paschal Martin
JF-Expert Member
- Jul 30, 2020
- 401
- 385
Yakatazeni yasitumie jina la uislamu kwenye ugaidi waoMedia wanayo haki ya kutangaza au kutokutangaza taarifa zetu
Bottom line is you must know what Islam teach or say about terrorism
Kuna waislamu wezi. Walevi. Wala nguruwe n, k
Hatuwezi kuwaandika na kalamu moja eti kwa sababu anaitwa Jina la kiislamu....
Hao magaidi ni waovu kama waovu wengine
Pia jua kuna makundi mengi ya kigaidi kule America ya kusini yanajishughulisha na Madawa ya kulevya lakini media hawasemi kua ni magaidi wa ki kristo ilihali wote ni wakatoliki
Sasa mbona unajijibu mwenyewe Mbowe ni muislamu sasa? Mbona amehusishwa na ugaidiChristian terrorists does not exist cos media hawatumii
Media haijawahi kusema white terrorists lakini ilikua inasema black South African terrorists
Anyways kila mtu anamaono yake....
Mimi ni muislamu na nimesoma dini yangu na hakuna sehemu tunafundushwa ugaidi
Kwa kua main stream media muislamu au mtu wenye Jina la kiislamu akifanya maovu anachukuliwa ni gaidi lakini none Muslim akifanya samething anakua muhalifu wa kawaida
Hivi majuzi kule Marekani ilitokea kitu inaitwa Capital riot na watu kadhaa wakauawa kikatili wengine kujeruhiwa
Fikiria hilo tendo lingefanywa na watu weusi Achilia waislam. Bado ingeitwa riot au terrorism?
Hope your matured enough to understand media languages
Unajua baada ya uchaguzi mbowe alishikiliwa kwa kesi ya ugaidi?
Je unajua so called Islamic terrorism imeanza lini?
Angalia ndani sio unadandia njiani
Ndugu msikitini kote kuna program maalumu za vijana kuwaonya juu ya makundi ya kigaidiKule juu nimeuliza swali ambalo wewe na wenzako wote mnalikimbia.
NALIRUDIA HAPA
Umesema hakuna sehemu uislam umeruhusu ugaidi. Sasa Nitajie kiongozi mmoja tu aliyewahi kutoka hadharani akakemea na kulaani UGAIDI wa alshabab, ISIS na Boko haram.
Quran ikikojolewa huwa wanatoka na matamko makali HADHARANI haraka sana. Sasa Niambie ni kiongozi gani wa kiislam aliwahi kutoka HADHARANI akakemea Mauaji ya kigaidi yanayofanywa kwa jina la Allah.
Sasa wewe unaamini mbowe ni gaidi au mwanasiasa?Sasa mbona unajijibu mwenyewe Mbowe ni muislamu sasa? Mbona amehusishwa na ugaidi
Hakuna mtu mwenye uwezo wa kumziba mtu mdomoYakatazeni yasitumie jina la uislamu kwenye ugaidi wao
Akifanya hivyo maybe itakuwa kweli aapingana na hao magaidi.Huyu mtoa mada ama hataki kujibu haya maswali au hana uwezo wa kuyajibu. nafikiri kuna ushabiki fulani tu ndio umemtuma kuanzisha hii mada.
Mtoa mada kama uko siriaz laani hapa makundi ya kigaidi kama boko haram, alshabaab, al qaida and the like. Hebu yalaani hapa tukuaminie kwamba wewe huwezi kunasibishwa na ugaidi unaotumia uislam
Kwani ugaidi upo au haupo? Kama upo, wanaoufanya ni akina nani na kwa nini?Tangu kuanguka kwa Ujamaa, Mabepari hawana mfumo unaowatisha na kuwapinga zaidi ya Uislamu. Hivyo miongoni mwa mbinu wanazotumia kuumaliza Uislamu bila mafanikio ni Vita dhidi ya ugaidi.
Kupitia Vita hii wamejihalalishia damu, dhuluma, na mateso kwa Waislamu dunia nzima wakiwatumia viongozi vibaraka wanaotawala nchi changa kwa niaba yao.
Nchi zinazokoloniwa(zinazoendelea) zikalazimishwa kupitisha Sheria ya ugaidi na kuua na kutesa raia wao ikiwaweka magerezani bila ushahidi, nk kwa hongo ya "misaada ya kupambana na ugaidi" huku viongozi wake ambao ni mbwa na watumwa wa Wakoloni wakiwaachia Wakoloni hao kupora Mali ya ummah kwa jina la uwekezaji
Wewe unataka tuchukue maspika na gari tutembee barabarani?Sasa mnakemeaje kisirisiri au kimya kimya hadi tusisikie acha udanganyifu na ujanja
Unaelewa kiswahili. SIJAULIZA kuhusu kuwaonya vijana juu ya Ugaidi huko msikitini mnapokaa. Hebu soma swali halafu uelewe swali ndio ujibu.Ndugu msikitini kote kuna program maalumu za vijana kuwaonya juu ya makundi ya kigaidi
Kila mwaka wakati wa hija mlima wa Arafat masheikh wakubwa hupanda na kukemea ugaidi
Hebu niambie...
