Vita kati ya Hamas na Israel ni kati ya dini na dini au ni kati ya Taifa na Taifa??

Vita kati ya Hamas na Israel ni kati ya dini na dini au ni kati ya Taifa na Taifa??

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Nikiangalia michango ya watu humu JF, nashindwa kuelewa kama hii Vita kati ya Hamas na Israel ni Vita ya kidini ama ni Vita kati ya Taifa na Taifa!!??

Nani hasa anayejua hii vita inahusu nini???

Hii vita inahusiana Vipi na vita kati ya Wafilisti na waisrael??

Uislam na Ukristo unahusikaje na hii vita??

Hii ni Vita kati ya Wayahudi na Waarabu au ikoje??
 
Nikiangalia michango ya watu humu JF, nashindwa kuelewa kama hii Vita kati ya Hamas na Israel ni Vita ya kidini ama ni Vita kati ya Taifa na Taifa!!??

Nani hasa anayejua hii vita inahusu nini???

Hii vita inahusiana Vipi na vita kati ya Wafilisti na waisrael??

Uislam na Ukristo unahusikaje na hii vita??

Hii ni Vita kati ya Wayahudi na Waarabu au ikoje??
Issue ya Israel na Palestina NI ugomvi wa Ardhi, hakuna mahusiano yoyote na dini.

Wapumbavu wengi wengi hawajui kama Kuna Waislamu waisrael.

PLO ndio platform Sahihi ya Wapalestina kupata Taifa Lao, lakini kikwazo kikubwa ni magaidi wa Hamas ambao upande wa Gaza walishinda kihalali kushika hatamu za uongozi.

Kwahiyo ni watu wa Gaza wenyewe ndio walichaguwa kuongozwa na magaidi, sasa hichi kikombe ni halali yao wakinywe.

Kabla hujawalaumu Israel jiulize Kwanza Palestina ni Gaza Tu? Mbona kwingine maisha yanaendelea Kwa Amani?
 
Nikiangalia michango ya watu humu JF, nashindwa kuelewa kama hii Vita kati ya Hamas na Israel ni Vita ya kidini ama ni Vita kati ya Taifa na Taifa!!??

Nani hasa anayejua hii vita inahusu nini???

Hii vita inahusiana Vipi na vita kati ya Wafilisti na waisrael??

Uislam na Ukristo unahusikaje na hii vita??

Hii ni Vita kati ya Wayahudi na Waarabu au ikoje??
Wakiristo na wayahudi dhidi ya uislam na waislam
 
Issue ya Israel na Palestina NI ugomvi wa Ardhi, hakuna mahusiano yoyote na dini.

Wapumbavu wengi wengi hawajui kama Kuna Waislamu waisrael.

PLO ndio platform Sahihi ya Wapalestina kupata Taifa Lao, lakini kikwazo kikubwa ni magaidi wa Hamas ambao upande wa Gaza walishinda kihalali kushika hatamu za uongozi.

Kwahiyo ni watu wa Gaza wenyewe ndio walichaguwa kuongozwa na magaidi, sasa hichi kikombe ni halali yao wakinywe.

Kabla hujawalaumu Israel jiulize Kwanza Palestina ni Gaza Tu? Mbona kwingine maisha yanaendelea Kwa Amani?
18% ya waisrael ni waislam,na wako front kwenye hii vita kupigania nchi yao
 
Walengwa ni waislam. Hao wameingia kati tu. Unaona Ukraine nchi wenye wakiristo wengi wanavyopigwa na urusi unasikia dunia? Palestina wangalikuwa wakiristo wengi dunia ingalipiga kelele
Hivi kuna uhusiano gani Kati ya uislamu na ujinga? inanipa shida kwakweli, hii dini imeaccomadate wajinga wengi Sana worldwide.
 
Hii ni vita kati ya Israel na Gaza, lakini itikadi za kidini zinaingia kwa sababu ndio chimbuko la Ukristo kwa hiyo wakristo walio wengi wanasimama na Israel kwa mujibu wa maandiko, waislamu (hasa wa africa) wana amini hao waarabu wa palestina ni ndugu zao katika Imani hivyo wanasimama upande wao, hapo ndipo hisia za kidini zinapo zawaliwa kwenye hiyo vita
 
Wananukuu biblia ambayo Leo Christmas inasomwa makanisani. Halafu kuna machizi wanataka tusiamini kwamba vita vya kidini
Ona ulivyo mjinga na tutusa kabisa, Jews wanatumia Biblia?

Hiyo Torati iliyopo kwenye Tanakh si hata kwenye Quran ipo?

Stupid ( in Samia voice)
 
Back
Top Bottom