Visa vya Uchawi na Ushirikina Mkoani Kigoma Mwisho wa Reli

Visa vya Uchawi na Ushirikina Mkoani Kigoma Mwisho wa Reli

Sijui nani mjinga zaidi aliyekusimulia hiyo story ya kusadikika au wewe uliyeamini?

Kwa kuanzia tu tupe jina la huyo diwani maana udiwani ni ofisi ya umma na taarifa zao ni wazi kwa umma.

Nyie mitanganyika mijinga sana mnaamini sana story za ushirikina mkisimuliwa tu mnaamini kama zilivyo na nyie mnaenda kusimulia. Hakuna uchawi.
 
Nina rafk yangu alishawahi kushuhudia watu watatu waliokua wanatembea pamoja wakayeyuka tena hakushuhudia peke yake alishuhudia wakiwa na wana Kama wanne hiv kila mmoja akatoka nduki

Again, story zote za ushirikina ni hearsay stories, wewe umesimuliwa na aliyekusimulia naye alisimuliwa ukitrace mzizi wake ni mjinga mmoja tu alijitungia na nyie mnaamini kama ilivyo.

Kwa ujinga huu kwenye hayo mafuvu yenu bora serikali iendelee kuongeza kodi tu. Hakuna uchawi
 
Again, story zote za ushirikina ni hearsay stories, wewe umesimuliwa na aliyekusimulia naye alisimuliwa ukitrace mzizi wake ni mjinga mmoja tu alijitungia na nyie mnaamini kama ilivyo.

Kwa ujinga huu kwenye hayo mafuzu yenu bora serikali iendelee kuongeza kodi tu. Hakuna uchawi
Unakaa hapo kwa shemeji jion ukivaa malapa na soksi huku umeweka earphones maskion unatafuta na big G unajiona unayajua sana maisha
 
Unakaa hapo kwa shemeji jion ukivaa malapa na soksi huku umeweka earphones maskion unatafuta na big G unajiona unayajua sana maisha

Serikali ianzishe kodi ya ujinga kwa viwango hivi vya ujinga mnavyodisplay hapa.

Mnaanzaje kuamini story kama hizi eti watu wanayeyuka sijui diwani asiye na jina anakufa afu anafufuka 🤣 🤣 mitanganyika ni bure kabisa.
 
Kumbe Zanzimba nao hawajambo,
Anyway Mimi mwenyewe niliwahi kupanga nyumba moja na mama kutoka kigoma aisee yule mama nimchawi Sana kama niuchawi basi anadegree au master kabisa kwani alikuwa na uwezo wa kujigeuza paka, kumuingia mtu mwilini mwake na kumuamlisha afanye atakayo yeye
Nakumbuka Sana Sana alikuwa anamtumia mjukuu wake kufanya uchawi pia alikuwa na uwezo wakufarakanisha yaani jambo dogo unakuta hamuelewani.

Kuna kipindi niliwahi muona anatoka gheto kwetu kupitia mlangoni ikiwa tulifunga na ilikuwa usiku, alinifanyia vitimbi Sana yule mama mpaka nahama pale Kuna vitu alivipandikiza kwenye Kitanda changu kwani nikawa nikilala Kuna hali Fulani ilikua inanizonga na kujikuta nakata tamaa ya kuishi wakati mwingine nakuwa na Hasira Sana na kuanza kuongea pekeangu, aisee sitasahau alichonifanyia yule mama wa kiha.
Mh! Hii chai hii
 
Kwahiyo mchawi mnayeamini anaweza kupita kwenye ukuta anashindwa kupata details zangu bila mimi kumwambia? Mnaona lakini viwango vyenu vya uzwazwa

Narudia serikali ianzishe kodi ya ujinga kwa huu uzwazwa wenu mnaodisplay hapa na kuuamini.
sawa mjanja
 
Serikali ianzishe kodi ya ujinga kwa viwango hivi vya ujinga mnavyodisplay hapa.

Mnaanzaje kuamini story kama hizi eti watu wanayeyuka sijui diwani asiye na jina anakufa afu anafufuka 🤣 🤣 mitanganyika ni bure kabisa.
We msenge inabidi siku moja ukutanishwe na nguli wa shughuli tu akuchukue maelezo kisha ndani ya week tu akubadilishie program za kwenye ubongo uanze kucheza na majalala tu!
 
Kwahiyo mchawi mnayeamini anaweza kupita kwenye ukuta anashindwa kupata details zangu bila mimi kumwambia? Mnaona lakini viwango vyenu vya uzwazwa

Narudia serikali ianzishe kodi ya ujinga kwa huu uzwazwa wenu mnaodisplay hapa na kuuamini.
Wewe kwanini unagoma kukutana na mtaalam sasa kama unajiamini! Wapo watu ndio shughuli zao hizo usianze kuruka kimango! Wewe uchawi huuamini tunakukutanisha na mtaalamu anakuchuka maelezo week tu inakutosha!
 
Jamaa details hawezi toa si anajua kuwa shughuli itakuwa pevu! Atoe majina na nywele tu za kichwa aone balaa lake
anazani utani kuna dogo jirani alikuwa anatupa movie nzima na nilishawahi pigwa na pera usiku nikajifanya kurudisha nilikohoa siku nzima.

Ila baada ndo kakasema dada yake alinipiga nalo usiku acheni haya mambo yapo
 
Back
Top Bottom