Visa vya matapeli na watoto wa mjini

Visa vya matapeli na watoto wa mjini

Ukisikia mjini shule, shamba darasa. Jiulize hao waliotunga huo usemi walikuwa na maana gani ama walikutana na masahabu gani!

Akili ya binadamu ni kitu cha kushangaza mno. Kina uwezo wa ajabu hasa pale mtu anapokutana na changamoto mbalimbali. Huko vijijini akili nyingi zimelala kutokana na kukosa changamoto za kimaisha.

Kijijini hata kama huna kazi huna pesa utaishi tu... Sio mjini! Mjini tangu kunapambazuka mpaka kunakuchwa kila kitu ni shekeli. Hakuna cha bure mjini. Lakini vilevile mjini kila mtu anatamani kuishi maisha fulani lakini changamoto ya elimu kipato na ajira ndio kikwazo.

Hivyo basi kuweza kukabiliana na changamoto hizo watu kila uchao hubuni mbinu mpya za kuingiza kipato. Kuanzia utapeli, wizi, ujambazi, kukaba, kurubuni nknk. Kila mmoja wetu hawezi kukosa kisa cha hawa jamaa wanaoishi kwa ujanja ujanja. Nitaaza mimi kwa kusimulia vichache

Kisa cha kwanza
Huyu jamaa yeye hakuwa na kazi maalum. Ila muda wote ni msafi akionekana kama afisa fulani hivi. Siku moja akawa kakosa nauli kabisa ya kurudi nyumbani kwake Tabata na yuko kijitonyama.

Alichofanya ni kuwarubuni wale jamaa wa magari ya majitaka kuwa anataka huduma hiyo Tabata... Wakapatana bei akaenda nao mpaka mtaa wa pili kufika kwake.

Akashuka huku akiwaelekeza uchochoro mmoja kuwa ndio kwake... Akaingia hapo akatokea upande wa pili akasepa mazima.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kisa cha pili.
Ni wale jamaa wanaorubuni watoto kuwanunulia chakula ama chochote. Ataenda na mtoto hapo mahali ataagiza kama ni bidhaa ama chakula.... Kisha atasepa na kumuacha bond mtoto wa watu..

Karibu nawe kabla sijaendelea na visa vingine

Jr[emoji769]
Hiyo ya kwanza jamaa aliua haswaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilimfanyia ushenzi dada mmoja aliyetaka kujifanya yeye ni mtoto wa mjini, baada ya kumtia swaga akaeleweka lakini eti kwa kuwa alikuwa anataka aende kwanza nyumbani kuwapelekea hela, nikamuuliza ulikuwa unataka kupeleka sh ngapi akasema elfu 80 lakini hapo alikuwa ana sh elfu 50 tu so kama nitamuongezea 30 itakuwa vzr.

Nikamwambia asiwe na tatizo nitamwambia kijana wangu wa m pesa awatumie yote elfu 80 wala asiwe na wasiwasi.......basi nikampigia jamaa yangu mmoja hivi ambae kwa kweli akili zake anazijuaga yeye mwenyewe tu nikamuelezea shida yangu akasema haina shida tumtumia hyo namba, mdada akanipa mimi ndo niitume .......basi nikaituma kwa sms kwenda kwa huyo jamaa yangu mwehu mwehu, halafu kwa chini nikaongezea maneno USITUME HELA NI MISSION MAALUM.......baada ya muda tukajisogeza sehemu kupata kilaji, halafu nikampigia tena jamaa yangu nikamwambia ukishatuma elfu 80 kwenye ile namba na mi nitumie elfu 80 jamaa akakubali, nikamwambia kimwali kwamba wakati nasubiri muamala wangu basi tuagize kwa sababu yeye ana ile elfu 50 hela ikitumwa namrudishia.......kweli bana .........tukaanza kukata miti na kupanda miti huku nyama yetu pendwa ya kitimoto ikizidi kuteketea mezani, nikamshawishi tuchukue room akakubali, wakati huo kasahau na kuulizia kwenye ile namba aliyonipa kama imepokea elfu 80 au la.

