Vita Kati ya Wakatoliki na Ndugu zao Charismatic

Vita Kati ya Wakatoliki na Ndugu zao Charismatic

Habari hiyo ina ukweli japo wengi wameamua kumbishia mtoa hoja hapo juu kwa vile wameguswa panapouma na ukweli hawataki kuusikia.

Kuna kipindi flani eneo flani, Paroko alitaka kuwafukuza Wakarismatiki kanisani kwake, ikazua taharuki isiyo ya kawaida.

Bahati nzuri huyo Paroko alikuwa na urafiki wa karibu na Mchungaji flani wa Anglikana, akaenda kuomba ushauri kwake juu ya sintofahamu hiyo, yule Mchungaji akamshauri asiwafukuze bali awaruhusu waendelee na huduma yao bila wao kuingilia taratibu za Misa.

Baada ya hapo kulitulia na amani kiasi ikapatikana.

Kwa ujumla Wakarismatiki ni Walokole walioamua kumtafuta Kristo kwa bidii kupitia miongozo ya Biblia huku wakikinzana na baadhi ya mafundisho ya Kanisa ambayo hayampi Mungu utukufu.

Migogoro ni mingi.

Gautten Potten
 
We mlevi acha upotoshaji
Thibitisha ni wapi karismatiki wanazuiwa kuingia kanisani.
Mods muwe mnaangalia na post za kuziacha.
Kuna watu hawana KAZI za kufanya zaidi ya uzushi
Viongozi wa imani ndiyo walevi, sasa unapata wapi nguvu ya kumsema isivyofaa mwenzio kisa kaongea kitu usichokipenda kukisikia?, wokovu na Ukristo hautaki hivyo.
 
Habari hiyo ina ukweli japo wengi wameamua kumbishia mtoa hoja hapo juu kwa vile wameguswa panapouma na ukweli hawataki kuusikia.

Kuna kipindi flani eneo flani, Paroko alitaka kuwafukuza Wakarismatiki kanisani kwake, ikazua taharuki isiyo ya kawaida.

Bahati nzuri huyo Paroko alikuwa na urafiki wa karibu na Mchungaji flani wa Anglikana, akaenda kuomba ushauri kwake juu ya sintofahamu hiyo, yule Mchungaji akamshauri asiwafukuze bali awaruhusu waendelee na huduma yao bila wao kuingilia taratibu za Misa.

Baada ya hapo kulitulia na amani kiasi ikapatikana.

Kwa ujumla Wakarismatiki ni Walokole walioamua kumtafuta Kristo kwa bidii kupitia miongozo ya Biblia huku wakikinzana na baadhi ya mafundisho ya Kanisa ambayo hayampi Mungu utukufu.

Migogoro ni mingi.

Gautten Potten
Kanisa lina utaratibu,muundo na uongozi wake,hasa RC.Ukileta za kuleta unafurushwa bila kupepesewa macho.
 
Ukuristo kwa jumla ni vurugu tupu uliondoka kwenye msingi ya Bibilia na kuanzisha mambo yao yasio kua na rejea kwenye bibilia hao wakatoliki wana bariki ndoa za ushongaa, wanaabudu masanamu ambao ni ushirikina mkubwa sana kwa mbali angalau Wasabato.
Weka Ushahidi bro Ili nihame uUkatoliki🎤
 
Weka Ushahidi bro Ili nihame uUkatoliki[emoji441]
Mkuu kabla hujahama naomba unionyeshe siku ya Christmas kwenye bibilia? Lingene nioshenye neno ukotoliki kwenye bubilia.
 
Habari hiyo ina ukweli japo wengi wameamua kumbishia mtoa hoja hapo juu kwa vile wameguswa panapouma na ukweli hawataki kuusikia.

Kuna kipindi flani eneo flani, Paroko alitaka kuwafukuza Wakarismatiki kanisani kwake, ikazua taharuki isiyo ya kawaida.

Bahati nzuri huyo Paroko alikuwa na urafiki wa karibu na Mchungaji flani wa Anglikana, akaenda kuomba ushauri kwake juu ya sintofahamu hiyo, yule Mchungaji akamshauri asiwafukuze bali awaruhusu waendelee na huduma yao bila wao kuingilia taratibu za Misa.

