Vita kati ya Hamas na Israel ni kati ya dini na dini au ni kati ya Taifa na Taifa??

Vita kati ya Hamas na Israel ni kati ya dini na dini au ni kati ya Taifa na Taifa??

Hii ni vita kati ya Israel na Gaza, lakini itikadi za kidini zinaingia kwa sababu ndio chimbuko la Ukristo kwa hiyo wakristo walio wengi wanasimama na Israel kwa mujibu wa maandiko, waislamu (hasa wa africa) wana amini hao waarabu wa palestina ni ndugu zao katika Imani hivyo wanasimama upande wao, hapo ndipo hisia za kidini zinapo zawaliwa kwenye hiyo vita
Wakiristo wengi wanasimama na Isreal unajua kwanini?

Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu. (Quran)
 
Malaria Sugu imepanda kichwani.

Taqbir.
Mwenyezi Mungu hawakatazi kuwafanyia hisani na uadilifu wale ambao hawakupigana nanyi kwa ajili ya dini, wala hawakuwafukuza katika nchi zenu. Hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wafanyao uadilifu. Isipokuwa Mwenyezi Mungu anawakataza kuwafanya marafiki wale wanaopigana nanyi katika dini, na wakawafukuza katika nchi zenu na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu, na wawafanyao marafiki, basi hao ndio madhalimu" (60: 8 - 9)
 
Ni Vita Kati ya wayahudi vs Islamic, Mabepari wamehita

Hamas vs Israel ili kupumbaza ulimwengu tu.​


Uingereza na washirika wake ndiyo wapo nyuma ya Hii vita.
 
Muongo. Isreal kungalikuwa na waislam wote wakangalikuwa washapotezwq
Screenshot_20231217-224528_Chrome.jpg

Leo xmass sikukuu kubwa ya wakristo,google uone kama israel leo wanasheherekea xmass,israel leo ni siku ya kawaida hamna sikukuu
 
Nikiangalia michango ya watu humu JF, nashindwa kuelewa kama hii Vita kati ya Hamas na Israel ni Vita ya kidini ama ni Vita kati ya Taifa na Taifa!!??

Nani hasa anayejua hii vita inahusu nini???

Hii vita inahusiana Vipi na vita kati ya Wafilisti na waisrael??

Uislam na Ukristo unahusikaje na hii vita??

Hii ni Vita kati ya Wayahudi na Waarabu au ikoje??
Hii ni via kati ya waabe na wanaoonewa.

Haihusu nchi na nchi wala dini. Kwanza mazayuni wengi hawana dini kabisa, hawaamini dini ya Ukristo wala Uislam wala Uyahudi.

Ni mdhulumu na mdhulumiwa. Sasa ni wewe kuamuwa, kuwa na wenye kudhulumu au wenye kudhulumiwa.
 
Issue ya Israel na Palestina NI ugomvi wa Ardhi, hakuna mahusiano yoyote na dini.

Wapumbavu wengi wengi hawajui kama Kuna Waislamu waisrael.

PLO ndio platform Sahihi ya Wapalestina kupata Taifa Lao, lakini kikwazo kikubwa ni magaidi wa Hamas ambao upande wa Gaza walishinda kihalali kushika hatamu za uongozi.

Kwahiyo ni watu wa Gaza wenyewe ndio walichaguwa kuongozwa na magaidi, sasa hichi kikombe ni halali yao wakinywe.

Kabla hujawalaumu Israel jiulize Kwanza Palestina ni Gaza Tu? Mbona kwingine maisha yanaendelea Kwa Amani?
Wewe unafualitila habar au unasema tu. West Bank hapajatilia pia israel inawauwa wapelistina pia fuatikia Habari upate uelewa mwaka huu tu wapelistina 243 wameuliwa west bank
 
Issue ya Israel na Palestina NI ugomvi wa Ardhi, hakuna mahusiano yoyote na dini.

Wapumbavu wengi wengi hawajui kama Kuna Waislamu waisrael.

PLO ndio platform Sahihi ya Wapalestina kupata Taifa Lao, lakini kikwazo kikubwa ni magaidi wa Hamas ambao upande wa Gaza walishinda kihalali kushika hatamu za uongozi.

Kwahiyo ni watu wa Gaza wenyewe ndio walichaguwa kuongozwa na magaidi, sasa hichi kikombe ni halali yao wakinywe.

Kabla hujawalaumu Israel jiulize Kwanza Palestina ni Gaza Tu? Mbona kwingine maisha yanaendelea Kwa Amani?
Maisha yanaendelea kwa amani? Emu taja hizo sehemu na jinsi wanavoishi kwanza tupime uelewa🤣
 
Issue ya Israel na Palestina NI ugomvi wa Ardhi, hakuna mahusiano yoyote na dini.
Hapana ni issue ya kidini.
PLO ndio platform Sahihi ya Wapalestina kupata Taifa Lao,
Kwani Hamas ipo tokea lini na PLO walianza lini na kabla ya Hamas, Wapalestina waliishije?
lakini kikwazo kikubwa ni magaidi wa Hamas
Sio kweli, kwamba kusingekuwa na Hamas basi mazayuni yangekubali Wapalestina waishi kwa amani? Nani alikuwa akiifadhili Hamas kupambana na PLO kabla kibao hakijageuka?

