Visa vya Uchawi na Ushirikina Mkoani Kigoma Mwisho wa Reli

Visa vya Uchawi na Ushirikina Mkoani Kigoma Mwisho wa Reli

Huwa sina muda wa kubishana na wapumbavu au washamba. Kuna watu wanatafuta uzi wa kutokea/kufahamika.ukisoma tu texts za jamaa unagundua ni mshamba flani hivi anayetaka kuonekana mjanja.
daah sasa vipi hiyo laki tunaiacha hv hv
 
Mlikuwa wote wapangaji au yeye ni mwenye nyumba?
Alikua mpangaji kama Mimi tuu na Tena alinikuta yaani Mimi ndiye wakwanza kupanga kwenye Lile Banda, pia nilisahau kitu kimoja
Yaani yule mama alikuwa muda woote kavaa maijabu kuonyesha Dini imemkaaa lakini Kumbe ni Simba ila kavaa ngozi ya kondooo
 
Huwa sina muda wa kubishana na wapumbavu au washamba. Kuna watu wanatafuta uzi wa kutokea/kufahamika.ukisoma tu texts za jamaa unagundua ni mshamba flani hivi anayetaka kuonekana mjanja.

Toa jina it's that simple. Udiwani ni public office therefore there names are public record. Acha kudanganya watu na story za kusadikika.
 
Mh! Hii chai hii
Mkuu ukitaka Mimi nawewe tukutane nikupeleke pale kwenye ile nyumba na ujaribu kuuliza story yake kwa7bu naye alishahma pale, mkuu mpka sasa nahangaika kuyanasua mauchawi aliyonifanyia kwani alidhamiria kunifanya niwe chizi.

Usiombe yakukute mkuu na nimejifunza usipende kutoa Siri za watu kwani ilifika kipindi Hadi mwanae aliniambia yakwamba mdomo wangu umeniponza
 
Kuna siku nilikiwa kibondo pale wilaya ya kgm sasa kuna guest nifikia (jina lina anza na miku...) sasa umefika ucku mda wa kulala nikavyua ngua zangu nikazitupa chini tu.... asbu kuamka nikakuta nguo zimeloanishwa maji yani ukizikamua zinatoa maji na hakuna mvua iliyonyesha wala maji waliyoingia ndan chumba kizima likuwa kikavu na chumba kilikukuwa sio self labda kusema maji yametoka chooni kuingia ndani na chumba nilifunga na funguo kwa ndani..!!!

Sitisahau lile tukio

Ulitakiwa utafute mwenyeji ulale nae wewe mgeni unalala peke yako kibondo mtakuja kufa kizembe, haukuulizwa unataka mwenyeji?
 
Again, story zote za ushirikina ni hearsay stories, wewe umesimuliwa na aliyekusimulia naye alisimuliwa ukitrace mzizi wake ni mjinga mmoja tu alijitungia na nyie mnaamini kama ilivyo.

Kwa ujinga huu kwenye hayo mafuvu yenu bora serikali iendelee kuongeza kodi tu. Hakuna uchawi

Hua ni story tu hizo mimi binafsi hua siziamini kabisa
 
Mkuu sasa kwenye hiyo laki tano si unitolee na mimi ten

Mkuu I will gladly do so. Huyu muuza hii chai atoe jina tu.

Ilibidi aambatanishe jina la Mh Diwani kwenye uzi bila sisi kuulizia ila sasa anaficha tena kwa malipo kama sio chai ni nini?

Namshangaa zaidi anayeamini hii chai kuliko mtunga chai mwenyewe Chizi Maarifa
 
Unatumia Ids mbili uje uwatapeli watu.... Unakuja ji support mwenyewe.....huu ujanja wa zamani sana.🤣🤣🤣🤣🤣 Hivi bado unapata mademu kwa style hii? Washamba labda.

Umewahi kusikia wapi jina la diwani linafichwa 🤣 🤣

Mitanganyika kama nyie inabidi mlipe tozo ya uzwazwa
 
Mkuu ukitaka Mimi nawewe tukutane nikupeleke pale kwenye ile nyumba na ujaribu kuuliza story yake kwa7bu naye alishahma pale, mkuu mpka sasa nahangaika kuyanasua mauchawi aliyonifanyia kwani alidhamiria kunifanya niwe chizi.

Usiombe yakukute mkuu na nimejifunza usipende kutoa Siri za watu kwani ilifika kipindi Hadi mwanae aliniambia yakwamba mdomo wangu umeniponza
Ungekuwa una Imani ningekushauri ukaombewe ila ndio huna Basi tena
 
Back
Top Bottom