Visa vya Uchawi na Ushirikina Mkoani Kigoma Mwisho wa Reli

Visa vya Uchawi na Ushirikina Mkoani Kigoma Mwisho wa Reli

Sawa, umesema wachawi wanaweza kupaa, kuyeyuka na kufufuka ila hawawezi kupata details zangu basi tukutane Times Square NY they pick the time. Wao wafike hapo kichawi mimi nawaletea details zangu zote hadi kimba wakitaka.
Hahahahah sasa kumbe unaringa sababu uko New York mzee! Huko watu wako busy na maisha nani ana muda wa kufuatilia umekula nini ama umefanya nini cha maendeleo yako binafsi?
 
Hahahahah sasa kumbe unaringa sababu uko New York mzee! Huko watu wako busy na maisha nani ana muda wa kufuatilia umekula nini ama umefanya nini cha maendeleo yako binafsi?

Wanakuja au napo hawawezi?
 
mi huwa mawachora tu ety uchawi hamna mimi mwenyewe nilikuwaga mbishi hivi hivi ila ile siku sikuwa na hamu ukicheki miti ya mipera iko mbali na mimi ila nilipigwa ya mgongo toka siku hiyo niliacha kukaa nje hadi mida ya saa sita saa nne tu nishazama ndani.

Ulishasikia njaa mpauko wale wangese msosi upo wa kutosha unakula hushibi kumbe mnakula nayo
😂😂😂😂😂
 
we jamaa mmiliki wa uzi leta jina huku unatukosesha mpungu kizembe hivi tunakusubiri
Huwa sina muda wa kubishana na wapumbavu au washamba. Kuna watu wanatafuta uzi wa kutokea/kufahamika.ukisoma tu texts za jamaa unagundua ni mshamba flani hivi anayetaka kuonekana mjanja.
 
Back
Top Bottom