Kwa sasa Hamas ni kisingizio tu. Kama PLO walivyokuwa kisingizio wakati ule.
magaidi wa Hamas ambao upande wa Gaza walishinda kihalali kushika hatamu za uongozi.

Kwahiyo ni watu wa Gaza wenyewe ndio walichaguwa kuongozwa na magaidi, sasa hichi kikombe ni halali yao wakinywe.
Kwamba Hamas iliyochaguliwa tokea 2007 na kukawa hakuna uchaguzi mwengine kati kati ndio inahalalisha kuuawa wasio na hatia? Kwamba unakubaliana na collective punishment dhidi ya watu wa Gaza ikiwemo watoto wanaouawa ambao walizaliwa miaka mingi baada ya 2007?

Ila hata hivyo umewafundisha wana jf kitu; kuwa kumbe hata Putin anaweza kuhalalisha kuua raia wasio na hatia kwa sababu tu walimchagua Zelensky ambaye anaona ndio sababu ya yeye kuivamia Ukraine. Kumbe hata magaidi wanapoua wasio na hatia kwa kuwaunganisha na wale wanaowalenga kwako wewe ni sawa?
Kabla hujawalaumu Israel jiulize Kwanza Palestina ni Gaza Tu? Mbona kwingine maisha yanaendelea Kwa Amani?
Kumbe;


Palestinian deaths toll in West Bank hits 100 this year

Hiyo ni taarifa ya mwaka jana Oct. Kabla ya Oct 7 mwaka huu. Na bado kuna mifano mingi ya kila mwaka. Unaweza kuniambia Wapalestina waliokuwa wakiuawa kabla ya Oct 7 huko West Bank ikiwemo watoto na waliokuwa wanavunjiwa majumba yao ili kujenga makazi ya walowezi walifanyiwa hivyo kwa sababu ipi?

Unaweza kuniambia ni kwanini askari wa kizayuni walivamia eneo la Masjid al-Aqsa na kuwapiga waumini waliokuwa wanaswali pale tena mwezi wa Ramadhaan mwaka huu? Kumbuka hawako chini ya Hamas wale.
 
Tunalitaka Sanduku la Mungu la Hazina

Ambamo ndani mna

Kitu cha kwanza kuingizwa kwenye sanduku la agano kilikuwa yale mabamba ya mawe yaliyokuwa na zile Amri Kumi. (Kutoka 40:20) Baadaye mtungi wa dhahabu uliokuwa na mana pamoja na “ile fimbo ya Haruni iliyochipuka” vilitiwa ndani. (Waebrania 9:4; Kutoka 16:33, 34;
 
Issue ya Israel na Palestina NI ugomvi wa Ardhi, hakuna mahusiano yoyote na dini.

Wapumbavu wengi wengi hawajui kama Kuna Waislamu waisrael.

PLO ndio platform Sahihi ya Wapalestina kupata Taifa Lao, lakini kikwazo kikubwa ni magaidi wa Hamas ambao upande wa Gaza walishinda kihalali kushika hatamu za uongozi.

Kwahiyo ni watu wa Gaza wenyewe ndio walichaguwa kuongozwa na magaidi, sasa hichi kikombe ni halali yao wakinywe.

Kabla hujawalaumu Israel jiulize Kwanza Palestina ni Gaza Tu? Mbona kwingine maisha yanaendelea Kwa Amani?
Hii ndiyo amani unayoiongelea huko kwengine:


View: https://youtu.be/hrsVr9lU7BU?si=htJgWokocUBfE-yQ
 
Tunalitaka Sanduku la Mungu la Hazina

Ambamo ndani mna

Kitu cha kwanza kuingizwa kwenye sanduku la agano kilikuwa yale mabamba ya mawe yaliyokuwa na zile Amri Kumi. (Kutoka 40:20) Baadaye mtungi wa dhahabu uliokuwa na mana pamoja na “ile fimbo ya Haruni iliyochipuka” vilitiwa ndani. (Waebrania 9:4; Kutoka 16:33, 34;
Unaelewa kuwa wayahudi hawana kabisa habari na wala hawalitambui "agano jipya"?

Hilo sanduku unalolisema miaka yote lilikuwa kwa wakristo wa Ethiopia Wayahudi wakaenda wakaliiba kibabe, wakauwa na Wakristo mia nane, unaelewa hilo?
 
Nikiangalia michango ya watu humu JF, nashindwa kuelewa kama hii Vita kati ya Hamas na Israel ni Vita ya kidini ama ni Vita kati ya Taifa na Taifa!!??

Nani hasa anayejua hii vita inahusu nini???

Hii vita inahusiana Vipi na vita kati ya Wafilisti na waisrael??

Uislam na Ukristo unahusikaje na hii vita??

Hii ni Vita kati ya Wayahudi na Waarabu au ikoje??
Ni vita kati ya Mungu na shetani
 
Unaelewa kuwa wayahudi hawana kabisa habari na wala hawalitambui "agano jipya"?

Hilo sanduku unalolisema miaka yote lilikuwa kwa wakristo wa Ethiopia Wayahudi wakaenda wakaliiba kibabe, wakauwa na Wakristo mia nane, unaelewa hilo?
Thibitisha hapa uliyoyaandika kuhusu hilo sanduku
 
Thibitisha hapa uliyoyaandika kuhusu hilo sanduku
Safi sana, elimu ya kweli ni yenye ushahidi. Jionee taarifa ya uchunguzi:

 
Back
Top Bottom