANE HIVI,TUNAINGIA CHUMBANI,KUANZIA NINAPOLIPIA BILI YA BIA NA RECEPTION NATOA HELA KWENYE POCHI LILILONONA ILA SASAAAAA...HILO POCHI LIMEJAA MANOTI YA BURUNDI, KWACHA ZA ZAMANI ZA ZAMBIA MANOTI YA CENTRAL AFRICAN REPUBLIC NA YA ZIMBABWE, USINIULIZE NAYATOA WAPI NINAYO MENGI TUNASINDIKIZIA NA 5000 YA KIBONGO,HADI HAPO DEMU IMANI IPO MAANA AKILI YAKE NI KUIBA HILO POCHI,TUKIINGIA CHUMBANI AKIANZA KUDAI HELA MBELE NAJIFANYA SIJASIKIA NAWEKA LILE POCHI MEZANI,SIJAWAHI FELI HATA SIKU MOJA,HAPO UNAPEWA MAUNO HADI BASI NIKIJISIKIA KURIDHIKA NAJIFANYA KAMA NAMUOMBA TULALE KIDOGO TUTAENDELEA,AFTER 20 MINUTES NAJIFANYA KUKOROMA YEYE ATAKACHOFANYA NI KUNYATA NA KUIBA POCHI NA KUKIMBIA NA POCHI LILONONA,LAST WEEK TU NIMEFANIKISHA HII ILA MUNGU ANISAIDIE NISIJE KUTANA NA MSOMI AATAKAYESTUKIA YALE MANOTI NI TAKATAKA
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mzungu ni Raia wa Armania nilikua nawasiliana nae kwenye mtandao2, tulikua na Biashara ya Madini (Almasi) akaniomba nimtumie picha za Mali nilizo nazo yani hayo mawe, nikamtumia picha nyingi sana zikiwa tofauti tofauti, kuna Rejection, kuna nyeupe sana yani Dee colour, kuna kubwa kuanzia carat 10 kuendelea, sasa ikafika mda ikabidi atue Bongo ili tufanye Biashara, akafika Dar akanijulisha nikamwambia panda ndege uje Mwanza, akaja bwana Mzungu yule nikampokea Airport, nikampeleka Hotel asbhi yake tukaamkia Biashara, nikaanza kumwaga Mali mezani, nilimimina kila aina ya Almasi kasoro pink2 ndio ckua nayo, walikua wawili wao mimi nipo peke yangu yani one man show, lkn lkn kila Mali akihama bei ananihama pungufu, yani mfano Mali ya dola elf5 yeye anatoa elf3 au mbili, mwisho nikaona hkna wanunuzi hpa nikamuuliza umekuja kununua kweli au unafanya window shop? Akasema kweli nimekuja kununua, nikamtupia tena carat 42 Dee colour manake ndio ilikua kipimo changu cha mwisho kwake, nikamwambia hii Mali nataka dola laki5 mzungu Akasema dola laki2 nikachukua Mali yangu nikaweka mfukoni nikamwambia kwaheri, lkn kumbe wakati nafanya nae biashara alikua na mawasiliano na jamaa wengine kumbe ni matapeli, walikuja kumtupia chupa zilizochongwa wao matapeli wanaziita (nyau) alipigwa mzungu Dola laki 4, yule mzungu nahisi alienda kujiua uko Armania

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom