Vita vya Israel vimepata jina jipya. Ni vita vya kupigana na hospitali, waandishi wa habari na mapipa ya maji

Vita vya Israel vimepata jina jipya. Ni vita vya kupigana na hospitali, waandishi wa habari na mapipa ya maji

Israel ni wahuni tu hawana tofauti na hao Hamas. Nao ni magaidi tu. Wameshindwa kupambana na Hamas baada ya Iron Dome kuwa breached wakaona aibu wameamua kulipa kisasi kwa kuua raia wasio na hatia kwakuwa wanajua hawawezi kupambana na Hamas.

Israel kama sio hawa mataifa ya magharibi Hamas tu inaweza kuwafutulia mbali.

Cc Maghayo
Ww nawe kisoda kweli utaweza kupambana na mtu anayejuchanganya na raia hana sare hana nn. Hamas ni waoga mwanaume hajifichi nyuma ya mwanamke na mtt ndo maana IDF wakihisi tu pale kuna magaidi, kuwepo watt kuwepo wazee ni kufumua tu watajua mbele ya safari. Israel iliwapiga waarabu ikiwa na siku moja tu tokea izaliwe hamuishi kujipa matumaini. Na mwaka huu wazayuni watazaa na nyinyi.
 
e Hata idf nao wanaona kizunguzungu.Mara vita vya muda mrefu,mara Gaza tumeizingira,mara Hamas wamepoteza udhibiti,mara wapo mahospitalini.
Huoni kuwa Israel imechanganyikiwa zaidi huku ikificha kipigo inachopata.
Wanajeshi wa kisrael wanaokufa vitani daily wanapostiwa kwenye page za IDF pitia utawaona.
 
Meneja wa hospitali ya Alshifa hapo jana kwa niaba ya hospitali chache ambazo hazijasitisha huduma ameiita siku hiyo kuwa ni vita dhidi ya hospitali
Hiyo ni baada ya jeshi la Israel bila haya kuzizingira hospitali kadhaa kwa vifaru na kuzuia huduma zote kuendelea.Baada ya hapo hospitali hizo zilianza kupigwa kwa makombora kutoka ndege za kivita na kusababisha vifo vya watu wengi.
Upande wake katibu mkuu wa umoja wa mataifa amewahi kusema Gaza imegeuka kuwa ni kaburi la watoto baada ya kuona jinsi watoto wanavyouliwa wazi wazi ja jeshi la Israel.Yenyewe UN imeshapoteza wafanyakazi wake zaidi ya 100 ambayo ndio idadi kubwa kuwahi kulikumba shirika hilo katika mzozo wowote mmoja duniani
Mashirika ya habari nayo yameshapoteza waandishi wao wa habari mahiri tangu kuanza kwa vita hivyo wengi wakiwa wameuliwa kwa makusudi kwani huwa wamevaa vizibao vyao vya kuwajulisha shughuli yao.
Hasira hizo za IDF ni matokeo ya kutofikiwa kwa malengo yake zaidi ya mwezi tangu vita na wapalestina vianze huko Gaza.Hakuna mateka hata mmoja aliyeokolewa na Hamas bado wako hai wanapigana kwa nguvu.

Hiyo ni porojo tu usidanganye watu hapa kama vile hatufuatilii vita hivyo. Ukweli ni kwanba Hamas kadiri wanavyoona moto mkali na upo ndani ya Gaza mtaa kwa mtaa waneamua kujichanganya na raia ili kukwepa kipigo na ndipo hapo wanapotwangwa wote. Kumbuka kuwa hayo maeneo watu waliambiwa waondoke wote kuelekea kusini na wenzao wengine walishaondoka. Sasa wao bado wanafanya nini maeneo ya uwanja wa mapambano. Elewa kuwa Hamas ni magaidi siyo wanajeshi hivyo hawavai uniform au magwanda ya vita kama IDF walivyovaa, kwa hiyo wao njia yao ya kukwepa kipigo kikali toka kwa IDF ni kujificha na kujichanganya na raia ambao wengi wamejisetiri mashuleni na mahospitalini, sasa wanachofanya IDF ni kuwanyuka wote hadi wawatoe waingie kwenye mapambano badala ya kujificha kwa kujichanganya na raia na wengine kujificha kama panya kwenye mashimo kama walivyokuwa wanajificha Saddam Hussein na Osama. Hata huko kwenye mahandaki wanaporomoshewa moto hadi wajute ni kwa nini waliichokoza Israel tarehe 07 Oktoba. Huo ndiyo ukweli, usijaribu kutudanganya watu hapa.
 
