Vita dhidi ya corona: RC Makonda aiombea Dar na Tanzania

Vita dhidi ya corona: RC Makonda aiombea Dar na Tanzania

Paulo alilalamikiwa na kuhofiwa Kama muuaji lakini Mwenyezi Mungu hakuangalia mapungufu yake aliendelea kumtumia na kubadili jina kutoka Sauli na kuwa Paulo,Leo hii hekima yake na mafundisho yake ndio sehemu ya Biblia takatifu.

Nabii Musa alijiona muuaji na mwenye mapungufu mengi lakini Mwenyezi Mungu akasema wewe ndio ntakutumia kuwatoa watu wangu kutoka utumwani Misiri.

Unataka kujua kuhusu Mtumishi wa Mungu DAUDI,mapungufu yake yalikuwa hayapimiki kibinadamu,pamoja na kumtanguliza Askari wake mstari wa mbele katika Vita ili auwawe na kweli akauwawa na yeye akamchukua mke wa Askari wake,bado Mwenyezi Mungu hakuondoa kusudi lake juu ya DAUDI.
Isaya : Mlango 1
18 Haya, njoni, tusemezane, asema BWANA. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa kama sufu.
Asante kwa hoja hizi.
P
 
Mtawajua kwa matendo yao. Maneno hayo Pascal unayaelewa?

Andiko jingine linasema, "si kila asemaye Bwana Bwana atauona ufalme wangu bali ayaishiye mapenzi ya Baba". Hilo nalo walijua?

Watatenda miujiza, tena kwa jina langu, lakini msiwaamini maana ni manabii wa uwongo. Hilo walijua?

Hata shetani anaweza kunukuu Biblia lakini hawezi kuwa mtakatifu kwa sababu ya nukuu hizo.

Pascal, wapo wapakwa mafuta lakini kipimo chao siyo nukuu za biblia wala kuhubiri kwa sauti ya juu au uwezo wa kulia madhabahuni. Pascal, uzidi kuomba neema ya Mungu ili ujaliwe hekima ya Mungu, upate kuzijua siri za Baba wa mbinguni. Usipokuwa makini unaweza kushiriki katika kulihujumu Taifa la Mungu bila kutambua wala kukusudia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe matendo ya Makonda unayajua?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtawajua kwa matendo yao. Maneno hayo Pascal unayaelewa?
Pascal, wapo wapakwa mafuta lakini kipimo chao siyo nukuu za biblia wala kuhubiri kwa sauti ya juu au uwezo wa kulia madhabahuni. Pascal, uzidi kuomba neema ya Mungu ili ujaliwe hekima ya Mungu, upate kuzijua siri za Baba wa mbinguni. Usipokuwa makini unaweza kushiriki katika kulihujumu Taifa la Mungu bila kutambua wala kukusudia.
Mkuu Bams, asante kwa mchango huu, hayo nayajua, na nimeyazungumza mara kadhaa humu.
Makonda ni mpakwa mafuta wa kweli wa Mungu, angalia mapito yake na jinsi Mungu anavyo mpigania.

Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni - JamiiForums

P
 
Paulo alilalamikiwa na kuhofiwa Kama muuaji lakini Mwenyezi Mungu hakuangalia mapungufu yake aliendelea kumtumia na kubadili jina kutoka Sauli na kuwa Paulo,Leo hii hekima yake na mafundisho yake ndio sehemu ya Biblia takatifu.

Nabii Musa alijiona muuaji na mwenye mapungufu mengi lakini Mwenyezi Mungu akasema wewe ndio ntakutumia kuwatoa watu wangu kutoka utumwani Misiri.

Unataka kujua kuhusu Mtumishi wa Mungu DAUDI,mapungufu yake yalikuwa hayapimiki kibinadamu,pamoja na kumtanguliza Askari wake mstari wa mbele katika Vita ili auwawe na kweli akauwawa na yeye akamchukua mke wa Askari wake,bado Mwenyezi Mungu hakuondoa kusudi lake juu ya DAUDI.
Isaya : Mlango 1
18 Haya, njoni, tusemezane, asema BWANA. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa kama sufu.







