Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina rafk yangu alishawahi kushuhudia watu watatu waliokua wanatembea pamoja wakayeyuka tena hakushuhudia peke yake alishuhudia wakiwa na wana Kama wanne hiv kila mmoja akatoka nduki
Kigoma kuna yule dada alizaa kuku, akaonyeshwa na kwenye TV
Unakaa hapo kwa shemeji jion ukivaa malapa na soksi huku umeweka earphones maskion unatafuta na big G unajiona unayajua sana maishaAgain, story zote za ushirikina ni hearsay stories, wewe umesimuliwa na aliyekusimulia naye alisimuliwa ukitrace mzizi wake ni mjinga mmoja tu alijitungia na nyie mnaamini kama ilivyo.
Kwa ujinga huu kwenye hayo mafuzu yenu bora serikali iendelee kuongeza kodi tu. Hakuna uchawi
wape details zako ili wakuaminisheAgain, story zote za ushirikina ni hearsay stories, wewe umesimuliwa na aliyekusimulia naye alisimuliwa ukitrace mzizi wake ni mjinga mmoja tu alijitungia na nyie mnaamini kama ilivyo.
Kwa ujinga huu kwenye hayo mafuzu yenu bora serikali iendelee kuongeza kodi tu. Hakuna uchawi
Unakaa hapo kwa shemeji jion ukivaa malapa na soksi huku umeweka earphones maskion unatafuta na big G unajiona unayajua sana maisha
Kuneng'emua Basi teena maana ndio palikuwa pakimpa jeuriKigoma ishi kama haupo,kuna jamaa mmoja alimzingua mwenyeji kwenye mambo hayo hayo ya mwanamke.Basi bwana siku jamaa katoka huko na baiskeri kapita chini ya mti tawi likakatika likampiga kiunoni,jamaa kapooza kuanzia kiunoni kushuka chini
wape details zako ili wakuaminishe
Mh! Hii chai hiiKumbe Zanzimba nao hawajambo,
Anyway Mimi mwenyewe niliwahi kupanga nyumba moja na mama kutoka kigoma aisee yule mama nimchawi Sana kama niuchawi basi anadegree au master kabisa kwani alikuwa na uwezo wa kujigeuza paka, kumuingia mtu mwilini mwake na kumuamlisha afanye atakayo yeye
Nakumbuka Sana Sana alikuwa anamtumia mjukuu wake kufanya uchawi pia alikuwa na uwezo wakufarakanisha yaani jambo dogo unakuta hamuelewani.
Kuna kipindi niliwahi muona anatoka gheto kwetu kupitia mlangoni ikiwa tulifunga na ilikuwa usiku, alinifanyia vitimbi Sana yule mama mpaka nahama pale Kuna vitu alivipandikiza kwenye Kitanda changu kwani nikawa nikilala Kuna hali Fulani ilikua inanizonga na kujikuta nakata tamaa ya kuishi wakati mwingine nakuwa na Hasira Sana na kuanza kuongea pekeangu, aisee sitasahau alichonifanyia yule mama wa kiha.
Libwata lipo ,inawezekana alishalogwa kabisa na uyo mwanamke,si ni kigoma hiyo hiyo kwa mafundiMtu anaoaje mke wa watoto 6 huko si kuvunja familia aisee, useless diwani adhabu aliyopata alistahili
sawa mjanjaKwahiyo mchawi mnayeamini anaweza kupita kwenye ukuta anashindwa kupata details zangu bila mimi kumwambia? Mnaona lakini viwango vyenu vya uzwazwa
Narudia serikali ianzishe kodi ya ujinga kwa huu uzwazwa wenu mnaodisplay hapa na kuuamini.
We msenge inabidi siku moja ukutanishwe na nguli wa shughuli tu akuchukue maelezo kisha ndani ya week tu akubadilishie program za kwenye ubongo uanze kucheza na majalala tu!Serikali ianzishe kodi ya ujinga kwa viwango hivi vya ujinga mnavyodisplay hapa.
Mnaanzaje kuamini story kama hizi eti watu wanayeyuka sijui diwani asiye na jina anakufa afu anafufuka 🤣 🤣 mitanganyika ni bure kabisa.
Wewe kwanini unagoma kukutana na mtaalam sasa kama unajiamini! Wapo watu ndio shughuli zao hizo usianze kuruka kimango! Wewe uchawi huuamini tunakukutanisha na mtaalamu anakuchuka maelezo week tu inakutosha!Kwahiyo mchawi mnayeamini anaweza kupita kwenye ukuta anashindwa kupata details zangu bila mimi kumwambia? Mnaona lakini viwango vyenu vya uzwazwa
Narudia serikali ianzishe kodi ya ujinga kwa huu uzwazwa wenu mnaodisplay hapa na kuuamini.
Jamaa details hawezi toa si anajua kuwa shughuli itakuwa pevu! Atoe majina na nywele tu za kichwa aone balaa lakewape details zako ili wakuaminishe
anazani utani kuna dogo jirani alikuwa anatupa movie nzima na nilishawahi pigwa na pera usiku nikajifanya kurudisha nilikohoa siku nzima.Jamaa details hawezi toa si anajua kuwa shughuli itakuwa pevu! Atoe majina na nywele tu za kichwa aone balaa lake