Vita dhidi ya ugaidi inavyotumika kudhulumu Waislamu

Vita dhidi ya ugaidi inavyotumika kudhulumu Waislamu

Hitler ni mtu alieua watu wengi zaidi kwa muda mfuopi alikua Muislam?
Pablo escorber alikua muislamu?
Makundi ya kigaidi yanayo shughulika na Madawa ya kulevya kama mafia ni waislamu?
Colombia na Guatemala ni nchi za kiislamu?
Hakuna gaidi wa kiislamu wote ni ni makafiri
Osama hakua gaidi
Sadam hakua gaidi
Gaddafi hakua gaidi
Media umewahi kumtaja Mandela kua ni gaidi
Ugaidi ni ugaidi tu. Ugaidi ni kutishia maisha ya wengine na kuyaweka hatarini kwa lengo la kutimiza matakwa yako binafsi.

Hao umewataja ni wahalifu ila katika sura nyingine kabisa. Hao ni wahalifu na ndio maana tuhuma zao unaona zipo tofauti na za Osama au wale magaidi wengine ambao uhalifu wao una mlengo wa kiimani.

Ni upuuzi kutaka kulazimisha mtu aamini kile unachokiamini hadi inafikia hatua unaua au unatishia maisha ya watu kwa silaha kali za kivita, halafu ukiulizwa unataka nini unasema eti nimeagizwa na muumba wangu kuwaletea ujumbe kuwa mfuate maagizo yake, wewe utakuwa ni mpumbavu wa akili kabisa.

Ugaidi unaofanywa na makundi ya kiislam ni wa kitoto sana na ndio unaosababisha dunia nzima kuwachukulia the same maana kuna elements za ukorofi ndani yake.

Wewe msikiti wako huo hapo, unasali unarudi nyumbani kwako, unaendelea na maisha yako vizuri na majirani zako. Pale ambapo utahitajika kutoa mawazo yako mazuri kwa wenzako basi fanya hivyo.....

Sasa wewe unakuwaje na akili ya kuchukia wengine wakifanya ibada zao na maisha yao ya kiimani why ukerekwe.

Huo ni ubinafsi wa ajabu kutokea...... Wewe ukichukiwa na kushambuliwa mbona unahisi kuonewa. Nadhani kinachotokea mataifa mbali mbali kupambana na waislam ni matokeo ya wao kuwa wakorofi na kuchokonoa imani za wenzao.....
 
Ndugu labda kama hufahamu ni kuwa wazungu wanajua kabisa kama uislamu ndio dini ya kweli.Na hilo halina ubishi kwao sasa wanachofanya ni kutumia njia zote ili isiendelee kukua KWA kasi na watu wakajitambua ndio maana unaona hila zote hizo mara ugaidi kila sehemu ukifuatilia KWA umakin hayo makundi ya kigaidi Wana yatengeneza wao KWA miamvuli ya kanzu na kofia .ukiona mtu kavaa kanzu kilemba kafuga ndevu anaua watu alafu anasema Allahu akbar unapeleka fikra zako kuwa ni waislamu hao ni magaidi kumbe hata mkiristo anaweza kusema Allahu akbar na akafanya tukio....kiufupi hizo njia ni KWA ajili ya kuikandamiza ili watu ambao Wana mpango wa kuwa waislamu waone kumbe dini yenyewe hii ya ugaidi haifai hata kusogea.

Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
Hilo la wazungu kujua kuwa uislam ndio dini ya kweli ni la kufikirika tu. kila mmoja anaweza kujenga dhana kuwa dini yake ndio ya ukweli ilhali sio kweli.
sasa wewe je parle, unakemea au hukemei makundi ya kigaidi kama boko haram, al shabaab na al qaida. je unayalaumu makundi haya vikali kwa kufanya vitendo vya kikatili kwa hata wasiokuwa na hatia?
 
Sasa wanajeshi wa marekani wanahusiana vipi na ukristo?

Hao wanajeshi wa marekani huwa wanatumia Jina la Yesu kuua?
Huwa wanatumia maandiko ya Biblia kujustify mauaji yao?

Umewahi kusikia popote pale mtu anaua watu kwa kutumia Jina la Yesu au kwa kutumia justification ya maandiko ya Biblia???