Sent using Jamii Forums mobile app
Umenena yaliyomema. Hakika Mungu ni mwenye huruma na rehema. Hiweza kumuinua yeyote yule katika hali yeyote ile.

Sent using iphone pro max
 
Wanabodi,
Wale wenye access ya Wasafi TV, angalia live ya asubuhi hii.

Wanabodi, kuna vitu niliwahi kuvisema humu kumhusu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda, kuwa huyu ni mpakwa mafuta wa Mungu, naomba tumshuhudie akihubiri live asubuhi hii kupitia Wasafi TV.

Kiukweli nimekuwa very impressed na huyu jamaa.

Makonda anatoa sifa 10 za Mungu, leo amezisema sifa 7, kutokana na muda, leo amezitaja sifa 7, na sifa 3 atazimalizia next time.
Jumapili asubuhi huwa namsikiliza Dr. Ellie kule Chomoza ya Clouds, hivyo baada ya Dr. Ellie ndio nimekuja Wasafi nimemkuta Pasta Makonda akiitaja sifa ya 7 ya Mungu ni yupo popote.

Kumbe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ni Bonge la Mhubiri!, Akifungua Kanisa Lake Litafunika Bovu!. Atisha!, Mshuhudie Live Wasafi TV!.

Paskali
Hata mimi nilikuwa na Nina hubir nilipokuwa sekondari,lakini siku ya disco welcome form One na Form five au gradu za form four na six niliingia kucheza na wasichana,tena enz hizo ilikuwa unacheza ucku.Muuaji,muonevu kama huyo,amejaa unafik tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salamu kwenu.

Kupitia Wasafai FM 89.9 Mh. Makonda ameongoza ukemeaji kwa njia ya maombi dhidi ya corona.

Ameendelea kutoa tafakari/mahubiri ya mistari kadhaa kutoka ktk biblia. Mf. Isaya 18:1.

Hakika Dar tunakiongozi mwenye kipaji kama ambavyo daima amethubutu katika maamuzi mbali mbali.

Hapa ni sehemu tu ya maombi.


Sent using iphone pro max
Rwakatare na miti miti wao ndio walikuwa wa kwanza kuombea nchi saa hivi wako wapi
 
Wanabodi,
Wale wenye access ya Wasafi TV, angalia live ya asubuhi hii.

Wanabodi, kuna vitu niliwahi kuvisema humu kumhusu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda, kuwa huyu ni mpakwa mafuta wa Mungu, naomba tumshuhudie akihubiri live asubuhi hii kupitia Wasafi TV.

Kiukweli nimekuwa very impressed na huyu jamaa.

Makonda anatoa sifa 10 za Mungu, leo amezisema sifa 7, kutokana na muda, leo amezitaja sifa 7, na sifa 3 atazimalizia next time.
Jumapili asubuhi huwa namsikiliza Dr. Ellie kule Chomoza ya Clouds, hivyo baada ya Dr. Ellie ndio nimekuja Wasafi nimemkuta Pasta Makonda akiitaja sifa ya 7 ya Mungu ni yupo popote.

Kumbe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ni Bonge la Mhubiri!, Akifungua Kanisa Lake Litafunika Bovu!. Atisha!, Mshuhudie Live Wasafi TV!.

Paskali
Sema akifungua biashara yake... @prscal

...
 
Wanabodi,
Wale wenye access ya Wasafi TV, angalia live ya asubuhi hii.

Wanabodi, kuna vitu niliwahi kuvisema humu kumhusu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda, kuwa huyu ni mpakwa mafuta wa Mungu, naomba tumshuhudie akihubiri live asubuhi hii kupitia Wasafi TV.

Kiukweli nimekuwa very impressed na huyu jamaa.