Baada ya hapo kulitulia na amani kiasi ikapatikana.

Kwa ujumla Wakarismatiki ni Walokole walioamua kumtafuta Kristo kwa bidii kupitia miongozo ya Biblia huku wakikinzana na baadhi ya mafundisho ya Kanisa ambayo hayampi Mungu utukufu.

Migogoro ni mingi.

Gautten Potten
Kanisa katoliki husipo fuata taratibu hata ukiwa nani wanakutimua,kuna padri mmoja wa RC kama sikosei kanisa lake lipo maeneo ya River Side alishindwa fuata taratibu za kanisa walimuondoa, najua huwezi sikia hili (RC mambo yao wanatatua kimya kimya).

Husipo fuata taratibu za kanisa RC unaondolewa. Halafu hizi chai zenu kanisa lina mabaraza ya usulihishi kuanzi jumuia ndogo ndogo, jumuia kuu,vigango,parokia mpaka jimboni ya kishindikana wanaenda kwa maskofu. Hiyo chai na uongo yaani padri akaombe ushauri Anglicana, RC linajitosheleza kila kitu kupitia muundo walio uweka.

Ndio maana husikii sijui Askofu kasuguana na askofu mwenzake,mara mchungaji sijui kasuguana na mchungaji mwenzie au baraza la wazee,mpaka kwenye magazeti, wanarushiana vijembe na si kwamba RC eti hawakwazani, ila kuna vyombo ndani ya kanisa kushughulika na kila mgogoro ndani ya kanisa na unaisha kwa amani Kimya kimya.
 
View attachment 3176372Kwa Muda mrefu nimekuwa nikiona shida Kati ya Jamii hizi mbili yaan ni Bonge la ugomvi

Kanisa limeweka zuio la Mkarismatic yoyote kutokuingia ndani ya Jengo

Kupishana kwao kupo wazi.
Kanisa linadai lipo sahihi kwa kile wanachosimamia na kukifuata Kama maagizo toka Ufalmeni Charismaz wanapindua order hiyo na kudai ubatili.

Asubuhi nilikuta mvutano na baadhi ya vimaswali Kama Kanisa Haliponyi Wagonjwa, Halitoi Mapepo Wala halihubiri injili ipasavyo na badala wanaenda kinyume mbona hawajioni ?

Nilipouliza zaidi mmoja akanijibu kwa swali Tata

Ndugu Trevor kwanini Wale Viziwi pale benchi la Mbele hawaponywi na badala yake wanaletewa Mtafsiri wa lugha ya Mwili na alama, Kuna Mungu hapa ?

Je Kama yupo mbona sioni maana ya ile ruhus ya kuponya vipofu, Viziwi na wengine ikitumika

ila Sisi tukitoa Mapepo na kuwaombea wagonjwa viongozi na waumini wasema Hy wapelekeeni walokole huko na wanakuja juu vibay mno

Je Biblia inasema Nini juu ya hy tufanyayo, Ni haramu ?

Sikuwa na la kujibu
Kazi kwenu.
Gentleman,
vitu vitakatifu havikanyagwi na baadae kudekiwa na kutupwa nje 🐒
 
Kanisa lina utaratibu,muundo na uongozi wake,hasa RC.Ukileta za kuleta unafurushwa bila kupepesewa macho.
Lengo kuu la mtu kwenda Kanisani ni kupata huduma za kiroho zenye matokeo chanya na hatimaye kumuwezesha mhusika kuurithi ufalme wa Mungu.

Yoh 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Kanisa ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu, ila WOKOVU ni mpango wa Mungu kumtafuta mwanadamu.

Endapo kuna mazingira yaliyowekwa na kanisa (mpango wa mwanadamu ) yanayoathiri WOKOVU ( mpango wa Mungu) hakika yatupasa kuukataa mpango wa kanisa na kukaa upande wa WOKOVU.