Sisi mosad na Shin bet tunakujuwa vizuri wewe ni STRUGGLE MAN na umebadilisha jina ya ID ya umayed.

Pia mabasha wako wote tunawafahamu nyauww
Mimi niwe na basha😄 labda niletee dada zako wanijaribu watakupa habari zangu.

We hukatazwi kunishakia mimi na ID fake, sababu mimi najitambua si wewe unaye nitambua, unafikiri mimi kichaa nipoteza mda wangu hapa kwa kutengeneza fake ID nipe faida yake?

Pili hili jina la Adiosamigo linatosha kuwazima sina haja na fake ID sababu najitambua.

We uwe Mossad au FBI huwezi pata chochote zaidi ya Adiosamigo upande wangu na hata hili ID yangu Adiosamigo kunawakati nafikiria litanishinda kulitumia sababu huwa sina time sana kuwa free
 
Meneja wa hospitali ya Alshifa hapo jana kwa niaba ya hospitali chache ambazo hazijasitisha huduma ameiita siku hiyo kuwa ni vita dhidi ya hospitali
Hiyo ni baada ya jeshi la Israel bila haya kuzizingira hospitali kadhaa kwa vifaru na kuzuia huduma zote kuendelea.Baada ya hapo hospitali hizo zilianza kupigwa kwa makombora kutoka ndege za kivita na kusababisha vifo vya watu wengi.
Upande wake katibu mkuu wa umoja wa mataifa amewahi kusema Gaza imegeuka kuwa ni kaburi la watoto baada ya kuona jinsi watoto wanavyouliwa wazi wazi ja jeshi la Israel.Yenyewe UN imeshapoteza wafanyakazi wake zaidi ya 100 ambayo ndio idadi kubwa kuwahi kulikumba shirika hilo katika mzozo wowote mmoja duniani
Mashirika ya habari nayo yameshapoteza waandishi wao wa habari mahiri tangu kuanza kwa vita hivyo wengi wakiwa wameuliwa kwa makusudi kwani huwa wamevaa vizibao vyao vya kuwajulisha shughuli yao.
Hasira hizo za IDF ni matokeo ya kutofikiwa kwa malengo yake zaidi ya mwezi tangu vita na wapalestina vianze huko Gaza.Hakuna mateka hata mmoja aliyeokolewa na Hamas bado wako hai wanapigana kwa nguvu.

Sasa kama Hamas bado wapo hai wanaendelea kupigana, kwa nini wasiende kuwafurusha hao Waisrael huko hospitalini hadi watu wanauliwa kiasi kile? Ujweli ni kwamba Wamejichanganya na wagonjwa na watu wanaoenda kuangalia wagonjwa na waliojisetiri humo, na kila kitu na kujifungia hospitalini. Kama hawatoki humo ili kuingia kwenye mapambano watasafishwa wote. Na wasifikiri kukaa na mateka ni kinga ya kujwepa kipigo, la hasha, moto utaendekea kupelekwa tu.
 
Israel ni wahuni tu hawana tofauti na hao Hamas. Nao ni magaidi tu. Wameshindwa kupambana na Hamas baada ya Iron Dome kuwa breached wakaona aibu wameamua kulipa kisasi kwa kuua raia wasio na hatia kwakuwa wanajua hawawezi kupambana na Hamas.