Haya maswali mbona nimeuliza sana huko juu na mnayakwepa?
Wanatumia jina la demokrasia. Ila Anti baraka hutumia jina la ukristo na hakuna mbwa ktk mbwa wao aliyewaita ni magaidi
 
Acha kudanganya raia sheikh, hata muundo wa hivyo vikundi hao maamir na viongozi wote wanafuata Quaran inaavyoelekeza lengo ni kuunda dola la kiislamu dunia nzima. Mpaka elimu dunia na majini yanatumika humo na kuswali swala 5 huku wakilazimisha wote wasilimu na waswali sala 5. Leo jamaa yangu unakuja kukanusha ilhali ushahidi umejaa you tube na kwingine oganaizesheni ya hivyo vikundi ilivyo. Uje na hoja nzito basi sio maneno bla bla.
Kwahiyo YouTube ndiyo mwalimu wako?
 
Wanatumia jina la demokrasia. Ila Anti baraka hutumia jina la ukristo na hakuna mbwa ktk mbwa wao aliyewaita ni magaidi
"Wanatumia jina la ukristo" ndio nini?
Hebu elezea wanavyotumia hilo jina la ukristo.

Nyoosha maelezo.
Wanaua kwa Jina la Yesu? Huwa wanamtaja Yesu kwenye mauaji yao? Huwa wanatumia jina la Jehovah, Jesus etc kama justification ya mauaji yao?

Huwa wanasema ukristo ndio umewaagiza/kuwafundisha kuua?

Huwa wanatumia Biblia kujustify mauaji? Huwa wanatumia vifungu vya Biblia kufanya mauaji?

Hiki ndicho mimi ninachouliza. Jibu HICHO NINACHOULIZA usipige chenga chenga.
 
Wanatumia jina la demokrasia. Ila Anti baraka hutumia jina la ukristo na hakuna mbwa ktk mbwa wao aliyewaita ni magaidi
Anti Baraka ni kundi la kigaidi lenye kutumia jina la Ukristo ndio.

Lakini liliundwa baada ya kundi la waasi la SELEKA nchini Afrika Ya Kati kuwalenga zaidi Wakristo sasa baadhi ya Wakristo wakaunda kundi ambalo ndilo Anti Baraka ili kupunguza uonevu kutoka kwa SEKEKA ambalo wapiganaji wake ni Waislam lakini ndo hivyo anti Baraka wakaenda mbali na kuanza kuua hadi raia wasio na hatia.

Viongozi wa dini wa Kikristo walitoka hadharani kukemea na kupinga uundwaji wa kundi hilo la ANTI BARAKA na ufanyaji kazi wake wa kutumia dini ya Kikristo ina maana lipo kinyume na taratibu za Kikristo.

Swali
Ni lini viongozi wa dini ya Kiislam walitoka hadharani na kukemea hayo makundi kina al shaabab, IS, Al Qaeda na nk?
 
Nimeona wanaigeria wanalalamika kuhusu huyo rais wao anawasapoti bokoharamu kiufupi waislamu wanavipenda hivi vikundi vya kigaidi vinavyoleta fujo duniani kwa mwamvuli wa dini ya kiislamu halafu wenyewe ndio wa kwanza kulalamika waislamu wanaonea hii ni dini ya amani huu ni unafiki na huyu jamaa aache malalamiko ya kinafiki
 
Wanatumia jina la demokrasia. Ila Anti baraka hutumia jina la ukristo na hakuna mbwa ktk mbwa wao aliyewaita ni magaidi
mimi nawaita magaidi na kama wametumia jina la Yesu mahali popote washindwe haraka na kuvunjika. ila wewe udini wako unakufanya uwaite wenzio mbwa. huo ni ukafr. usilete ukafr wako hapa
 
Acha kudanganya raia sheikh, hata muundo wa hivyo vikundi hao maamir na viongozi wote wanafuata Quaran inaavyoelekeza lengo ni kuunda dola la kiislamu dunia nzima. Mpaka elimu dunia na majini yanatumika humo na kuswali swala 5 huku wakilazimisha wote wasilimu na waswali sala 5. Leo jamaa yangu unakuja kukanusha ilhali ushahidi umejaa you tube na kwingine oganaizesheni ya hivyo vikundi ilivyo. Uje na hoja nzito basi sio maneno bla bla.
actually huu Uislam wa sasa hivi unaofuatwa na watu wengi umetiwa maji sana, umepunguzwa makali.. Ule Uislam original ulioachwa na Mtume ungekuwa unafundishwa na kufuatwa hii dunia isingetosha, wanainta fundamental Islam, hapo wazinifu wanapigwa mawe hadi kufa, wasiofunga Ramadhan wanaadhibia vikali, makafiri wanatozwa kodi au kuteswa, Huu Uislam wa kujichanganya na Wakristo, kula nao kusoma nao au kuwapangishia nyumba umetiwa maji sana
 
Ugaidi ni ugaidi tu. Ugaidi ni kutishia maisha ya wengine na kuyaweka hatarini kwa lengo la kutimiza matakwa yako binafsi.

