Vita dhidi ya corona: RC Makonda aiombea Dar na Tanzania

Vita dhidi ya corona: RC Makonda aiombea Dar na Tanzania

Mhubiri Paulo yupo pampja na mchungaji masanja. Wakihubiri neno la Bwana na wanaichambua Bible
276D1071-2324-4481-84F2-0A83110BA60E.jpeg
 
Wanabodi,
Wale wenye access ya Wasafi TV, angalia live ya asubuhi hii.

Wanabodi, kuna vitu niliwahi kuvisema humu kumhusu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda, kuwa huyu ni mpakwa mafuta wa Mungu, naomba tumshuhudie akihubiri live asubuhi hii kupitia Wasafi TV.

Kiukweli nimekuwa very impressed na huyu jamaa.

Makonda anatoa sifa 10 za Mungu, leo amezisema sifa 7, kutokana na muda, leo amezitaja sifa 7, na sifa 3 atazimalizia next time.
Jumapili asubuhi huwa namsikiliza Dr. Ellie kule Chomoza ya Clouds, hivyo baada ya Dr. Ellie ndio nimekuja Wasafi nimemkuta Pasta Makonda akiitaja sifa ya 7 ya Mungu ni yupo popote.

Kumbe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ni Bonge la Mhubiri!, Akifungua Kanisa Lake Litafunika Bovu!. Atisha!, Mshuhudie Live Wasafi TV!.

Paskali
Pascal nilikuwa nakuona mtu wa maana kumbe nawewe ni hovyo kiasi hiki?? Bashite ni mpakwa mafuta wa Bwana?? Mbona mnapenda kumdhihaki Mungu kiasi hiki??

Acha kumtaja Mungu kupitia huyo jamaa Pascal,binafsi nimetune channel nyingine baada ya kumuona huyo punguani kwenye kipindi, WASAFI Tv wapuuzi sana hiki ni kipindi cha dini wanamualika mwanasiasa mjinga Kama Bashite nonsense

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makonda anasema Mungu ni Baba, anakujua kujua kuliko unavyojijua, hivyo anafahamu mahitaji yako kuliko hata wewe unavyojijua wewe mwenyewe.

Kuna vitu unaweza kuomba Mungu na kuna vitu Mungu anakupa bila hata ya wewe kuomba.
P
 
ANamwambia masanja amuangalizie kile kitabu kinachosema utafuteni kwanza ufalme wa Mungu .! Nadhani mtumishi mistari itakuwa kaisahau.
 
Pasta Makonda anasisitiza, " Utafuteni kwanza ufalme wa Mungu, mengine yote mtazidishiwa na kupewa kwa ziada.
P
 
Yapo mambo ambayo dada anahisi lazima ayafanye ni wajibu wake.

Ukiona wvijana wanakomaa na gim ni ili kuwalinda wasichana wao. -Mtumishi paulo makonda
 
Unategemea leo JPM ampigie IGP ampigie siro simu kumuomba ulinzi? Sio jukumu lake - Mtumishi Paulo
 
Salamu kwenu.

Kupitia Wasafai FM 89.9 Mh. Makonda ameongoza ukemeaji kwa njia ya maombi dhidi ya corona.

Ameendelea kutoa tafakari/mahubiri ya mistari kadhaa kutoka ktk biblia. Mf. Isaya 18:1.

Hakika Dar tunakiongozi mwenye kipaji kama ambavyo daima amethubutu katika maamuzi mbali mbali.

Hapa ni sehemu tu ya maombi.


Sent using iphone pro max
Wanahubiri amani huku wameficha majanga by Professor Jay 😁😁😁😁😁 they preach what they dont practices ila jambo moja Kuwa Mungu hadhihakiwi
 
Pascal nilikuwa nakuona mtu wa maana kumbe nawewe ni hovyo kiasi hiki?? Bashite ni mpakwa mafuta wa Bwana?? Mbona mnapenda kumdhihaki Mungu kiasi hiki?? Acha kumtaja Mungu kupitia huyo jamaa Pascal,binafsi nimetune channel nyingine baada ya kumuona huyo punguani kwenye kipindi, WASAFI Tv wapuuzi sana hiki ni kipindi cha dini wanamualika mwanasiasa mjinga Kama Bashite nonsense

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha chuki mkuu ! tofaut zako za kiitikadi usizilete kwenye dini,shame!.Mnajua ku attack personalities tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom