Kwahiyo wachawi ambao mnaamini are omnipotence (all powerful) hawawezi kuniroga bila kukutana na mimi ๐คฃ ๐คฃ
Hapo hapo mnasema wachawi wanafanya watu wanayeyuka wengine wanakufa na kufufuka kama huyo diwani asiye na jina ila kuniroga lazima wakutane na mimi. Does this make sense to you? Huko shuleni mlienda kusomea ujinga ama?
Mpe username yangu tu afanye uchawi wake kesho niwe kuku.
Mwisho, natoa rai serikali ianzishe kodi ya ujinga maana mitanganyika bado mizwazwa sana kama bado inaamini story kama hizi.