Hao umewataja ni wahalifu ila katika sura nyingine kabisa. Hao ni wahalifu na ndio maana tuhuma zao unaona zipo tofauti na za Osama au wale magaidi wengine ambao uhalifu wao una mlengo wa kiimani.

Ni upuuzi kutaka kulazimisha mtu aamini kile unachokiamini hadi inafikia hatua unaua au unatishia maisha ya watu kwa silaha kali za kivita, halafu ukiulizwa unataka nini unasema eti nimeagizwa na muumba wangu kuwaletea ujumbe kuwa mfuate maagizo yake, wewe utakuwa ni mpumbavu wa akili kabisa.

Ugaidi unaofanywa na makundi ya kiislam ni wa kitoto sana na ndio unaosababisha dunia nzima kuwachukulia the same maana kuna elements za ukorofi ndani yake.

Wewe msikiti wako huo hapo, unasali unarudi nyumbani kwako, unaendelea na maisha yako vizuri na majirani zako. Pale ambapo utahitajika kutoa mawazo yako mazuri kwa wenzako basi fanya hivyo.....

Sasa wewe unakuwaje na akili ya kuchukia wengine wakifanya ibada zao na maisha yao ya kiimani why ukerekwe.

Huo ni ubinafsi wa ajabu kutokea...... Wewe ukichukiwa na kushambuliwa mbona unahisi kuonewa. Nadhani kinachotokea mataifa mbali mbali kupambana na waislam ni matokeo ya wao kuwa wakorofi na kuchokonoa imani za wenzao.....
Umeandika point safi ila hawatakubali kuelewa hawa watu wamefundishwa ubishi itakuwa
 
Ugaidi ni ugaidi tu. Ugaidi ni kutishia maisha ya wengine na kuyaweka hatarini kwa lengo la kutimiza matakwa yako binafsi.

Hao umewataja ni wahalifu ila katika sura nyingine kabisa. Hao ni wahalifu na ndio maana tuhuma zao unaona zipo tofauti na za Osama au wale magaidi wengine ambao uhalifu wao una mlengo wa kiimani.

Ni upuuzi kutaka kulazimisha mtu aamini kile unachokiamini hadi inafikia hatua unaua au unatishia maisha ya watu kwa silaha kali za kivita, halafu ukiulizwa unataka nini unasema eti nimeagizwa na muumba wangu kuwaletea ujumbe kuwa mfuate maagizo yake, wewe utakuwa ni mpumbavu wa akili kabisa.

Ugaidi unaofanywa na makundi ya kiislam ni wa kitoto sana na ndio unaosababisha dunia nzima kuwachukulia the same maana kuna elements za ukorofi ndani yake.

Wewe msikiti wako huo hapo, unasali unarudi nyumbani kwako, unaendelea na maisha yako vizuri na majirani zako. Pale ambapo utahitajika kutoa mawazo yako mazuri kwa wenzako basi fanya hivyo.....

Sasa wewe unakuwaje na akili ya kuchukia wengine wakifanya ibada zao na maisha yao ya kiimani why ukerekwe.

Huo ni ubinafsi wa ajabu kutokea...... Wewe ukichukiwa na kushambuliwa mbona unahisi kuonewa. Nadhani kinachotokea mataifa mbali mbali kupambana na waislam ni matokeo ya wao kuwa wakorofi na kuchokonoa imani za wenzao.....
Kwa hio kwa mtazamo wako gaidi lazima awe Muislam tu
Kwa maana ingine gaidi ni muislamu muhalifu OK nimekuelewa
 
Acha kudanganya raia sheikh, hata muundo wa hivyo vikundi hao maamir na viongozi wote wanafuata Quaran inaavyoelekeza lengo ni kuunda dola la kiislamu dunia nzima. Mpaka elimu dunia na majini yanatumika humo na kuswali swala 5 huku wakilazimisha wote wasilimu na waswali sala 5. Leo jamaa yangu unakuja kukanusha ilhali ushahidi umejaa you tube na kwingine oganaizesheni ya hivyo vikundi ilivyo. Uje na hoja nzito basi sio maneno bla bla.
Sasa Sisi waislamu wengine ambao hatuna mambo hayo au tunapinga hizo fujo mnatuchukulia vipi?
Au mnatuona ni makafiri wenzenu?
 