Unategemea Mufti aende kanisani kukemea?
Mimi naona wewe unataka kutufundisha dini yetu au unafikiri Unaijua dini yetu kuliko Sisi
Hao magaidi ni wahuni
Sasa wewe unaamini mbowe ni gaidi au mwanasiasa?
Kutoka hadharani maana yake nini?Unaelewa kiswahili. SIJAULIZA kuhusu kuwaonya vijana juu ya Ugaidi huko msikitini mnapokaa. Hebu soma swali halafu uelewe swali ndio ujibu.
NALIRUDIA HAPA CHINI
Nitajie kiongozi mmoja tu aliyewahi kutoka hadharani akakemea na kulaani UGAIDI wa alshabab, ISIS na Boko haram.
Quran ikikojolewa huwa wanatoka na matamko makali HADHARANI haraka sana. Sasa Niambie ni kiongozi gani wa kiislam aliwahi kutoka HADHARANI akakemea Mauaji ya kigaidi yanayofanywa kwa jina la Allah.
Unatoka kwenye mada na hamasa zako ndugu yetu. Siyo vzr kuwachanganya watu na kuwatoa kwenye lengo la postWewe si umesema wanaua kwa jina la Yesu?
WEKA HUO UTHIBITISHO HAPA,acha blah blah
Mbona huulizii aliyetoka na kulaani mauaji kwa jina la ukristo au demokrasia, au ubudha nkUnaelewa kiswahili. SIJAULIZA kuhusu kuwaonya vijana juu ya Ugaidi huko msikitini mnapokaa. Hebu soma swali halafu uelewe swali ndio ujibu.
NALIRUDIA HAPA CHINI
Nitajie kiongozi mmoja tu aliyewahi kutoka hadharani akakemea na kulaani UGAIDI wa alshabab, ISIS na Boko haram.
Quran ikikojolewa huwa wanatoka na matamko makali HADHARANI haraka sana. Sasa Niambie ni kiongozi gani wa kiislam aliwahi kutoka HADHARANI akakemea Mauaji ya kigaidi yanayofanywa kwa jina la Allah.
Mueleweshe vzr huyoKutoka hadharani maana yake nini?
Au tuchukue maspika na gari tuzungumze dunia nzima?
Bottom line uliza uislamu unasemaje kuhusu mauaji ya watu wasio na hatia
Swala la nani anakemea na nani anapinga huwezi jua maana haupo na sisi
Pombe, zinaa, nguruwe nk ni haramu
Je umewahi kuona sheikh gani anakemea unavyotaka wewe?
Je kwa sababu hujawahi kusikia hadharani Ndio Pombe iwe halali?
Wagalatia wagumu sana kuelewaMueleweshe vzr huyo
Hatuwajibiki kwa mtu yeyote. Ni Mwenyezi Mungu tu. Hivyo Kama hujasikia au kuona sisi hatuwajibiki kwako ktk ibada zetu km makemeo nk.Sasa mnakemeaje kisirisiri au kimya kimya hadi tusisikie acha udanganyifu na ujanja
Wagala wenyewe waelewa, sema hawa wanaobishana hata kanisani hawaendiWagalatia wagumu sana kuelewa
Kwenye biblia kuna mistari inasema ngurue ni haramu lakini wanabisha
Sasa utawasaidiaje??
π€π€π€Muslim Ni watu safi
Sijui kwa nini wanatupaka matopeπ€π€π€
Haswaaa!
Unauliza kutoka hadharani ni nini?Kutoka hadharani maana yake nini?
Au tuchukue maspika na gari tuzungumze dunia nzima?
Bottom line uliza uislamu unasemaje kuhusu mauaji ya watu wasio na hatia
Swala la nani anakemea na nani anapinga huwezi jua maana haupo na sisi
Pombe, zinaa, nguruwe nk ni haramu
Je umewahi kuona sheikh gani anakemea unavyotaka wewe?
Je kwa sababu hujawahi kusikia hadharani Ndio Pombe iwe halali?
Wewe swali langu kule juu UMELIKIMBIA MAZIMAMbona huulizii aliyetoka na kulaani mauaji kwa jina la ukristo au demokrasia, au ubudha nk