Visa vyangu vya mapenzi: Harakati za kusaka mume

Ila hii mada imechangamka ila tuna machungu sana za kuliwa nauli chenkov tuelewe tu
 
🤣🤣🤣 Nini kimetokea?
Mawinga tuna hekaheka sana.!
Mshauri bi dada basi mi hapa kuna mteja kanivuruga akili mpk nataka kufanya maamuzi magumu, sijui nilete kisa changu mnishauri na mimi!!
We leta kisa chako mi sitashauri Mtu mpaka niwe na bima ya afya & mwanasheria
 
Kwanini wewe unadhani ana shida na wewe? Kwani wewe huna shida nae? Mimi nadhani jamaa yuko sahihi anapima je wewe uko tayari ku invest kwenye hilo penzi.. kwa kujitolea ticket tu? ila wewe unaona yeye ana shida.. huyu achana nae atakuumbua huyo.
Jamaa jinsi anavyomfikiria manzi ni tofauti na manzi anavyojifikiria na anavyomfirikia jamaa.

Ukimsoma vizuri utamuelewa.
 
🤣🤣🤣 Nini kimetokea?
Mawinga tuna hekaheka sana.!
Mshauri bi dada basi mi hapa kuna mteja kanivuruga akili mpk nataka kufanya maamuzi magumu, sijui nilete kisa changu mnishauri na mimi!!
Nini kimetokea au nikuitie aposto😆
 
Tukutane uswazi....when we meet everyday
 
Bff aposto sio wa mchezo mchezo hili pepo lililonikumba ghafla sijui Nani kanitupia alooo 🤣🤣🤣
Mbona kaniweza
Nini kimetokea...usinambie umedondokea mikononi mwa aposto
 
Bonge la chai aisee halafu unatumia muda mrefu kuandika chai.
Eti New York na Tanzania ni tofauti ya masaa 12. Tanzania iko mbele masaa 7 tu. Hivi huwa mnaanzaje anzaje kutengeneza hizi status fake?😂😂😂
 
Sasa si unikumbushe, ujue dada ako bichwa langu lina mambo mengi bana.!
Naona una mambo mengi kama unga wa ngano.
Kuna kastori tuliongea labda umekasahau. Next time nitakukumbusha.
I don't want peace, i like problems.
 
Naona una mambo mengi kama unga wa ngano.
Kuna kastori tuliongea labda umekasahau. Next time nitakukumbusha.
I don't want peace, i like problems.
🤣🤣🤣 hapo kwenye “I don’t want peace” ndio penyewe sasa.!! Kuna mupya gani?
 
Reactions: 511
🤣🤣🤣 hapo kwenye “I don’t want peace” ndio penyewe sasa.!! Kuna mupya gani?
Acha leo watu wafurahie tu, sitaki kuondoa amani.
Kuna pdf 4 mpya na makaburi ya kufufua 8. Natafuta motel nzuri nikazindulie. Elewa neno motel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…