Unauliza kutoka hadharani ni nini?

1. Ni kama vile mlivyotoka hadharani kwa matamko mwaka jana Quran ilipochanwa-chanwa.

2. Ni kama mlivyotoka hadharani mwaka juzi kwa matamko Qur'an ilipokojolewa na yule mtoto.

3. Ni kama pia mlivyotoka hadharani mpaka mkaandamana kipindi kile cha Necta na ndalichako mkilaumu kuwa waislam mnafelishwa.

Nimekuambia unioneshe MFANO MMOJA TU wa ninyi mkitoa MATAMKO YA KULAANI HADHARANI Ugaidi unaoichafua dini yenu.

Hili swali langu nimekuwa gumu kweli kwako.

HUNA MFANO HATA MMOJA wa muislam aliyetoka hadharani akakemea ugaidi. Ungekuwa nao huo mfano hata mmoja tu ungeshausema hapa siku nyingi.
Huwezi kuona wala kusikia tumelaani kwa sababu wewe hutaki kusikia hizo story
Anyways dini ni imani wala Sihitaji kukushawishi wewe endelea kuamini ulivyoaminishwa na mimi naijiua dini yangu unasemaje kuhusu ugaidi
Ukipata nafasi soma Surah ya makafiri
Tumeambia watu kama nyie inatakiwa tu.Sema nyie mna dini yenu na Sie tuna dini yetu amini unavyo amini na sisi tu naamini tunavyo amini

WWewe mpaka umri huu umewaona waislamu wangapi?
Wangapi kati yao ni magaidi
Lakini kwa sababu kuna waislamu 0.0001% Ambao ni magaidi basi wote waliobaki ni sawa
 
Kwanza elewa maana ya ugaidi. Pili ni kweli wale watu waliovamia capital na kuua watu ni magaidi, vyombo vingi vya habari na watu wengi US wamekiri hivyo
Ugaidi ni mfumo wa kudai haki kwa fujo
Sasa wale wafuasi wa Trump waliovamia capital na kuua watu ni magaidi?
 
nchi wafadhili wakubwa wa ugaidi ni za kiislam
☆ela za mafuta zinawawasha

nchi zenye vikundi vingi vya ugaidi ni za kiislam

nchi zilizoathirika sana na ugaidi ni za kiislam

hiyo imepelekea mataifa makubwa kuona fursa na kuanza kuwatumia magaidi kujinufaisha kiuchumi

anyway mwislaam ndugu yake mwislaam
tumia hata upanga/vita kueneza dini
jihad +72 bikra
wagalatia/kafir/wakristo wanatakiwa waslim kivyovyote vile

BAHATI MBAYA mepewa hela mkanyimwa akili
 
Huwezi kuona wala kusikia tumelaani kwa sababu wewe hutaki kusikia hizo story
Anyways dini ni imani wala Sihitaji kukushawishi wewe endelea kuamini ulivyoaminishwa na mimi naijiua dini yangu unasemaje kuhusu ugaidi
Ukipata nafasi soma Surah ya makafiri
Tumeambia watu kama nyie inatakiwa tu.Sema nyie mna dini yenu na Sie tuna dini yetu amini unavyo amini na sisi tu naamini tunavyo amini

WWewe mpaka umri huu umewaona waislamu wangapi?
Wangapi kati yao ni magaidi
Lakini kwa sababu kuna waislamu 0.0001% Ambao ni magaidi basi wote waliobaki ni sawa
Umesema sitaki kusikia hizo stori za nyie kulaani? No man, MIMI NATAKA KUSIKIA. Kama huo ushahidi unao si uuweke hapa, mbona ngonjera nyingi?

Na ndio maana nimekwambia sana hapa Unioneshe ushahidi mmoja tu wa nyie kulaani ili niuone.

Mimi bado nakukomalia, WEKA HAPA Ushahidi wowote ule wa ninyi waislam mkilaani vikundi vya kigaidi "vinavyochafua" dini yenu kwa kutumia jina la mwenyezi Mungu na Quran kufanya mauaji.

WEKA HAPA USHAHIDI HAPA walau mmoja tu.
 
Back
Top Bottom