Visa vya Uchawi na Ushirikina Mkoani Kigoma Mwisho wa Reli

Visa vya Uchawi na Ushirikina Mkoani Kigoma Mwisho wa Reli

anazani utani kuna dogo jirani alikuwa anatupa movie nzima na nilishawahi pigwa na pera usiku nikajifanya kurudisha nilikohoa siku nzima.

Ila baada ndo kakasema dada yake alinipiga nalo usiku acheni haya mambo yapo
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… maniner haya mambo ya mzizi olojia ni balaa
 
We msenge inabidi siku moja ukutanishwe na nguli wa shughuli tu akuchukue maelezo kisha ndani ya week tu akubadilishie program za kwenye ubongo uanze kucheza na majalala tu!

Kwahiyo wachawi ambao mnaamini are omnipotence (all powerful) hawawezi kuniroga bila kukutana na mimi ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ

Hapo hapo mnasema wachawi wanafanya watu wanayeyuka wengine wanakufa na kufufuka kama huyo diwani asiye na jina ila kuniroga lazima wakutane na mimi. Does this make sense to you? Huko shuleni mlienda kusomea ujinga ama?

Mpe username yangu tu afanye uchawi wake kesho niwe kuku.

Mwisho, natoa rai serikali ianzishe kodi ya ujinga maana mitanganyika bado mizwazwa sana kama bado inaamini story kama hizi.
 
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… maniner haya mambo ya mzizi olojia ni balaa
mi huwa mawachora tu ety uchawi hamna mimi mwenyewe nilikuwaga mbishi hivi hivi ila ile siku sikuwa na hamu ukicheki miti ya mipera iko mbali na mimi ila nilipigwa ya mgongo toka siku hiyo niliacha kukaa nje hadi mida ya saa sita saa nne tu nishazama ndani.

Ulishasikia njaa mpauko wale wangese msosi upo wa kutosha unakula hushibi kumbe mnakula nayo
 
Kwahiyo wachawi ambao mnaamini are omnipotence (all powerful) hawawezi kuniroga bila kukutana na mimi ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ

Hapo hapo mnasema wachawi wanafanya watu wanayeyuka wengine wanakufa na kufufuka kama huyo diwani asiye na jina ila kuniroga lazima wakutane na mimi. Does this make sense to you? Huko shuleni mlienda kusomea ujinga ama?

Mpe username yangu tu afanye uchawi wake kesho niwe kuku.

Mwisho, natoa rai serikali ianzishe kodi ya ujinga maana mitanganyika bado mizwazwa sana kama bado inaamini story kama hizi.
Usichokielewa wewe ni kuwa hata maabara huwa wanachukua sample! Thats how it works hata kwa science mwitu mzee ๐Ÿ˜….., wewe siku umeshiba zako kande jikokote tukutane mahali flani sie tutatafuta mtaalam kwa gharama zetu kisha utampatia briefing yako kisha umpatie majina kamili na kanywele kadogo ka kichwa then utulie tu after some time utatoa mrejesho!
 
Kwahiyo wachawi ambao mnaamini are omnipotence (all powerful) hawawezi kuniroga bila kukutana na mimi ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ

Hapo hapo mnasema wachawi wanafanya watu wanayeyuka wengine wanakufa na kufufuka kama huyo diwani asiye na jina ila kuniroga lazima wakutane na mimi. Does this make sense to you? Huko shuleni mlienda kusomea ujinga ama?

Mpe username yangu tu afanye uchawi wake kesho niwe kuku.

Mwisho, natoa rai serikali ianzishe kodi ya ujinga maana mitanganyika bado mizwazwa sana kama bado inaamini story kama hizi.
we jamaa hata boarding school hujapita kweli
 
mi huwa mawachora tu ety uchawi hamna mimi mwenyewe nilikuwaga mbishi hivi hivi ila ile siku sikuwa na hamu ukicheki miti ya mipera iko mbali na mimi ila nilipigwa ya mgongo toka siku hiyo niliacha kukaa nje hadi mida ya saa sita saa nne tu nishazama ndani.

Ulishasikia njaa mpauko wale wangese msosi upo wa kutosha unakula hushibi kumbe mnakula nayo
Hahahahaha wanakula shea yako bila kujua
 
dogo langu kaibiwa shuka skuli yupo home anakohoa balaa baada ya shuka kupotea afu jitu linaloolpoka tu kama uamini bora ukae kimya.

Tuliojionea ndo tunajua
Hahahahahah anatakiwa apigwe advertise
 
Usichokielewa wewe ni kuwa hata maabara huwa wanachukua sample! Thats how it works hata kwa science mwitu mzee ๐Ÿ˜….., wewe siku umeshiba zako kande jikokote tukutane mahali flani sie tutatafuta mtaalam kwa gharama zetu kisha utampatia briefing yako kisha umpatie majina kamili na kanywele kadogo ka kichwa then utulie tu after some time utatoa mrejesho!

Kwahiyo wachawi wanaweza kila kitu isipokua kupata details na nywele za mtu?

Enyi mitanganyika mnakuaje mazwazwa kiasi cha kuhadaika kirahisi hivi.
 
Kwahiyo wachawi wanaweza kila kitu isipokua kupata details na nywele za mtu?

Enyi mitanganyika mnakuaje mazwazwa kiasi cha kuhadaika kirahisi hivi.
Wewe usibishane sana ishu simple, ni kakikao ka 20 minutes tu utoe details zako na uwape sample! Basi the rest will be history
 
dogo langu kaibiwa shuka skuli yupo home anakohoa balaa baada ya shuka kupotea afu jitu linaloolpoka tu kama uamini bora ukae kimya.

Tuliojionea ndo tunajua

Mwambie aache uchafu awe anafua mashuka.
 
Wewe usibishane sana ishu simple, ni kakikao ka 20 minutes tu utoe details zako na uwape sample! Basi the rest will be history

Sawa, umesema wachawi wanaweza kupaa, kuyeyuka na kufufuka ila hawawezi kupata details zangu basi tukutane Times Square NY they pick the time. Wao wafike hapo kichawi mimi nawaletea details zangu zote hadi kimba wakitaka.
 
toa details basi mkuu hawa watu humu hawakosekani ili utumike kama sample ndo ujue ni uchafu

Nishajibu.

Mmesema wachawi wanaweza kupaa, kuyeyuka na kufufuka ila hawawezi kupata details zangu basi tukutane Times Square NY they pick the time. Wao wafike hapo kichawi mimi nawaletea details zangu zote hadi kimba wakitaka.

Au hili nalo hawawezi?
 
Back
Top Bottom