Vita kuu ya tatu ya dunia imeshaanza, sababu na matukio tukitumia kumbukumbu ya vita kuu ya pili ya dunia

Vita kuu ya tatu ya dunia imeshaanza, sababu na matukio tukitumia kumbukumbu ya vita kuu ya pili ya dunia

Paul Alex

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2012
Posts
4,351
Reaction score
9,838
Hegemony ndio sababu ya hii vita. US + NATO hawakujua wapi waishie kwenye kuitawala dunia..
Kama wangekua na heshima kidogo kwa Russia na China na North Korea, na Vietnam Basi tusingekuwa na situation tuliyonayo leo.

Naomba nianze mada na moja kichwani, Ujerumani ni bomu lisilo la kuamini!
Hiyo moja tumeweka na tutairudia.

Shida ni kwamba siandikagi makala ndefu sana kwasababu wengi ni waoga kusoma.. so ukiangalia makala Kama hii ilipaswa kuwa kubwa with facts za kutosha ila nitaifupisha.

Haraka haraka!
1. Conflict in middle East na Netanyahu amekataa every peace plan.. anasema mpaka ayafikie malengo. Yani anataka kumtoa ng'ombe posta bila kujali aliyemleta.

2. US + NATO kumruhusu Ukraine atumie sophisticated weapons and target precise munitions with long range enough to Target points inside Russia na kuzipiga with precision.

3. Direction ya diplomatic efforts za US na Russia on the ongoing situation.

4. Military preparedness ya Russia, China, Korea, Us and Nato.

5. Uongozi uliopo sasa Russia na US na malengo yao..

Kosa moja dogo litachoma dunia kwa hali ilivyo!
Na utabiri wangu hilo kosa atalifanya Ukraine...
Kwakutumia hizi sophisticated precise amunitions atampiga moja kati ya viongozi wakubwa Russia.. na hapo ndio tutaona battle of the Titans na kale kamkopo ka Korea itabidi tukatumikie.

Situation ilivyo inaakisi ww1 na ww2, hamna kiungo kilichokosekana!
Russia hataki expansion, anapinga kuzungukwa, hegemony. China anapinga hegemony..Korea anapinga hegemony..
Hawa wako pamoja kimalengo na wana silaha mpaka kwenye meno.

Sasaivi hawajaanza makabiliano ya moja kwa moja, ila kwa strike ya Ukraine Sevastopol Cremie.. tutegemee jambo!
 
Nafurahi sana hiyo vita ianze. Haiwezekani hiki kizazi kikose historia ama kumbukumbu ya kuacha kwa vizazi vijavyo.

Tunahitaji vita hii dunia iweze kukaa sawa. Tunahitaji kukwaruzana kidogo tuchangamke.

Hii Dunia toka imeumbwa imekua ya vita, haiwezekani kuzazi chetu kikose vita, miaka 80 sasa no World war, haiwezekani.
 
Mmmh
Nafurahi sana hiyo vita ianze. Haiwezekani hiki kizazi kikose historia ama kumbukumbu ya kuacha kwa vizazi vijavyo.

Tunahitaji vita hii dunia iweze kukaa sawa. Tunahitaji kukwaruzana kidogo tuchangamke.

Hii Dunia toka imeumbwa imekua ya vita, haiwezekani kuzazi chetu kikose vita, miaka 80 sasa no World war, haiwezekani.
Mmh!
 
Nafurahi sana hiyo vita ianze. Haiwezekani hiki kizazi kikose historia ama kumbukumbu ya kuacha kwa vizazi vijavyo.

Tunahitaji vita hii dunia iweze kukaa sawa. Tunahitaji kukwaruzana kidogo tuchangamke.

Hii Dunia toka imeumbwa imekua ya vita, haiwezekani kuzazi chetu kikose vita, miaka 80 sasa no World war, haiwezekani.
Umekula nini leo?
 
Nafurahi sana hiyo vita ianze. Haiwezekani hiki kizazi kikose historia ama kumbukumbu ya kuacha kwa vizazi vijavyo.

Tunahitaji vita hii dunia iweze kukaa sawa. Tunahitaji kukwaruzana kidogo tuchangamke.

Hii Dunia toka imeumbwa imekua ya vita, haiwezekani kuzazi chetu kikose vita, miaka 80 sasa no World war, haiwezekani.
Waliopigana WWII wakiona comment yako wanaweza kukutukana whole month.
It easy ku comment unataka vita ukiwa nyuma ya keyboard , but wazee walioshiriki WWII, after that war hawakutaka such thing ijuride tena.
They wish

Vita is not fun, is no game.
 
Vita kuu zote mbili zilizopita zilikuwa Civil war in Europe fook it.
Vita ya Dunia wakati New Zealand na Butiama watu walikuwa wanakunywa chai zao kama kawa?
Hakuna vita yoyote ya Dunia
 
Waliopigana WWII wakiona comment yako wanaweza kukutukana whole month.
It easy ku comment unataka vita ukiwa nyuma ya keyboard , but wazee walioshiriki WWII, after that war hawakutaka such thing ijuride tena.
They wish

Vita is not fun, is no game.
Aliekwambia nataka vita nyuma ya keyboard ni nani?

Wewe unaongelea wa WWII, hata wa WWI hawakutaka ijirudie, hata kabla ya world wars hizo wa huko nyuma hawakutaka hiyo hali ijirudie.

Dunia haiwezi kukaa bila vita, hilo haliwezekani na kwa kua haliwezekani lazima itokee tena kwenye hili kizazi chetu.

Vita ya Dunia itokee tena.
 
Vita kuu zote mbili zilizopita zilikuwa Civil war in Europe fook it.
Vita ya Dunia wakati New Zealand na Butiama watu walikuwa wanakunywa chai zao kama kawa?
Hakuna vita yoyote ya Dunia
Vita kuitwa ya dunia sio lazima kila eneo katika hii dunia watu wapigane...
Hiyo vita ya pili unayoongea Butiama walichangia askari...
Unajua nini kiliitokea Newzealand na nchi zote za Nordic?
 
Nafurahi sana hiyo vita ianze. Haiwezekani hiki kizazi kikose historia ama kumbukumbu ya kuacha kwa vizazi vijavyo.

Tunahitaji vita hii dunia iweze kukaa sawa. Tunahitaji kukwaruzana kidogo tuchangamke.

Hii Dunia toka imeumbwa imekua ya vita, haiwezekani kuzazi chetu kikose vita, miaka 80 sasa no World war, haiwezekani.
Avatar (profile) yako inaakisi ushari Tu,ebu taja na umri wako...!!
 
Back
Top Bottom