Israel kama sio hawa mataifa ya magharibi Hamas tu inaweza kuwafutulia mbali.

Cc Maghayo

Shida ni kuwa hao Hamas wapo wapi kuwakomboa wanaochapwa hadi Hospitalini kama siyo ni wao wenyewe wamejichanganya na raia na watoto? Unadhani Hamas kwa mfano wangekuwa wameingia upande wa Israel wanapigana kuna mtu yoyote anaitwa Hamas angepona? Wenzao wamewafuata Gaza kwao wao wamejificha kwenye mashimo na kwenye shule na hospitali, na Israel wanajua kuwa wamejibanza humo ndiyo maana wanashushiwa moto humo humo!
 
Wajitafakari vizuri tu.Hicho kitu wamekifanya kwa miaka 75 na hakijabadilisha kitu.

Safari hii ndiyo wanaonyesha mfano halisi na magaidi wa Hamas hawatakuja kusahau milele maana miaka ya nyuma walikuwa wanabembelezwa. Vita zilikuwa zinachukua hadi siku 6 tu huko nyuma ndiyo maana walikuwa wanajiona nao wapo sawa na Israel, sasa hakuna cha siku sita hadi watakapojua Netanyau ni nani na bahati mbaya hiyo miaka 75 huko nyuma Netanyau hakuwepo kwenye madaraka!
 
Shida ni kuwa hao Hamas wapo wapi kuwakomboa wanaochapwa hadi Hospitalini kama siyo ni wao wenyewe wamejichanganya na raia na watoto? Unadhani Hamas kwa mfano wangekuwa wameingia upande wa Israel wanapigana kuna mtu yoyote anaitwa Hamas angepona? Wenzao wamewafuata Gaza kwao wao wamejificha kwenye mashimo na kwenye shule na hospitali, na Israel wanajua kuwa wamejibanza humo ndiyo maana wanashushiwa moto humo humo!
Unajifanya unajua ukweli kuliko wale walio kule Gaza na wafanyakazi wa UN.Wote wamesema hawajaona Hamas humo hospitalini.
Picha zinazooneshwa zote ni kila mmoja analia au anafanya kazi za kuokoa maisha ya majeruhi.Hamas wangekuwa wana bunduki mabegani au wameduwaa kwa vile hawana mafunzo ya udaktari.
 
Hata idf nao wanaona kizunguzungu.Mara vita vya muda mrefu,mara Gaza tumeizingira,mara Hamas wamepoteza udhibiti,mara wapo mahospitalini.
Huoni kuwa Israel imechanganyikiwa zaidi huku ikificha kipigo inachopata.

Hakuna kuchanganyikiwa hapo, hiyo ni janja janja yako ya kutaka mapigano yasitishwe ili ndugu zako Hamas wapone. Israel ilishasema raia wote waondoke na kuelekea kusini maana moto unaofuata hauna mwisho, sasa ni raia gani ambao bado hawajahama wakati wenzao walitii amri na kuhamia kusini? Ni bora hivi wanavyolalamika wangehama haraka sana maana Israel haitoki huko leo wala kesho.
 