Room akalipia yeye na nilivomuona alikuwa ana zaidi ya ile elfu 50 alonambia kuwa anayo, tukaendelea kupiga mtu kwa fujo, ili kumkoleza nikamtext jamaa yangu nikamwambia anitumie fasta laki moja, dakika chache tu muamala ukasoma 105,000/= nikamuonesha bi mdada akazidi kupagawa........ikawa kampa kampa tena mara akaachia mzigo, nilisimamia show kibabe maana nilikuwa nimepiga balimi mdogo mixing na jibapa........nikamuacha hoi, tukapumzika kidogo halafu nikamwambia twende nje tukaendelee kunywa, tukatoka nikamwambia aagize, nae akaagiza mi nikamwambia naenda kutoa ile hela tuendelee kupombeka.........hajaniona hadi leo na hiyo ilikuwa 2013

komando kinjekitile ngwale
Sio poa
 
hii mkuu mbona limenikuta
few years back jumapili moja hivi nilisogea benk CRDB Vijana Jiran na CCM Lumumba kuweka mzigo . nilikua ka na 4m hv. nimefka pale fresh tu nkachukua namba angu nikajaza particulars zangu ready ku deposit.
Wakati nipo kweny viti nasubili namba angu kuitwa ilinikaudumiwe, bize with my phone kunajamaa pembeni angu kaniuliza "kaka wapi wanachange dollar $ ". nami kuangaza huku na huku sikuona sehemu ambayo pengeni imeandika kua n spesheli kwa kakuexchange mzigo, basi nkamwambia sogea CUSTOMER CARE watakufamisha vizur

hapo hapo kunajamaa nyuma etu akawa kama kasikia maongezi yetu vile akainama kwa mbele kuongea na yule jamaa iliamsaidie. wakawa wanaongea pale nami kiaina nikawa nawasikiliza kuwa jamaa yupo na USD 22400 kazipga kwa bosi ake muhindi. Jamaa mwenye zile dollar akaniuliza kuwa dollar zake hzo znawezakua kama na bei gan kibongo asa wakati nataka muambia ni kiasi fulani jamaa wa nyuma et kanibonyeza kuwa yule jamaa nisimuambie exactly figure ili tumpge, Hapo hapo nkaingia kweny scam mzee

hapo nikaona BIKO si ndio hii BIKO BIKO

Yule jamaa tukampanga kuwa tunaeza masaidia ila inabidi tutoke katika ile bank na tukambadilishie kweny B` de change za kawaida

tumefika near de change lumbumba ile ile jamaa anadai et anaogopa mahind wa wasije mkamata et yaweza kuwa wanamtrack sijui nini so inabidi mmoja wetu apart from him aende kubadili

Niliomuamba single note dollar 100 nkabadili ilinijue mzgo ni real or not. Jamaa alitoa ila kwenda kupadilisha akaenda jamaa mwengine ,tuka baki wawili. Jamaa kurud kwanza kaniita pembeni kaniambaia kuwa kule imetoka kama miambili hv so akanipa mia ilinikampe mshikaji na nimuambie kuwa ndo mzgo uliotoka kwny ile dollar 100.
kimbembe kilianza pale nilipo muambia jamaa angu kuwa ila mia tuliofinya nikae nayo mimi jamaa akawa anasema kausha kwanza nami nka sema poa with a question mark kwa head?

Baada ya kucheki mzgo, time ya kuubadili wote ikafika sasa. utaratibu n hule hule inabidi mmoja wetu kat yang na jamaa ndo aenda. ofcourse mimi sikua na haraka. first attempt akaifanya jamaa kachua baasha akasepa kabla hajafika mbali jamaa mwenye mzigo ananimbia jamaa et amuhamini inabidi nimuite aache vtu vyake kama bond et in case alipotea na ulimzgo jamaa nae apate kujifaliji. jamaa kwel karud akatoa pesa zake alizokua nazo mfukoni na simu wakanipa mimi.

