Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Makonda anaweza akawa Sauli wa Tanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani Masanja ni msomaji tu,anapewa mistari na Mh. Pastor Makonda.ANamwambia masanja amuangalizie kile kitabu kinachosema utafuteni kwanza ufalme wa Mungu .! Nadhani mtumishi mistari itakuwa kaisahau.
Mkuu ogopa sana watu wanaotumia maandiko kuficha uovu wao ni wabaya mnookabla kuiombea Tz anapaswa kutubu. Mambo yamchukizayo Mungu aliyoyafanya sirini na hadharani yote Mungu anayajua
Atakuwa anakemea malaika wa Mungu ambao ndio wanatulinda.Salamu kwenu.
Kupitia Wasafai FM 89.9 Mh. Makonda ameongoza ukemeaji kwa njia ya maombi dhidi ya corona.
Ameendelea kutoa tafakari/mahubiri ya mistari kadhaa kutoka ktk biblia. Mf. Isaya 18:1.
Hakika Dar tunakiongozi mwenye kipaji kama ambavyo daima amethubutu katika maamuzi mbali mbali.
Hapa ni sehemu tu ya maombi.
Sent using iphone pro max
Toba ameizungumzia vizuri sana. Hata namna nzuri ya kufanya toba ili maombi yako yapokelewe. Bila shaka toba anaifanya.kabla kuiombea Tz anapaswa kutubu. Mambo yamchukizayo Mungu aliyoyafanya sirini na hadharani yote Mungu anayajua
Nauelewa mzunguko wenu na akina bashite. Mtaishia kwenye shimo lisilo na mwisho.Makonda Ni mpakwa mafuta mteule watu hawajui tuh,jamaa anakipawa kikubwa ndani yake
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Hahaha.Sjibbolet kwanza tuhuma za Pompeo
HAhha hayo. MAfuta labda kapakwa na pole pole na itakuwa ni K y JellMakonda Ni mpakwa mafuta mteule watu hawajui tuh,jamaa anakipawa kikubwa ndani yake
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Kila ninavyosoma michango yako huwa naishia kusikitika tu yani nachefuka. Dah haya kila mtu na opinion but you are not the Pascal we knew uess kuna kitu unatafuta.Wanabodi,
Wale wenye access ya Wasafi TV, angalia live ya asubuhi hii.
Wanabodi, kuna vitu niliwahi kuvisema humu kumhusu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda, kuwa huyu ni mpakwa mafuta wa Mungu, naomba tumshuhudie akihubiri live asubuhi hii kupitia Wasafi TV.
Kiukweli nimekuwa very impressed na huyu jamaa.
Makonda anatoa sifa 10 za Mungu, leo amezisema sifa 7, kutokana na muda, leo amezitaja sifa 7, na sifa 3 atazimalizia next time.
Jumapili asubuhi huwa namsikiliza Dr. Ellie kule Chomoza ya Clouds, hivyo baada ya Dr. Ellie ndio nimekuja Wasafi nimemkuta Pasta Makonda akiitaja sifa ya 7 ya Mungu ni yupo popote.
Kumbe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ni Bonge la Mhubiri!, Akifungua Kanisa Lake Litafunika Bovu!. Atisha!, Mshuhudie Live Wasafi TV!.
Paskali
Kuwa Marekani walivyonavuo wataviacha hapahapa hata wakiwapa watu ban ya kuingia kwao.Hahaha.
Unasemaaa?
Baada ya Pasta Makonda kutaja sifa 7 za Mungu, sasa Pasta Makonda anafundisha kuhusu aina za maombi.
P
Pandemic covidi imeleta confusion siyo kawaida Tanzania.Baada ya Pasta Makonda kutaja sifa 7 za Mungu, sasa Pasta Makonda anafundisha kuhusu aina za maombi.
P
....... NumberdSalamu kwenu.
Kupitia Wasafai FM 89.9 Mh. Makonda ameongoza ukemeaji kwa njia ya maombi dhidi ya corona.
Ameendelea kutoa tafakari/mahubiri ya mistari kadhaa kutoka ktk biblia. Mf. Isaya 18:1.
Hakika Dar tunakiongozi mwenye kipaji kama ambavyo daima amethubutu katika maamuzi mbali mbali.
Hapa ni sehemu tu ya maombi.
Sent using iphone pro max
😅😅duh wanaosali Hilo kanisa Ni marehemu wanaotembea tu.Salamu kwenu.
Kupitia Wasafai FM 89.9 Mh. Makonda ameongoza ukemeaji kwa njia ya maombi dhidi ya corona.
Ameendelea kutoa tafakari/mahubiri ya mistari kadhaa kutoka ktk biblia. Mf. Isaya 18:1.
Hakika Dar tunakiongozi mwenye kipaji kama ambavyo daima amethubutu katika maamuzi mbali mbali.
Hapa ni sehemu tu ya maombi.
Sent using iphone pro max