wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Sent using Jamii Forums mobile app
is that a crime
Kenge wewe kubwa jingaHakuna kisima cha mafuta Kigamboni na lake oil hawajawahi kuwa na kisima cha mafuta Tanzania hii, labda useme matenki ya mafuta ya lake oil.
Hizi shule za kusomea ujinga ni majanga.
Bibi tusamehe bure, tupo kwenye heka heka za kuzima moto sasa.Hakuna kisima cha mafuta Kigamboni na lake oil hawajawahi kuwa na kisima cha mafuta Tanzania hii, labda useme matenki ya mafuta ya lake oil.
Hizi shule za kusomea ujinga ni majanga.
Upo tbt ipi njoo hapa forty forty nikupe biaTaratibu jaman! Mie niliyopo Tabata sijaona moshi ndo mniambie Moro mumeona moshi mkubwa angani!
Hii Ni baada ya itikadi na Mwenezi wetu kusikitishwa na Shambulio la Mabeberu kwa Bwana Kasimu Selemani [emoji38]Tukio hilo lihusishwe moja kwa moja na Iran.
Fursa hiyo mkuuDuh, Mungu asaidie maana ishu ya wese si ya kitoto.
AaaahKwaiyo maji nayotumia mimi kuzima mkaa wangu jikoni, hiyo carbon dioxide inakua imewekwa na nani?
Tueleze wewe ambaye umepitia chemistry ya fom two
Wewe ajuza unakulaga ugolo?Hakuna kisima cha mafuta Kigamboni na lake oil hawajawahi kuwa na kisima cha mafuta Tanzania hii, labda useme matenki ya mafuta ya lake oil.
Hizi shule za kusomea ujinga ni majanga.
Hilo ajuza ujuaji huwa mwingi, yani yeye kila kitu anajua hana mashikolo mageniAcha kujifanya mjuaji wakati kichwani ni upepo.
Ati Tanzania hakuna Visima vya mafuta. Sijui umetumia Criteria ipi kuwasilisha upuuzi huu. Unajua maana ya kisima? Unajua maana ya "Tank"
Yaani kama kuna visima vya Maji iweje kusiwepo na Visima vya Mafuta?
Najua mawazo yako Mgando utasema visima vya Mafuta ni vile vilivyopo Uarabuni. Ili ujue kichwa chako sio kizima.
Kisima cha mafuta hata wewe unaweza kuwa macho hapo nyumbani. Unachimba kisima cha kawaida kisha unayahifadhi mafuta humo ndani.
Sheli( Nafahamu ni kampuni ya mafuta) lakini kwa Watanzania walisema Sheli wanalenga vituo vya mafuta. Hivyo nitatumia neno hilo hilo kurejelea maana ya kituo cha mafuta. Sheli nyingi Tanzania zinavisima vya Mafita sasa wewe sijui unapataje uhodari kusema kigambamo hakuna kisima cha mafuta tena ujinga wako ukakupeleka mbali zaidi kuitaja Tanzania ati haina visima vya mafuta.
Labda uje na maana mpya ya Istilahi "Kisima" na hiyo ya "Tank"
Haya Wasomaji watajua nani aliyesomea ujinga. Kati ya mtoa post na wewe Mvamia post.
Hongera jeshi letu. Asante kwa kutimiza wajibu.Vikosi vya zimamoto vimefanikiwa kuzima moto huo...kazi ilikuwa ngumu..tokea saa mbili mpaka saa sita kasoro