Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marekani hauitambui Taiwan Kama taifa huru soma vizuri vitu hakuna mahali marekani imesema Taiwan ni taifa huruMarekeni na Australia
Kitu ambacho hakiwezi kutokeaUSA uzuri kajijengea washirika wengi DUNIANI . Na ametumia gharama kubwa sanaa kwa hiloo.
jiran na washndani zake kote na ushawishi akimaliza ukraine na taiwan DUNIA ITAKUWA KIGANJANI KWA USA.
NB. ROBO TATU YA UCHUMI WA DUNIA UNAMILIKIWA NA USA.
USA uzuri kajijengea washirika wengi DUNIANI . Na ametumia gharama kubwa sanaa kwa hiloo.
jiran na washndani zake kote na ushawishi akimaliza ukraine na taiwan DUNIA ITAKUWA KIGANJANI KWA USA.
NB. ROBO TATU YA UCHUMI WA DUNIA UNAMILIKIWA NA USA.
Vice versa hiyo, dunia ina fujo sababu ya MarekaniHii dunia bila ya marekani isingekuwa na amani
Alaska ni Mali ya urusi kiasilia,ni suala la muda tuu....Marekani huwa kiherehere sana
Hivi akitokea mtu anaitaka hawaiii au alaska si atachizika kabisa.
Mtu anaataka eneo lake mbali huko wewe una washwa washwa
Mimi nasemaje waoigane tu tupate balance of power.
Marekani haijawahi shida vita na hawana pumzi za mda mrefu.
China akianza operation taiwan kwa muda mrefu marekani watasepa tu
80% ya migogoro yenye kuhusisha silaha Duniani marekani amehusika kwa ajili ya maslahi yake...Hii dunia bila ya marekani isingekuwa na amani
Binafsi nasikitika kuona Japan akiwa upande wa US, vile vile South Korea kumkumbatia US na kuruhusu kukubali kugawanywa dhidi ya jirani yake North Korea. Inanikumbusha zama za West and East Germany
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Tena huko Taiwan na china Afrika tutapata balaa maana Afrika inaitegemea china kwa asilimia 90% ya bidhaaBalaa linakuja tena tusubiri kuambiwa vitu vitapanda bei tena
You can fool some people some times but u can't fool all the people all the time,Hii dunia bila ya marekani isingekuwa na amani
Sera ya marekani tangu miaka ya sabini ni China moja ikiwemo hiyo Taiwan, Hong Kong na Macau, unajua kuwa Republic of China (Taiwan) ilipokonywa kiti cha UN na kupewa People Republic of China (Communist China) huku USA ikiunga mkono na kuikacha Taiwan?Marekeni na Australia
Wacha inyeshe tujue kunako vujaDunia inakabiliwa na tishia la kuzuka kwa vita nyingine Kati ya China na Taiwan..
China inadai Taiwan ni sehemu yake huku Taiwan wakisema wao ni Taifa huru sio sehemu ya China..
Wakati huo huo Biden ameapa kutumia nguvu za kijeshi kuisaidia China ikiwa China itafanya uvamizi..
Mamia ya Meli vita za kisasa na ndege chapa ya F-16 zimepelekwa Taiwani huku China nayo ikijibu kwa Kurusha ndege Vita zake kwenye anga la maji ya Taiwan...
USA ameendelea kuimarisha ushirika na washkaji wake Japan,Australia,S Korea,Indonesia wa ukanda wa Indo-Pacific Ili kuikabili China Kijeshi.
Duniani ni moto hakuna kulala yaani 🔥🔥🔥🔥
Akiri unayo sema unakaujinga flani hivi.Hii dunia bila ya marekani isingekuwa na amani
Ungemuacha tu na ujinga wake.Mkuu USA hawana pumzi ya vita vya muda mrefu?
Vietnam alikaa muda gani?
Afghastan alikaa muda gani?
Iraq?
Marekani huwa kiherehere sana
Hivi akitokea mtu anaitaka hawaiii au alaska si atachizika kabisa.
Mtu anaataka eneo lake mbali huko wewe una washwa washwa
Mimi nasemaje waoigane tu tupate balance of power.
Marekani haijawahi shida vita na hawana pumzi za mda mrefu.
China akianza operation taiwan kwa muda mrefu marekani watasepa tu
Maisha ya bongo yamekuwa magumu sana kiasi kwamba yamepelekea kutufanya tujione wajuaji kwa kila kitu kuliko hata wanaotuzidi mbali sana kwa kila kitu katika maisha.Marekani huwa kiherehere sana
Hivi akitokea mtu anaitaka hawaiii au alaska si atachizika kabisa.
Mtu anaataka eneo lake mbali huko wewe una washwa washwa
Mimi nasemaje waoigane tu tupate balance of power.
Marekani haijawahi shida vita na hawana pumzi za mda mrefu.
China akianza operation taiwan kwa muda mrefu marekani watasepa tu