Vita kuu ya tatu ya dunia imeshaanza, sababu na matukio tukitumia kumbukumbu ya vita kuu ya pili ya dunia

Vita kuu ya tatu ya dunia imeshaanza, sababu na matukio tukitumia kumbukumbu ya vita kuu ya pili ya dunia

Ngoja watwangane hadi wafirisike kiuchumi. Hapo ndio itakuwa mwanzo wa Bara la Africa kuwa super power.
 
Ngoja watwangane hadi wafirisike kiuchumi. Hapo ndio itakuwa mwanzo wa Bara la Africa kuwa super power.
Utakuwaje superpower wakati juzi umechukua mkopo Korea unaotaka upigane upande wa Nato Kama vita ikitokea?
 
Ni porojo tu hizo, hakuna cha vita vya tatu vya dunia wala nini.

Watakaopigana ndio haohao watapigana lakini huwezi kusema eti ndio vita vya tatu vya dunia kwani nchi zote haziwezi kushiriki kwenye vita vya kipumbavu visivyo wahusu.

There is nothing like the WWIII it's just a gimmick.
 
Ni porojo tu hizo, hakuna cha vita vya tatu vya dunia wala nini.

Watakaopigana ndio haohao watapigana lakini huwezi kusema eti ndio vita vya tatu vya dunia kwani nchi zote haziwezi kushiriki kwenye vita vya kipumbavu visivyo wahusu.

There is nothing like the WWIII it's just a gimmick.
Kukataa kwamba hauna tako haimaanishi kwamba halipo
 
Iv Kati ya miaka ile na miaka hii zama zipi zina siraha kali sana....?
 
Nafurahi sana hiyo vita ianze. Haiwezekani hiki kizazi kikose historia ama kumbukumbu ya kuacha kwa vizazi vijavyo.

Tunahitaji vita hii dunia iweze kukaa sawa. Tunahitaji kukwaruzana kidogo tuchangamke.

Hii Dunia toka imeumbwa imekua ya vita, haiwezekani kuzazi chetu kikose vita, miaka 80 sasa no World war, haiwezekani.
What a stupid thing to say.
 
Waliopigana WWII wakiona comment yako wanaweza kukutukana whole month.
It easy ku comment unataka vita ukiwa nyuma ya keyboard , but wazee walioshiriki WWII, after that war hawakutaka such thing ijuride tena.
They wish

Vita is not fun, is no game.
It's true. WAR IS HELL.
 
Dunia ifike sehemu kila mtu aishi kwake , aache kufuatilia ya wenzie .Binadamu tumeshindwa kuishi vizuri basi kila mtu arudi kwao .

Watoe vyombo vya habari vyote vibaki kwao , waondoe elimu na lugha yao tubaki kama watanzania .

Huu muingiliano ndio chanzo cha matatizo yote.
 
Dunia ifike sehemu kila mtu aishi kwake , aache kufuatilia ya wenzie .Binadamu tumeshindwa kuishi vizuri basi kila mtu arudi kwao .

Watoe vyombo vya habari vyote vibaki kwao , waondoe elimu na lugha yao tubaki kama watanzania .

Huu muingiliano ndio chanzo cha matatizo yote.
Comment vitu vinavyowezekana kufanyika
 
Comment vitu vinavyowezekana kufanyika
Hakuna zaidi ya kila binadamu kuishi kivyake , vita ni chanzo cha muingiliano ni hatari sana ...Katika ulimwengu huu wa muingilano kwa race tofauti zenye mitazamo tofauti , vita ni lazima itokee.
 
Nafurahi sana hiyo vita ianze. Haiwezekani hiki kizazi kikose historia ama kumbukumbu ya kuacha kwa vizazi vijavyo.

Tunahitaji vita hii dunia iweze kukaa sawa. Tunahitaji kukwaruzana kidogo tuchangamke.

Hii Dunia toka imeumbwa imekua ya vita, haiwezekani kuzazi chetu kikose vita, miaka 80 sasa no World war, haiwezekani.
Kaangalie madhara ya vita vya nuclear
 
Vita kuitwa ya dunia sio lazima kila eneo katika hii dunia watu wapigane...
Hiyo vita ya pili unayoongea Butiama walichangia askari...
Unajua nini kiliitokea Newzealand na nchi zote za Nordic?

Ndio, lazima Dunia yote ipigane ndio iitwe world war. Nimesema ilikuwa civil war in Europe. Kuitwa ya Dunia ni kwasababu wazungu wanajiona wao ndio Dunia yenyewe.
 
Vita ya 3 ya dunia imeshaanza.

Hata vita ya 2 ya dunia ilivyomalizika ndiyo ikaja kuitwa vita ya 2 ya dunia.
 
Vita kuu zote mbili zilizopita zilikuwa Civil war in Europe fook it.
Vita ya Dunia wakati New Zealand na Butiama watu walikuwa wanakunywa chai zao kama kawa?
Hakuna vita yoyote ya Dunia
Kwani uko ulikotaja ni dunia au , we hujui dunia ipo wapi
 
Back
Top Bottom