jamaa kaondoka hata ajafika mbali jamaa mwenye mzigo ananimbia jamaa et hamuhamini bora niende mimi ananiamini tukamuita jamaa kurud. baasha wakanipa mimi nikamshukuru mungu nikasema WALLAH NIKIFANIKIWA KUKUNJA ILE KONA ILE NACHUKUA BODA NA TEMBEA VIBAYA SANA.
ile naanza kumove tu jamaa wnasema rud bhana inabidi niwaachie vitu na pesa zangu mana naweza sepa na rundo.
ikabidi ni waulize lengo haswa la mimi kunitoa kule bank nakuja mpaka huku. lengo nikubadilisha pesa za jamaa huyu, ASA PESA ZANGU NA SIMU ZINAUSIANA VIPI?
JAMAA ANGU KANIITA PEMBENI

eti
ananilaumu nakua ka sielew mambo zile pesa ninyingi sana inabidi tuzpge teteheheheh
basi nikaomuomba another 100 dollar nikabadilishe mimi mwenyew wakanipa tukaanza kuzunguka kutafuta sehemu ya kubadilisha kwan sehemu nyingi zilikua zimefungwa, tukafika mpaka kariaokoo mbele etu kukawa na beurue de chande moja ila ilikua imefungwa.

cha kushangaza jamaa niliekua nakaanae vikao akapotea kidogo kuja kurud anarud na mmaza mmoja hv anadai anafanya kaz kwenye iyo de change na mwenye fungua za office iyo ametoka akirud ndo atafungua. asa yule jamaa angu akamuambia yule maza alie kuja nae, kuwa kuna pesa tunataka kubadili akauliza ziko wapi jamaa kasema sample n nayo mm ila kunamzgo mwingi zaidi ya uwo tupo nao. yule maza nkampa ilae note ya USD,

niliponishangaza ni pale maza alipotoa laki2 na ushee akatupatia nami nikampa ile dollar, moja kwa moja nikagudua kua its a TOTAL DSM SCAM. Mana niliona haiwez kuwa raisi kuexchang kienyeji at level



NIKASEPA ZANGU
 
Miaka ya 2000 mwanzoni tuliwahi kulizwa na wazee wa kazi.

Mzee alikuwa ana duka la kuuza baiskeli na spea zake. Basi siku ya siku jamaa wakaja wakamkuta mzee wakamwomba kama anazo shilingi moja moja awatafutie watazinunua 1 kwa sh 20, mzee akazisaka mule dukani akapata kadhaa, maana kipindi hicho zilishaacha kutumika.

Wakazinunua akapata kama 15,000/-, basi wakamwambia awakusanyie watakuwa siku fulani, walipokuja walikuta kakusanya nyingi kidogo, wakanunua, alipata kama 250,000/-.

Mzee akaambiwa akusanye zaidi maana kuna wazungu ambao wanazihitaji sana, wanataka mzigo mkubwa, kwamba kuna vito wanatumia kutengenezea.

Basi kwenye kutafuta mzee akakutana na mtu ambaye alisema anazo ila anauza kwa bei ya sh 10 kila moja maana dili limeshajulikana kwamba anauza kwa 20. Akanunua mzigo wa almost 900,000/-, maana kuna shamba aliuza kuongezea hela. Hapo alitegemea faida mara 2.

Jamaa hawakurudi tena, ikaja baadae kugundulika wale jamaa waliomuuzia mzigo wa mwisho ndiyo hao hao walionunua kwake mwanzoni.
Heeee watu sio watu khaaa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
NGOJA NIWAPE MKASA MMOJA

kuna boss wangu juzi nimemtapeli kazi aliyoniandikia pamoja na 50000 ya lodge.

Alikuwa ananitongoza nikakubali nikamwambia aniandalie document flani ambazo nilitakiwa nikaguliwe kazini kwa kuwa alijua atapata mzigo akaniandalia hizo document.

Siku ya kuzifata akaniambia yupo pale Madengo bar ya Dodoma wengi wanaifahamu. Basi nikaenda pale nikaagiza savvana kama mbili na Kitimoto rost nikazifukia nikala nikashiba.

Nikamwambia document zikwapi akasemaa hizi hapa kwenye bahasha nikazichukua nikaweka kwenye mkoba nikatulia.

Akasema tutafute lodge tukalale mm nikamwambia kwa sababu wewe ni mheshimiwa watu wakikuona itakuwa shida unatengeneza skendo nipe hela mm nikachukue chumba pale Simba hotel alafu nakupigia simu unakuja.

Akawa amenipa elfu 50000 ya chumba mm nikachukua pikpik ndruuuuki mpaka Geto kwangu.

