Ana laana huyoTulikuwa msibani.. Ni msiba wa jirani, basi bajeti ikawa kidogo imebana sasa wakati wa kuona wapi tutapata jeneza kwa bei nafuu akajitokeza jamaa aliyejifanya marehemu alimsaidia sana kipindi fulani hata kazi ya muhimbili ni yeye alimpa connection
Basi akasema mchango wake yeye ni Kusaidia kupatikana kwa jeneza standard, maua na gharama za mochwari mpaka dawa kwa laki NNE tuu.. Ila akaomba kama ikiwezekana usafiri familia ndio itoe
Mzee mmoja yeye akajitolea pickup.. Jamaa akapewa laki nne na shukrani kama zote... Alienda kumwacha dereva wa pickup kwenye parking za mochwari muhimbili
Jr[emoji769]
Hii kali aiseee, loohTulikuwa msibani.. Ni msiba wa jirani, basi bajeti ikawa kidogo imebana sasa wakati wa kuona wapi tutapata jeneza kwa bei nafuu akajitokeza jamaa aliyejifanya marehemu alimsaidia sana kipindi fulani hata kazi ya muhimbili ni yeye alimpa connection
Basi akasema mchango wake yeye ni Kusaidia kupatikana kwa jeneza standard, maua na gharama za mochwari mpaka dawa kwa laki NNE tuu.. Ila akaomba kama ikiwezekana usafiri familia ndio itoe
Mzee mmoja yeye akajitolea pickup.. Jamaa akapewa laki nne na shukrani kama zote... Alienda kumwacha dereva wa pickup kwenye parking za mochwari muhimbili
Jr[emoji769]
Me ndo yule jamaa wa tanesco,now nipo dar [emoji1787]Ujue nimemiss hii mambooo alafu nasubiria safar ya kenyaa lini tunaendaaa
Mwingine huu hapa, ni juzi tu bwana mmoja alienda M-pesa akaomba huduma ya k utoa akaambiwa sawa, wakati akiendelea utaratibu wa kutoa, mara aaah shit! Imezimika,akamwomba m pesa am-boostie, akajieleza ana mgonjwa wamemleta hosp jirani na hapo akaomba 20000 apeleke hosp. zinahitajika haraka, akampa namba ya siri ili cm ikpt chaji amtolee laki, akapewa alizoomba akaondoka, dada wa m pesa akaendelea kuchaji huku akimsbr, sbr jamaa hakuonekana, dada akaamua kuichunguza cm maana haikuwa na dalili ya kuchaji kumbe ilikuwa ni kopo kwenye betr aliweka kicherema cha sabuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume unatumaje na nauli huku quality ya papuchi huijui?Mimi bingwa wa kutapeli wanaume wa mitandaoni wanitumie nauli.
Kama ni utapeli basi na mimi nipo kwenye hilo kundi najiuliza nini sababu mbna kazi ninayo pesaa ninazo lakini natapeli hela za nauli?
Basi najikuta na kesho naendelea tu kutapeli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulikuwa msibani.. Ni msiba wa jirani, basi bajeti ikawa kidogo imebana sasa wakati wa kuona wapi tutapata jeneza kwa bei nafuu akajitokeza jamaa aliyejifanya marehemu alimsaidia sana kipindi fulani hata kazi ya muhimbili ni yeye alimpa connection
Basi akasema mchango wake yeye ni Kusaidia kupatikana kwa jeneza standard, maua na gharama za mochwari mpaka dawa kwa laki NNE tuu.. Ila akaomba kama ikiwezekana usafiri familia ndio itoe
Mzee mmoja yeye akajitolea pickup.. Jamaa akapewa laki nne na shukrani kama zote... Alienda kumwacha dereva wa pickup kwenye parking za mochwari muhimbili
Jr[emoji769]
hivi ni madawa gani hayo huwa wanapaka mkuu?Kabisa mzee, utoke Villa hadi mkolani urudi tena kisa kubadili nguo... Kumbe mtu kafuata 'silaha'... inafikaga stage akileta story unamwambia madukani si zipo tutanunua...
