WATANZANI TUEPUKE UJINGA
Tuzuie mikusanyiko wenyewe
Watumishi Makanisa Misikiti nyumba zote za Ibada mmeona kilichotokea Italy Iran South Korea IBADA zimewafanya wengi kuambukizwa
Umoja wa Mataifa utakuja kuwafungulia viongozi wengi duniani kwa kuwapotosha watu wao wakaangamia kama nzige
Russia nako kiongozi wao ana fikra potofu sasa kuna Doctor amerudi toka Italy mgonjwa sana kabla ya kuanza kuugua amefanya vikao amekutana na watu wengi hofu iliyopo sasa watu wengi wataanza kuugua itakuwa Italy imehamia Russia. Amefunguliwa mashtaka yupo hoi kitandani akipatikana na hatia miaka mitano au zaidi jela inamhusu
Huku kwetu tunaambiwa twende kanisani misikitini kuabudu na kuomba shetani corona atoweke!
Are serious na maisha ya watu kweli
Tuna kiongozi sijui mtawala aliyekosa uelewa sijui atatambua hatari hii lini?
Wazazi wetu wakipoteza maisha kwa sababu ya Corona ' we will sue you'