Nilivyofik ninatumia sms usinitafute mm nipo nyumbani.

Hapa nilipo nawaza siku nikipata shida ya kikazi yeye ndiye boss wa hicho kitengo atanisaidia?

Maana alimpigia simu mpaka kiongozi wa ofisi yetu kumwambia jinsi mfanyakazi wake nilivyomtapeli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
hii mkuu mbona limenikuta
few years back jumapili moja hivi nilisogea benk CRDB Vijana Jiran na CCM Lumumba kuweka mzigo . nilikua ka na 4m hv. nimefka pale fresh tu nkachukua namba angu nikajaza particulars zangu ready ku deposit.
Wakati nipo kweny viti nasubili namba angu kuitwa ilinikaudumiwe, bize with my phone kunajamaa pembeni angu kaniuliza "kaka wapi wanachange dollar $ ". nami kuangaza huku na huku sikuona sehemu ambayo pengeni imeandika kua n spesheli kwa kakuexchange mzigo, basi nkamwambia sogea CUSTOMER CARE watakufamisha vizur

hapo hapo kunajamaa nyuma etu akawa kama kasikia maongezi yetu vile akainama kwa mbele kuongea na yule jamaa iliamsaidie. wakawa wanaongea pale nami kiaina nikawa nawasikiliza kuwa jamaa yupo na USD 22400 kazipga kwa bosi ake muhindi. Jamaa mwenye zile dollar akaniuliza kuwa dollar zake hzo znawezakua kama na bei gan kibongo asa wakati nataka muambia ni kiasi fulani jamaa wa nyuma et kanibonyeza kuwa yule jamaa nisimuambie exactly figure ili tumpge, Hapo hapo nkaingia kweny scam mzee

hapo nikaona BIKO si ndio hii BIKO BIKO

Yule jamaa tukampanga kuwa tunaeza masaidia ila inabidi tutoke katika ile bank na tukambadilishie kweny B` de change za kawaida

tumefika near de change lumbumba ile ile jamaa anadai et anaogopa mahind wa wasije mkamata et yaweza kuwa wanamtrack sijui nini so inabidi mmoja wetu apart from him aende kubadili

Niliomuamba single note dollar 100 nkabadili ilinijue mzgo ni real or not. Jamaa alitoa ila kwenda kupadilisha akaenda jamaa mwengine ,tuka baki wawili. Jamaa kurud kwanza kaniita pembeni kaniambaia kuwa kule imetoka kama miambili hv so akanipa mia ilinikampe mshikaji na nimuambie kuwa ndo mzgo uliotoka kwny ile dollar 100.
kimbembe kilianza pale nilipo muambia jamaa angu kuwa ila mia tuliofinya nikae nayo mimi jamaa akawa anasema kausha kwanza nami nka sema poa with a question mark kwa head?

Baada ya kucheki mzgo, time ya kuubadili wote ikafika sasa. utaratibu n hule hule inabidi mmoja wetu kat yang na jamaa ndo aenda. ofcourse mimi sikua na haraka. first attempt akaifanya jamaa kachua baasha akasepa kabla hajafika mbali jamaa mwenye mzigo ananimbia jamaa et amuhamini inabidi nimuite aache vtu vyake kama bond et in case alipotea na ulimzgo jamaa nae apate kujifaliji. jamaa kwel karud akatoa pesa zake alizokua nazo mfukoni na simu wakanipa mimi.

jamaa kaondoka hata ajafika mbali jamaa mwenye mzigo ananimbia jamaa et hamuhamini bora niende mimi ananiamini tukamuita jamaa kurud. baasha wakanipa mimi nikamshukuru mungu nikasema WALLAH NIKIFANIKIWA KUKUNJA ILE KONA ILE NACHUKUA BODA NA TEMBEA VIBAYA SANA.
ile naanza kumove tu jamaa wnasema rud bhana inabidi niwaachie vitu na pesa zangu mana naweza sepa na rundo.
ikabidi ni waulize lengo haswa la mimi kunitoa kule bank nakuja mpaka huku. lengo nikubadilisha pesa za jamaa huyu, ASA PESA ZANGU NA SIMU ZINAUSIANA VIPI?
JAMAA ANGU KANIITA PEMBENI

eti
ananilaumu nakua ka sielew mambo zile pesa ninyingi sana inabidi tuzpge teteheheheh
basi nikaomuomba another 100 dollar nikabadilishe mimi mwenyew wakanipa tukaanza kuzunguka kutafuta sehemu ya kubadilisha kwan sehemu nyingi zilikua zimefungwa, tukafika mpaka kariaokoo mbele etu kukawa na beurue de chande moja ila ilikua imefungwa.