Sent using Jamii Forums mobile app
NGOJA NIWAPE MKASA MMOJA
kuna boss wangu juzi nimemtapeli kazi aliyoniandikia pamoja na 50000 ya lodge.
Alikuwa ananitongoza nikakubali nikamwambia aniandalie document flani ambazo nilitakiwa nikaguliwe kazini kwa kuwa alijua atapata mzigo akaniandalia hizo document.
Siku ya kuzifata akaniambia yupo pale Madengo bar ya Dodoma wengi wanaifahamu. Basi nikaenda pale nikaagiza savvana kama mbili na Kitimoto rost nikazifukia nikala nikashiba.
Nikamwambia document zikwapi akasemaa hizi hapa kwenye bahasha nikazichukua nikaweka kwenye mkoba nikatulia.
Akasema tutafute lodge tukalale mm nikamwambia kwa sababu wewe ni mheshimiwa watu wakikuona itakuwa shida unatengeneza skendo nipe hela mm nikachukue chumba pale Simba hotel alafu nakupigia simu unakuja.
Akawa amenipa elfu 50000 ya chumba mm nikachukua pikpik ndruuuuki mpaka Geto kwangu.
Nilivyofik ninatumia sms usinitafute mm nipo nyumbani.
Hapa nilipo nawaza siku nikipata shida ya kikazi yeye ndiye boss wa hicho kitengo atanisaidia?
Maana alimpigia simu mpaka kiongozi wa ofisi yetu kumwambia jinsi mfanyakazi wake nilivyomtapeli.
Njooo PM, hakuna kitu napenda kama kutapeliwa na mtoto mzuriiiiiiiiiiiii kama wewe
We ndo humjui Demiss but wajuba wengi humu tunamjua na picha zake zilitrend saaana hapa Jeiefuwe ni tapeli mpaka hapa uo uzuri wake umeuona wapi?
We ndo humjui Demiss but wajuba wengi humu tunamjua na picha zake zilitrend saaana hapa Jeiefu
Teh teh teh tehUkisikia mjini shule, shamba darasa. Jiulize hao waliotunga huo usemi walikuwa na maana gani ama walikutana na masahabu gani!
Akili ya binadamu ni kitu cha kushangaza mno. Kina uwezo wa ajabu hasa pale mtu anapokutana na changamoto mbalimbali. Huko vijijini akili nyingi zimelala kutokana na kukosa changamoto za kimaisha.
Kijijini hata kama huna kazi huna pesa utaishi tu... Sio mjini! Mjini tangu kunapambazuka mpaka kunakuchwa kila kitu ni shekeli. Hakuna cha bure mjini. Lakini vilevile mjini kila mtu anatamani kuishi maisha fulani lakini changamoto ya elimu kipato na ajira ndio kikwazo.
Hivyo basi kuweza kukabiliana na changamoto hizo watu kila uchao hubuni mbinu mpya za kuingiza kipato. Kuanzia utapeli, wizi, ujambazi, kukaba, kurubuni nknk. Kila mmoja wetu hawezi kukosa kisa cha hawa jamaa wanaoishi kwa ujanja ujanja. Nitaaza mimi kwa kusimulia vichache
Kisa cha kwanza
Huyu jamaa yeye hakuwa na kazi maalum. Ila muda wote ni msafi akionekana kama afisa fulani hivi. Siku moja akawa kakosa nauli kabisa ya kurudi nyumbani kwake Tabata na yuko kijitonyama.
Alichofanya ni kuwarubuni wale jamaa wa magari ya majitaka kuwa anataka huduma hiyo Tabata... Wakapatana bei akaenda nao mpaka mtaa wa pili kufika kwake.
Akashuka huku akiwaelekeza uchochoro mmoja kuwa ndio kwake... Akaingia hapo akatokea upande wa pili akasepa mazima.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kisa cha pili.
Ni wale jamaa wanaorubuni watoto kuwanunulia chakula ama chochote. Ataenda na mtoto hapo mahali ataagiza kama ni bidhaa ama chakula.... Kisha atasepa na kumuacha bond mtoto wa watu..
Karibu nawe kabla sijaendelea na visa vingine
Jr[emoji769]