Vita nyingine kati ya China na Taiwan yanukia, USA kuingilia kati

Vita nyingine kati ya China na Taiwan yanukia, USA kuingilia kati

Kunazidi kucha 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220602-093957.png
    Screenshot_20220602-093957.png
    100.9 KB · Views: 17
  • Screenshot_20220601-162119.png
    Screenshot_20220601-162119.png
    21.1 KB · Views: 21
Mbona mods siwaelewi? Kwenye maelezo yangu nili attach nukuu za Twitter kutoka viongozi wa China na America kusapoti bandiko sasa mumetoa Ili iwe nini hasa?

Mnaanza kuboa Sana na uhariri wenu wa kindezi..
 
Dunia inakabiliwa na tishia la kuzuka kwa vita nyingine Kati ya China na Taiwan.

China inadai Taiwan ni sehemu yake huku Taiwan wakisema wao ni Taifa huru sio sehemu ya China.

Wakati huo huo Biden ameapa kutumia nguvu za kijeshi kuisaidia China ikiwa China itafanya uvamizi.

Mamia ya Meli vita za kisasa na ndege chapa ya F-16 zimepelekwa Taiwani huku China nayo ikijibu kwa Kurusha ndege Vita zake kwenye anga la maji ya Taiwan.

USA ameendelea kuimarisha ushirika na washkaji wake Japan, Australia, S. Korea,Indonesia wa ukanda wa Indo-Pacific Ili kuikabili China Kijeshi.

Duniani ni moto hakuna kulala yaani 🔥🔥🔥🔥
aisee China sio Russia,USA ikijaribu kuingilia itapotea,na mbaya zaid china anakubalika asian pacific maana juzi mkutano wa shanglari diaologue kiongozi wa Fiji,malaysia na indonesia pale singapore walikiri kuwa China sio tishio kwao kwahiyo hawana wasiwasi akijitanua kijeshi maana China iliwasaidia kijeshi kabla. Hivyo hapo utaona USA ina wakati mgumu kuwatafta washirika dhidi ya china maana USA hajasahau kipigo alichopata Pyongyeong na Jangsari 1959 korea,anaijua China kwasasa ime advance kijeshi na juzi kaongeza uzalishaji wa dongfeng missiles na amezindua aircraft carrier ya tatu inayosemekana kubwa kuliko zote.Na waziri wa ulinzi china alisema makombora yaliyo south china sea yatatumika km taifa lolote litaingilia mzozo wa Taiwan,Russia dhaifu kwa USA maana ilipigwa vita ya Georgia 2008,USSR ilivunjwa na Taliban kwa ufadhili wa USA,Ukraine kharkiv,lviv na kyiv Russia ameondolewa kwa ufadhili wa USA.Ila kwa China USA alipata upinzani Korea.CHINA HAISHIKIKI NDUGU ZANGUNI.
 
aisee China sio Russia,USA ikijaribu kuingilia itapotea,na mbaya zaid china anakubalika asian pacific maana juzi mkutano wa shanglari diaologue kiongozi wa Fiji,malaysia na indonesia pale singapore walikiri kuwa China sio tishio kwao kwahiyo hawana wasiwasi akijitanua kijeshi maana China iliwasaidia kijeshi kabla. Hivyo hapo utaona USA ina wakati mgumu kuwatafta washirika dhidi ya china maana USA hajasahau kipigo alichopata Pyongyeong na Jangsari 1959 korea,anaijua China kwasasa ime advance kijeshi na juzi kaongeza uzalishaji wa dongfeng missiles na amezindua aircraft carrier ya tatu inayosemekana kubwa kuliko zote.Na waziri wa ulinzi china alisema makombora yaliyo south china sea yatatumika km taifa lolote litaingilia mzozo wa Taiwan,Russia dhaifu kwa USA maana ilipigwa vita ya Georgia 2008,USSR ilivunjwa na Taliban kwa ufadhili wa USA,Ukraine kharkiv,lviv na kyiv Russia ameondolewa kwa ufadhili wa USA.Ila kwa China USA alipata upinzani Korea.CHINA HAISHIKIKI NDUGU ZANGUNI.
Ajipeleke Taiwan aone moto👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220902-081000.png
    Screenshot_20220902-081000.png
    45.9 KB · Views: 1
Ajipeleke Taiwan aone moto
Kaka hivi unajua China kuna visiwa pale southchina sea ni vya ufilipino vimechukuliwa na USA aliapa kuvirudisha na akashindwa,China sio Russia maana China Asia ana influence kubwa kuliko USA,pia USA na China wamewahi kupimana ubavu ktk proxy wars Korea na USA akashindwa,China sio nchi ya kitoto,USA hana ubavu kwa CHINA tuache ushabiki.Mwisho ht hiyo RUSSIA kipindi vita za Ukraine zinaanza EU ilimuomba China asiiunge mkono RUSSIA kijeshi jiulize kwanini waliiomba badala ya kuikataza.
 
Maneno ya Mkuu wa Majenerali wa Marekani 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220724-205150.png
    Screenshot_20220724-205150.png
    136.4 KB · Views: 6
Kaka hivi unajua China kuna visiwa pale southchina sea ni vya ufilipino vimechukuliwa na USA aliapa kuvirudisha na akashindwa,China sio Russia maana China Asia ana influence kubwa kuliko USA,pia USA na China wamewahi kupimana ubavu ktk proxy wars Korea na USA akashindwa,China sio nchi ya kitoto,USA hana ubavu kwa CHINA tuache ushabiki.Mwisho ht hiyo RUSSIA kipindi vita za Ukraine zinaanza EU ilimuomba China asiiunge mkono RUSSIA kijeshi jiulize kwanini waliiomba badala ya kuikataza.
mchina unakuta kaiba technology za kijeshi zote kazireverse engineer [emoji23]
 
Mkuu USA hawana pumzi ya vita vya muda mrefu?

Vietnam alikaa muda gani?
Afghastan alikaa muda gani?
Iraq?
Halafu ikawaje !?

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787]

Yanini kupigana vita Ambayo unajua kuwa hauwezi kushinda !?

Wasted of resources [emoji706][emoji706][emoji706]
 
Kaka hivi unajua China kuna visiwa pale southchina sea ni vya ufilipino vimechukuliwa na USA aliapa kuvirudisha na akashindwa,China sio Russia maana China Asia ana influence kubwa kuliko USA,pia USA na China wamewahi kupimana ubavu ktk proxy wars Korea na USA akashindwa,China sio nchi ya kitoto,USA hana ubavu kwa CHINA tuache ushabiki.Mwisho ht hiyo RUSSIA kipindi vita za Ukraine zinaanza EU ilimuomba China asiiunge mkono RUSSIA kijeshi jiulize kwanini waliiomba badala ya kuikataza.
US kawekeza nguvu kubwa Taiwan,hivyo visiwa vilikuwa na mgogoro kitambo sana na China kampora Ufilipino..

Ila Taiwan athubutu kuingia 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220729-105958.png
    Screenshot_20220729-105958.png
    82.4 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220729-105806.png
    Screenshot_20220729-105806.png
    100 KB · Views: 5
Combat exercises by Taiwan Military 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220729-105828.png
    Screenshot_20220729-105828.png
    62.1 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220729-110041.png
    Screenshot_20220729-110041.png
    95.4 KB · Views: 4
Back
Top Bottom