cha kushangaza jamaa niliekua nakaanae vikao akapotea kidogo kuja kurud anarud na mmaza mmoja hv anadai anafanya kaz kwenye iyo de change na mwenye fungua za office iyo ametoka akirud ndo atafungua. asa yule jamaa angu akamuambia yule maza alie kuja nae, kuwa kuna pesa tunataka kubadili akauliza ziko wapi jamaa kasema sample n nayo mm ila kunamzgo mwingi zaidi ya uwo tupo nao. yule maza nkampa ilae note ya USD,

niliponishangaza ni pale maza alipotoa laki2 na ushee akatupatia nami nikampa ile dollar, moja kwa moja nikagudua kua its a TOTAL DSM SCAM. Mana niliona haiwez kuwa raisi kuexchang kienyeji at level



NIKASEPA ZANGU
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]uliponea tundu la sindano kubamizwa kwenye mlango

Jr[emoji769]
 
hii mkuu mbona limenikuta
few years back jumapili moja hivi nilisogea benk CRDB Vijana Jiran na CCM Lumumba kuweka mzigo . nilikua ka na 4m hv. nimefka pale fresh tu nkachukua namba angu nikajaza particulars zangu ready ku deposit.
Wakati nipo kweny viti nasubili namba angu kuitwa ilinikaudumiwe, bize with my phone kunajamaa pembeni angu kaniuliza "kaka wapi wanachange dollar $ ". nami kuangaza huku na huku sikuona sehemu ambayo pengeni imeandika kua n spesheli kwa kakuexchange mzigo, basi nkamwambia sogea CUSTOMER CARE watakufamisha vizur

hapo hapo kunajamaa nyuma etu akawa kama kasikia maongezi yetu vile akainama kwa mbele kuongea na yule jamaa iliamsaidie. wakawa wanaongea pale nami kiaina nikawa nawasikiliza kuwa jamaa yupo na USD 22400 kazipga kwa bosi ake muhindi. Jamaa mwenye zile dollar akaniuliza kuwa dollar zake hzo znawezakua kama na bei gan kibongo asa wakati nataka muambia ni kiasi fulani jamaa wa nyuma et kanibonyeza kuwa yule jamaa nisimuambie exactly figure ili tumpge, Hapo hapo nkaingia kweny scam mzee

hapo nikaona BIKO si ndio hii BIKO BIKO

Yule jamaa tukampanga kuwa tunaeza masaidia ila inabidi tutoke katika ile bank na tukambadilishie kweny B` de change za kawaida

tumefika near de change lumbumba ile ile jamaa anadai et anaogopa mahind wa wasije mkamata et yaweza kuwa wanamtrack sijui nini so inabidi mmoja wetu apart from him aende kubadili

Niliomuamba single note dollar 100 nkabadili ilinijue mzgo ni real or not. Jamaa alitoa ila kwenda kupadilisha akaenda jamaa mwengine ,tuka baki wawili. Jamaa kurud kwanza kaniita pembeni kaniambaia kuwa kule imetoka kama miambili hv so akanipa mia ilinikampe mshikaji na nimuambie kuwa ndo mzgo uliotoka kwny ile dollar 100.
kimbembe kilianza pale nilipo muambia jamaa angu kuwa ila mia tuliofinya nikae nayo mimi jamaa akawa anasema kausha kwanza nami nka sema poa with a question mark kwa head?

