Vita vya Gaza ni mwendelezo wa vita dhidi ya Uislamu kwa mtindo mpya

Muslim sijui kwa nini hawazungumzii kuhusu Mateka waachiwe au wanjisikia Shame sababu ni nje ya maagizo ya Allah Wazee,Watoto,Wagonjwa,Wasio na hatia kuwateka na kuwanyanyasa,kingono n.k pengine ndio utekaji ni AMRI ya Allah
 
Awezi kukujibu hii
 
Akijibu ni tag please
 
Hivi huwa wanafunga au WANABADILI ratiba ya muda wa kula kutoka asubuhi - jioni na kuwa jioni - asubuhi? samahanini lakini.
 
Waislamu wanaojielewa hawana shida na dini nyingine, wao tu ni kuabudu mwenyezi Mungu na wana upendo kwa watu wote, waislamu kama wewe ndio wanasababisha vurugu kila eneo wanapoenda, ona kule China, India, Neymar, Nigeria, Mozambique, Sudani, Somalia ni vurugu tupu, mauji kila siku, Pale Palestina kuna waislamu jamii ya Druze hawa wanatamani waishi pamoja na wayahudi, pia ushaj8di upo wa waislam kwenye bunge la Israel tena waarabu, wengine ni wataalam wanaishi kwa amani, suala la Palestina siyo ardhi bali ni dini.
 
Huyu jamaa alikuwa akishavamia na kuua jinsia yote ya kiume anasema Allah kamruhusu kuchukua Mateka wakwanza na tena anachukua mwanamke Mzuri mji huo anamuoa miongoni wa Mateka wake.

Kitendo kilimuuma hasa bi Aisha katika safari zake Moja za uvamizi

Bi Aisha akabaki Jangwani akalala a.k.a kutembea na bodyguard wake.
 
Kamanda nakukubali sana. We nakufananisha na AlSahaf Wazir wa habar wa Iraq ya Saddam Hussein. Nasikitika tu unaumia tu kwa madhila ya waarabu ila ya waafrica kwako sio kitu.
 
Kamanda nakukubali sana. We nakufananisha na AlSahaf Wazir wa habar wa Iraq ya Saddam Hussein. Nasikitika tu unaumia tu kwa madhila ya waarabu ila ya waafrica kwako sio kitu.
Ye mwarabu wa dini ya weusi yanamuhusu nini
 
Akili kisoda, umesahau kama nchi za kiislam zinamsaidia muisraeli kuvusha mizigo yake iliyokwama sababu ya wahauth
Ndicho tulichozungumza hicho kinachofanywa na wenye akili visoda.
 
Kamanda nakukubali sana. We nakufananisha na AlSahaf Wazir wa habar wa Iraq ya Saddam Hussein. Nasikitika tu unaumia tu kwa madhila ya waarabu ila ya waafrica kwako sio kitu.
Watu wanaopigana wenyewe kwa wenyewe hawanishughulishi sana na hapo juu nimewapa mgao wao kuwa wanapigana vita vya kishetani tu.
Ningependa sana niwasuluhishe lakini naamini kazi yake ni kubwa kuliko uwezo wangu.
 
Watu wanaopigana wenyewe kwa wenyewe hawanishughulishi sana na hapo juu nimewapa mgao wao kuwa wanapigana vita vya kishetani tu.
Ningependa sana niwasuluhishe lakini naamini kazi yake ni kubwa kuliko uwezo wangu.
Sasa kwan hao Jews na Arabs si na wenyewe si wanapigana wenyewe kwa wenyewe au hujui Jews na Arabs wapo hapo pamoja mpaka wakat wa Ottoman ndio baadhi ya Jews wa Europe wakaungana na Jews wenyej kupata taifa lao.
 
Napingana na wewe
 
Golda Meir aliwahi kuwaambia
 
Vile siyo vita vya kidini,ni vita vya kugombea ardhi! Waarabu wameingiza Uislam tu kwenye vita kwa maslahi yao.
 
Na Hamas nao wanajilinda kwa uchokozi wa Israel
Na hata dunia ikiwaacha mkono watapata utetezi wa uhakika zaidi.
Sasa kama hamas wanajilinda mwa kuichokoza israel mbona wakijibiwa mnalilia na kutuwekea picha za watoto sasa hivi imezuka propaganda nyingine ya kutafuta huruma kwa wapalestina ni kutumia neno njaa inawaua wapalestina mbona africa kuna njaa ila mpo kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…