Vita nyingine kati ya China na Taiwan yanukia, USA kuingilia kati

Vita nyingine kati ya China na Taiwan yanukia, USA kuingilia kati

The Sunk Cost Fallacy

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
19,582
Reaction score
14,167
Dunia inakabiliwa na tishia la kuzuka kwa vita nyingine Kati ya China na Taiwan.

China inadai Taiwan ni sehemu yake huku Taiwan wakisema wao ni Taifa huru sio sehemu ya China.

Wakati huo huo Biden ameapa kutumia nguvu za kijeshi kuisaidia China ikiwa China itafanya uvamizi.

Mamia ya Meli vita za kisasa na ndege chapa ya F-16 zimepelekwa Taiwani huku China nayo ikijibu kwa Kurusha ndege Vita zake kwenye anga la maji ya Taiwan.

USA ameendelea kuimarisha ushirika na washkaji wake Japan, Australia, S. Korea,Indonesia wa ukanda wa Indo-Pacific Ili kuikabili China Kijeshi.

Duniani ni moto hakuna kulala yaani 🔥🔥🔥🔥
 

Attachments

  • Screenshot_20220619-123506.png
    Screenshot_20220619-123506.png
    120.3 KB · Views: 18
  • Screenshot_20220619-123606.png
    Screenshot_20220619-123606.png
    43.1 KB · Views: 15
  • Screenshot_20220619-123620.png
    Screenshot_20220619-123620.png
    43.4 KB · Views: 14
  • Screenshot_20220619-123637.png
    Screenshot_20220619-123637.png
    50.1 KB · Views: 18
Marekani huwa kiherehere sana

Hivi akitokea mtu anaitaka hawaiii au alaska si atachizika kabisa.

Mtu anaataka eneo lake mbali huko wewe una washwa washwa

Mimi nasemaje waoigane tu tupate balance of power.

Marekani haijawahi shida vita na hawana pumzi za mda mrefu.

China akianza operation taiwan kwa muda mrefu marekani watasepa tu
 
Marekani huwa kiherehere sana

Hivi akitokea mtu anaitaka hawaiii au alaska si atachizika kabisa.

Mtu anaataka eneo lake mbali huko wewe una washwa washwa

Mimi nasemaje waoigane tu tupate balance of power.

Marekani haijawahi shida vita na hawana pumzi za mda mrefu.

China akianza operation taiwan kwa muda mrefu marekani watasepa tu
Atokee tuone.. Taiwan ni Taifa huru
 
Mkuu USA hawana pumzi ya vita vya muda mrefu?

Vietnam alikaa muda gani?
Afghastan alikaa muda gani?
Iraq?
Marekani huwa kiherehere sana

Hivi akitokea mtu anaitaka hawaiii au alaska si atachizika kabisa.

Mtu anaataka eneo lake mbali huko wewe una washwa washwa

Mimi nasemaje waoigane tu tupate balance of power.

Marekani haijawahi shida vita na hawana pumzi za mda mrefu.

China akianza operation taiwan kwa muda mrefu marekani watasepa tu
 
Wewe ndio hulitambui lakini kuna Nchi kadhaa zinalitambua..

By the way kwani miaka ya karibuni hujaona Nchi zinapigania uhuru wao na zinapata na kutambulika?
Niambie nchi gani hizo maana umoja wa mataifa hauitambui Taiwan Kama taifa huru hata marekani mwenyewe hauitambui Taiwan kama taifa huru
 
Back
Top Bottom