Kuna baadhi ya mafundisho ndani ya kanisa yana utata sana ukiyafikiri kwa mtazamo wa Kibiblia, hivyo yamepelekea kuibuka kwa watu wenye mtazamo tofauti kama wafanyavyo Wakarismatiki.

Kikubwa tunachopaswa kukishikilia ni kutambua suala la kumcha Mungu siyo la kikundi bali ni la mtu binafsi, maana nafsi yako ikipotea anayepata hasara siyo kikundi ni wewe binafsi.

Pia wokovu ni kitu cha msingi kuliko kanisa.
 
Lengo kuu la mtu kwenda Kanisani ni kupata huduma za kiroho zenye matokeo chanya na hatimaye kumuwezesha mhusika kuurithi ufalme wa Mungu.

Yoh 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Kanisa ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu, ila WOKOVU ni mpango wa Mungu kumtafuta mwanadamu.

Endapo kuna mazingira yaliyowekwa na kanisa (mpango wa mwanadamu ) yanayoathiri WOKOVU ( mpango wa Mungu) hakika yatupasa kuukataa mpango wa kanisa na kukaa upande wa WOKOVU.

Kuna baadhi ya mafundisho ndani ya kanisa yana utata sana ukiyafikiri kwa mtazamo wa Kibiblia, hivyo yamepelekea kuibuka kwa watu wenye mtazamo tofauti kama wafanyavyo Wakarismatiki.

Kikubwa tunachopaswa kukishikilia ni kutambua suala la kumcha Mungu siyo la kikundi bali ni la mtu binafsi, maana nafsi yako ikipotea anayepata hasara siyo kikundi ni wewe binafsi.

Pia wokovu ni kitu cha msingi kuliko kanisa.
Acha kupiga chenga ukweli kwa nukuu ndefundefu.Kuwa specific!Binadamu bila utaratibu na kanuni hatutatofautiana na wanyama hayawani.Without rules we are savages.Hawezi kuachwa kila mtu afanye kila atakacho nje ya utaratibu/holelaholela.
 
Ukuristo kwa jumla ni vurugu tupu uliondoka kwenye msingi ya Bibilia na kuanzisha mambo yao yasio kua na rejea kwenye bibilia hao wakatoliki wana bariki ndoa za ushongaa, wanaabudu masanamu ambao ni ushirikina mkubwa sana kwa mbali angalau Wasabato.
Vipi nyie mnaoabudu lile dubwasha jeusi "Al Kaaba" kwa kulizunguka kama mmewehuka?

Na lenyewe sio sanamu?
 
Acha kupiga chenga ukweli kwa nukuu ndefundefu.Kuwa specific!Binadamu bila utaratibu na kanuni hatutatofautiana na wanyama hayawani.Without rules we are savages.Hawezi kuachwa kila mtu afanye kila atakacho nje ya utaratibu/holelaholela.
Kama mtu anakiuka utaratibu wa Mungu hapaswi kuacha kushughulikiwa, ila kama anakiuka utaratibu wa mwanadamu ila kwa Mungu yuko sawa, huyo anafaa kuungwa mkono.

Sasa huo utaratibu ambao Wakarismatiki wanavunja ni utaratibu wa Mungu au mwanadamu?.
 
Kama mtu anakiuka utaratibu wa Mungu hapaswi kuacha kushughulikiwa, ila kama anakiuka utaratibu wa mwanadamu ila kwa Mungu yuko sawa, huyo anafaa kuungwa mkono.

Sasa huo utaratibu ambao Wakarismatiki wanavunja ni utaratibu wa Mungu au mwanadamu?.
Ina maana hata wazazi wako haukuwatii?Je,walitumia mistari ya bible kukulea hadi ukakua?
 
Ukuristo kwa jumla ni vurugu tupu uliondoka kwenye msingi ya Bibilia na kuanzisha mambo yao yasio kua na rejea kwenye bibilia hao wakatoliki wana bariki ndoa za ushongaa, wanaabudu masanamu ambao ni ushirikina mkubwa sana kwa mbali angalau Wasabato.
Umesahau washia na wasuni wanavyopambana halafu unawaingiza Rc
 
Back
Top Bottom