Makonda anatoa sifa 10 za Mungu, leo amezisema sifa 7, kutokana na muda, leo amezitaja sifa 7, na sifa 3 atazimalizia next time.
Jumapili asubuhi huwa namsikiliza Dr. Ellie kule Chomoza ya Clouds, hivyo baada ya Dr. Ellie ndio nimekuja Wasafi nimemkuta Pasta Makonda akiitaja sifa ya 7 ya Mungu ni yupo popote.

Kumbe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ni Bonge la Mhubiri!, Akifungua Kanisa Lake Litafunika Bovu!. Atisha!, Mshuhudie Live Wasafi TV!.

Paskali
hahhaha pasco umekuwa comedian sasa siku hizi kaka...
 
Paulo alilalamikiwa na kuhofiwa Kama muuaji lakini Mwenyezi Mungu hakuangalia mapungufu yake aliendelea kumtumia na kubadili jina kutoka Sauli na kuwa Paulo,Leo hii hekima yake na mafundisho yake ndio sehemu ya Biblia takatifu.

Nabii Musa alijiona muuaji na mwenye mapungufu mengi lakini Mwenyezi Mungu akasema wewe ndio ntakutumia kuwatoa watu wangu kutoka utumwani Misiri.

Unataka kujua kuhusu Mtumishi wa Mungu DAUDI,mapungufu yake yalikuwa hayapimiki kibinadamu,pamoja na kumtanguliza Askari wake mstari wa mbele katika Vita ili auwawe na kweli akauwawa na yeye akamchukua mke wa Askari wake,bado Mwenyezi Mungu hakuondoa kusudi lake juu ya DAUDI.
Isaya : Mlango 1
18 Haya, njoni, tusemezane, asema BWANA. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa kama sufu.







Sent using Jamii Forums mobile app
Correct mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,
Wale wenye access ya Wasafi TV, angalia live ya asubuhi hii.

Wanabodi, kuna vitu niliwahi kuvisema humu kumhusu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda, kuwa huyu ni mpakwa mafuta wa Mungu, naomba tumshuhudie akihubiri live asubuhi hii kupitia Wasafi TV.

Kiukweli nimekuwa very impressed na huyu jamaa.

Makonda anatoa sifa 10 za Mungu, leo amezisema sifa 7, kutokana na muda, leo amezitaja sifa 7, na sifa 3 atazimalizia next time.
Jumapili asubuhi huwa namsikiliza Dr. Ellie kule Chomoza ya Clouds, hivyo baada ya Dr. Ellie ndio nimekuja Wasafi nimemkuta Pasta Makonda akiitaja sifa ya 7 ya Mungu ni yupo popote.

Kumbe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ni Bonge la Mhubiri!, Akifungua Kanisa Lake Litafunika Bovu!. Atisha!, Mshuhudie Live Wasafi TV!.

Paskali
Hebu acheni kumu overwork huyu mtu,atafungua vitu vingapi? Ni mhubiri wa amani,ni mhubiri wa chuki,ni mpatanishi mwenye kiwango cha juu cha ugombanishi,ni mlinzi wa haki anayewanyima watu haki ya kuishi,ni mhubiri mzuri wa neno la mungu ila matendo yake ni ya kishetani,anamtaja mungu mara nyingi sana ila anamsapoti shetani muda WOTE,!!! USHAHIDI~Ametuhumiwa mara nyingi sana kutoa maamuzi ya uonevu,tumeshuhudia akimkosea MUNGU kwa Kumpiga Mzee hadharani!!!! Alimpiga ngumi mzee kawawa hadharani,hichi ni kitendo ambacho hata mtu mwenye tatizo la akili hawezi kufanya, alivamia ofisi ya watu kwa silaha usiku,hatukuwahi kuambiwa kosa la hao waliovamiwa hadi sasa!!labda kwa sababu hawakuwa na kosa lolote? Ametuhumiwa kukwepa KODI! Kukwepa kodi halali ni DHAMBI, hakuwahi kukanusha,na alituhumiwa kwa hilo hata na mwajiri wake,kuna wakati alimwomba Mh rais ampe kazi ya "KUWASHUGHULIKIA" wote wanaompinga rais!! Amekuwa akiwatukana watu hadharani hata wale waliomzidi umri,ref afisa ardhi ilala(?) Ni mchonganishi,ref kisa cha kumchonganisha marehemu Kabwe kwa magufuli pale daraja la nyerere,hayo ni machache kati ya mengi tuliyoyashuhudia kwa macho yetu na kuyasikia kwa masikio yetu!! Jumuiya ya kimataifa nayo inamtuhumu kwa kukatisha haki za watu kuishi!! Hizi si tuhuma ndogo,hajawahi kuzipinga(?)hadharani,je Mungu anaruhusu kuwa na mtumishi Mtuhumiwa? Kuna wanaomuhusisha na shambulio la Lissu,zaweza kuwa tuhuma tu,ila si fahari kwa mtu wa Mungu,yeye inaonyesha huwa anafurahia kutuhumiwa ili kuogopwa,hiyo si sifa ya mtumishi wa Mungu,nhaa imeniuma,ngoja nikale.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,
Wale wenye access ya Wasafi TV, angalia live ya asubuhi hii.

