Visa vya matapeli na watoto wa mjini

Serious?? Wewe ukimtumia SMS tu inatosha!!
Andika" Naitwa Mshana Jr kutoka JF kabla hatujaongea pitia kwanza nyuzi zangu ,halafu ujiulize unanimudu!""
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
Asee hawa walitumia akili kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nirudishe vipi sasa na wakati mtu mwenye alivyorudi safari tukawa mabest mpaka leo plus hana shida ya hela kama laki ndio maana alimezea tu. kurudisha hela ni dhambi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kurudisha hela dhambi...!!!

Jr[emoji769]
 
Kuna Dada nlikutana nae dating site twoo akataka anibadilishie gia angani baada ya kula tungi langu ati aniuzie na nyapu wakati hio biashara hatukuongea ata ivyo 70,000 tshs kwa usiku too much. nikamwambia sawa hamna shida ntakutumia Mpesa nkamtumia kweli Mpesa akaiona message muhamala umefika akazima cm tukaanza ujinga. Usiku amejisahau kalala nkajirudishia muhamala, Nakumbuka nliondoka pale saa 11 na nusu alfajiri bado kalala. Sikusubiri lawama natoka tu nkamblock kila platform

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna utaperi mwingininge inalazima..kwani njaa kibiko.nakumbuka mwaka1998 niliwa safari kuelekea mikoa LINDI NA MTWARA kwenye Mishe zangu za biashara.nilipo fika pale RUFIJI pantoni limealibika,ikalazima watu kukaa kwa siku kazaa,kilicho nikuta sikua na namna,nikaaza utapeli.
Asubuhi,sijakunya chai,sina ela nimeishiwa na njaa bado. hakuna dalili za kuondoka Leo wala kesho,nikaona hapa mtoto wa mjini nashikishwa ukuta.nikaona isiwe shida liwalo na liwe.nikazunguka kwenye vibana ghara namuona mjusi kafiri,nikaua,nikamchukua,nikaweka kwenye karatasi vizuri,nikaingia mgahawani,nikaagiza wali samaki plat mbili,nikazipiga fast a,mwishoni nikaweka yule mjusi kwenye sahani,kwa ujasiri nikamuita muhudum nikamuonyesha,aisee yule dada alistuka,na nikamuambia naenda kuita polisi.matokea yake sikulipa na aliniomba nisitoe siri.na akaniahidi niwe nakula pale bure mpaka siku ya kuondoka.DAAAH UKIZALIWA NJINI UFI NJAA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chaii hii bila sukari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…