Baada ya kucheki mzgo, time ya kuubadili wote ikafika sasa. utaratibu n hule hule inabidi mmoja wetu kat yang na jamaa ndo aenda. ofcourse mimi sikua na haraka. first attempt akaifanya jamaa kachua baasha akasepa kabla hajafika mbali jamaa mwenye mzigo ananimbia jamaa et amuhamini inabidi nimuite aache vtu vyake kama bond et in case alipotea na ulimzgo jamaa nae apate kujifaliji. jamaa kwel karud akatoa pesa zake alizokua nazo mfukoni na simu wakanipa mimi.

jamaa kaondoka hata ajafika mbali jamaa mwenye mzigo ananimbia jamaa et hamuhamini bora niende mimi ananiamini tukamuita jamaa kurud. baasha wakanipa mimi nikamshukuru mungu nikasema WALLAH NIKIFANIKIWA KUKUNJA ILE KONA ILE NACHUKUA BODA NA TEMBEA VIBAYA SANA.
ile naanza kumove tu jamaa wnasema rud bhana inabidi niwaachie vitu na pesa zangu mana naweza sepa na rundo.
ikabidi ni waulize lengo haswa la mimi kunitoa kule bank nakuja mpaka huku. lengo nikubadilisha pesa za jamaa huyu, ASA PESA ZANGU NA SIMU ZINAUSIANA VIPI?
JAMAA ANGU KANIITA PEMBENI

eti
ananilaumu nakua ka sielew mambo zile pesa ninyingi sana inabidi tuzpge teteheheheh
basi nikaomuomba another 100 dollar nikabadilishe mimi mwenyew wakanipa tukaanza kuzunguka kutafuta sehemu ya kubadilisha kwan sehemu nyingi zilikua zimefungwa, tukafika mpaka kariaokoo mbele etu kukawa na beurue de chande moja ila ilikua imefungwa.

cha kushangaza jamaa niliekua nakaanae vikao akapotea kidogo kuja kurud anarud na mmaza mmoja hv anadai anafanya kaz kwenye iyo de change na mwenye fungua za office iyo ametoka akirud ndo atafungua. asa yule jamaa angu akamuambia yule maza alie kuja nae, kuwa kuna pesa tunataka kubadili akauliza ziko wapi jamaa kasema sample n nayo mm ila kunamzgo mwingi zaidi ya uwo tupo nao. yule maza nkampa ilae note ya USD,

niliponishangaza ni pale maza alipotoa laki2 na ushee akatupatia nami nikampa ile dollar, moja kwa moja nikagudua kua its a TOTAL DSM SCAM. Mana niliona haiwez kuwa raisi kuexchang kienyeji at level



NIKASEPA ZANGU
duuuh uliponea chupu chupu,,,mie nikiendaga Bank au kwa wakala wa mitandao ya simu,,au kama na hela nyingi mfukonI .naenda Nunua bidhaa huwa siongei na mtu yeyotee yulee hata awe katika hali gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Avartar yako inaendana nawe kwa angalau asilimia 75% weka namba nami nitume nitapeliwe
Unafikiri hiyo ni sura yake? Hiyo ni picha ya mjukuu wake. Mwenyewe anamakunyanzi halafu mashine ni kama dafu ukilitoboa kwa juu ndani waogelea
 
duuuh uliponea chupu chupu,,,mie nikiendaga Bank au kwa wakala wa mitandao ya simu,,au kama na hela nyingi mfukonI .naenda Nunua bidhaa huwa siongei na mtu yeyotee yulee hata awe katika hali gani

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hii kali yani unakuwa bubu kwa muda

Jr[emoji769]
 
Mimi bingwa wa kutapeli wanaume wa mitandaoni wanitumie nauli.

Kama ni utapeli basi na mimi nipo kwenye hilo kundi najiuliza nini sababu mbna kazi ninayo pesaa ninazo lakini natapeli hela za nauli?

Basi najikuta na kesho naendelea tu kutapeli.

Sent using Jamii Forums mobile app

Teh, nikiambiwa tuma nauli hua napangua gia angani .
 