Wanabodi, kuna vitu niliwahi kuvisema humu kumhusu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda, kuwa huyu ni mpakwa mafuta wa Mungu, naomba tumshuhudie akihubiri live asubuhi hii kupitia Wasafi TV.

Kiukweli nimekuwa very impressed na huyu jamaa.

Makonda anatoa sifa 10 za Mungu, leo amezisema sifa 7, kutokana na muda, leo amezitaja sifa 7, na sifa 3 atazimalizia next time.
Jumapili asubuhi huwa namsikiliza Dr. Ellie kule Chomoza ya Clouds, hivyo baada ya Dr. Ellie ndio nimekuja Wasafi nimemkuta Pasta Makonda akiitaja sifa ya 7 ya Mungu ni yupo popote.

Kumbe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ni Bonge la Mhubiri!, Akifungua Kanisa Lake Litafunika Bovu!. Atisha!, Mshuhudie Live Wasafi TV!.

Paskali
Mzee unangata unapuliza
Nyie Watoto born from magorofani mna shida sanaa
[emoji23][emoji23][emoji23]

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salamu kwenu.

Kupitia Wasafai FM 89.9 Mh. Makonda ameongoza ukemeaji kwa njia ya maombi dhidi ya corona.

Ameendelea kutoa tafakari/mahubiri ya mistari kadhaa kutoka ktk biblia. Mf. Isaya 18:1.

Hakika Dar tunakiongozi mwenye kipaji kama ambavyo daima amethubutu katika maamuzi mbali mbali.

Hapa ni sehemu tu ya maombi.


Sent using iphone pro max
Bashite atuambie tu baada ya kumuua Ben Saanane waliufukia wapi mwili wake au waliuchoma wapi?
 
Wanabodi,
Wale wenye access ya Wasafi TV, angalia live ya asubuhi hii.

Wanabodi, kuna vitu niliwahi kuvisema humu kumhusu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda, kuwa huyu ni mpakwa mafuta wa Mungu, naomba tumshuhudie akihubiri live asubuhi hii kupitia Wasafi TV.

Kiukweli nimekuwa very impressed na huyu jamaa.

Makonda anatoa sifa 10 za Mungu, leo amezisema sifa 7, kutokana na muda, leo amezitaja sifa 7, na sifa 3 atazimalizia next time.
Jumapili asubuhi huwa namsikiliza Dr. Ellie kule Chomoza ya Clouds, hivyo baada ya Dr. Ellie ndio nimekuja Wasafi nimemkuta Pasta Makonda akiitaja sifa ya 7 ya Mungu ni yupo popote.

Kumbe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ni Bonge la Mhubiri!, Akifungua Kanisa Lake Litafunika Bovu!. Atisha!, Mshuhudie Live Wasafi TV!.

Paskali
watu mnahadaika kizembe au ndio mnasaka uteuzi, ! Acheni njaa hizo
 
Back
Top Bottom