Ana maisha gani hivi sasa
Hawa wassenge nimewavulia kofia!
Kuna jamaa yetu fala sana !Alitapeliwa na jamaa wa kujiita freemason!...
Ni hivi jamaa yetu alikua yuko vizuri sana sasa kuna siku freemason feki wakaja ofisini kwake(anauza mbao)na bonge la ndinga!Kufika wanataka mbao wakauziana pale then wakaachiana contacts(hapa ndio mission inaaza)Huku na kule wanawasiliana wakamwambia je unapenda kufanikiwa zaidi,jamaa kasema ndio.wakapanga miadi siku mamason wanafika wakamwambia sisi ni member wa freemason ndio maana tuna mafanikio tele so na wewe kama unataka tutakufikishia ombi lako kwa mkuu wetu wakapamtia 10m cash kwamba ndio wanamkaribisha ila hadi wapate kibali kwa mkuu!Jamaa yetu kuona zile m10(hapa walimtibua vuzzi) akajua hawa ndio mason wenyewe kumbe bwege anapigwa!Siku ya siku wakaja wakamwambia ombi lako limejibiwa vizuri tena ila bank una Tsh ngapi coz inatakiwa tukachanganye hela zote ndio ijulikane utaongezewa kiasi gani .Jamaa karopoka ana m70 ,wakamwambia aongeze zifike m100 ili zikienda kuchanganywa apate 1billion!!!Hapa jamaa hakupoteza mda akaenda kudro mpunga wote na kuuza nyumba ndani ya siku mbili jamaa wakaja kuchukua mpunga wao jamaa akitegemea bilioni moja!Toka siku ile hawajawai kupatkana kwenye simu na jamaa kawa pumb.u no mia!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atapeliwa Milioni 1.5 Kimara Daraja la mwendo kasi.

Ilikuwaje?

Kuna dada alikuwa anatembea kwenda kupanda daraja akiwa uelekeo wa barabara ya lami ile inayoelekea Mbezi ili akapande daraja la mwendo kasi. Mara gari aina ya Vitz ikapaki karibu yake, siti ya nyuma kakaa bibi kama wa miaka 60-70 hivi. Bibi anaongea kingereza cha kiganda. Akamwambia ninashida na kama unajua kingereza unaweza kunisaidia Mimi mgeni hapa Tz. Dada akasema anajua kingereza basi wakamwambia ingia ndani ya gari twende tuongee.

Gari ikazungushwa upande wa pili wa Barbara njia ya Dawasco kuna bar wanauza supu wakakaa wakawa wanakunywa supu wote yule bibi na jamaa wawili na Dada wa nne.
Bibi akaanza kumuongelesha yule mdada kuhusu kwenda kubadilisha pesa ( dola) kuwa kt k Tsh.

Hoja ya bibi ni kuwa yeye ni mgeni na hajui benki ya karibu ilipo na anaogopa atadhulumiwa kwa kuwa wao siyo wazawa na ni wageni kabisaa hapa Tz ukizingatia mambo ya Magu hivyo wanahitaji mtu mTz mwaminifu awasaidie kuwabadilishia madola yao mengi bila kufatiliwa na Magu. Akiwasaidia watampa millioni tano.
Dada kasomeshwa akaelewa somo. Akaanza kuwaambia hapa kimara kuna benki ya posta ipo kwa mbele pale karibu na njia ya kwenda Dawasco au Matangini...

Akamwambia basi kama ndo hivyo we nenda kabadilishe utatukuta hapahapa...Dada akapewa bahasha imetuna sana uzito pesa ikiwa imefungwa. Ile Dada anataka kunyanyua handbag yake tu...yule kaka mmoja akasema si tupo hapa utatukuta...mbona sisi tumekuamini kwa hela zaidi ya million 40 we unashindwa kutuamini kwa kibegi tuu...
Sasa kwa sababu siyo mbali na benki Dada akaona sawa tuu...yaani anatembea huku anaangalia angalia nyuma...sasa kafika pale benki kuna kijibanda cha mlinzi. Akaona ajibanze pale pale nje kabla ya kuingia ndani benki afungue ile bahasha atizame madola kabisaa....ile anafungua bahasha akakutana na makaratasi ya kaunta buku yamekatwa size ya dola...si ndo anasema awawai pale bar...yaani kabla ya kufika pale haoni ile Vits...akakimbia kwa speed...kufika bar hamna bibi wala wale vijana...anauliza wakamwambia yaani ile unatoka tuu nao wameingia kwenye gari...kuelekea uelekeo wa mjini...ikabaki story.....
Dada akawa kaachwa na tobo la Milioni 1.5 kama mchezo asubui ile.

Nb

Tukio limetokea mwaka jana November Kimara, DSM.


Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Me najiuliza wanahisije kwamba una hela?
 
Back
Top Bottom