Meneja wa hospitali ya Alshifa hapo jana kwa niaba ya hospitali chache ambazo hazijasitisha huduma ameiita siku hiyo kuwa ni vita dhidi ya hospitali
Hiyo ni baada ya jeshi la Israel bila haya kuzizingira hospitali kadhaa kwa vifaru na kuzuia huduma zote kuendelea.Baada ya hapo hospitali hizo zilianza kupigwa kwa makombora kutoka ndege za kivita na kusababisha vifo vya watu wengi.
Upande wake katibu mkuu wa umoja wa mataifa amewahi kusema Gaza imegeuka kuwa ni kaburi la watoto baada ya kuona jinsi watoto wanavyouliwa wazi wazi ja jeshi la Israel.Yenyewe UN imeshapoteza wafanyakazi wake zaidi ya 100 ambayo ndio idadi kubwa kuwahi kulikumba shirika hilo katika mzozo wowote mmoja duniani
Mashirika ya habari nayo yameshapoteza waandishi wao wa habari mahiri tangu kuanza kwa vita hivyo wengi wakiwa wameuliwa kwa makusudi kwani huwa wamevaa vizibao vyao vya kuwajulisha shughuli yao.
Hasira hizo za IDF ni matokeo ya kutofikiwa kwa malengo yake zaidi ya mwezi tangu vita na wapalestina vianze huko Gaza.Hakuna mateka hata mmoja aliyeokolewa na Hamas bado wako hai wanapigana kwa nguvu.
Dunia haiko salama chini ya mikono ya Marekani tuiombee Urusi ipande nguvu za kijeshi Ili isimame imara dhidi ya UNYAMA WA MAREKANI DUNIANI KOTE
 
Israel ni wahuni tu hawana tofauti na hao Hamas. Nao ni magaidi tu. Wameshindwa kupambana na Hamas baada ya Iron Dome kuwa breached wakaona aibu wameamua kulipa kisasi kwa kuua raia wasio na hatia kwakuwa wanajua hawawezi kupambana na Hamas.

Israel kama sio hawa mataifa ya magharibi Hamas tu inaweza kuwafutulia mbali.

Cc Maghayo
Mbwa hawa kuna siku watalipia YOTE haya
 
lipokonywe silaha ama sijaelewa ikiwa uliimanisha hivyo sawa hamas ana silaha gani?

Kwa hiyo wanatumia marungu kupigana? Na kama hawana silaha badala take wana marungu waliendaje kuichokoza Israel tarehe 07 Oktoba wakati wanajua hawana silaha zaidi ya marungu? Au kuna mtu toka nchi nyingine aliwadanganya kuwa waingie Israel halafu atawasaidia?
 
Hivi wewe uambiwe mara ngapi ndo uelewe ? Umeambiwa Israel haitafuti mateka Bali inawatafuta magaidi ambao wanajificha humo mahospitalini .

Shida yenu hamtaki kuwasikiliza kabisa waisrael kuhusu madai yao. Wao kulingana na taarifa za kiuchunguzi na kiintelijensia wanadai magaidi wamejificha humo mahospitalini, makanisani na misikitini. Lakini watu mmekaza shingo na vichwa hamtaki kuwasikiliza na kukalia kuilaumu.

Siku chache zilizopita Israel ilipiga Kambi ya wakimbizi na kusababisha maafa makubwa , Cha ajabu Moja kati ya makamanda wa HAMAS alilipotiwa kufa katika Kambi hiyo . Hiyo tafsiri yake Nini?.

Msemaji wa jeshi la Israel Daniel Hagari Jana ametolea ufafanuzi kuhusu hospital ya Al shifa na kusema wakati wakipambana na HAMAS katikati ya mapambano kiongozi wa HAMAS alikimbia na kuingia kwenye hospital hiyo .. Na Israel ikazingira hospital hapo na kuacha wazi upande wa mashariki Ili watu waweze kutoka Kwa ukaguzi , waliotoka walitoka na wabishi wakakaidi . Ulitegemea Israel awachekee? 🤣🤣🤣🤣
Kubonda hospitali ni aibu kubwa na inatoa picha ya kushindwa vita kwa jeshi lenye ndege,vifaru na askari takriban 300,000. Jeshi hilo linapigana na wanamgambo ambao hata idadi yake haijulikani kwa uchache wao.
Wao ilikuwa waende tu kwa mguu wakakague iwapo hao mateka wao wapo pale.Wasipowaona basi waache shughuli ziendelee.
 
Hakuna kuchanganyikiwa hapo, hiyo ni janja janja yako ya kutaka mapigano yasitishwe ili ndugu zako Hamas wapone. Israel ilishasema raia wote waondoke na kuelekea kusini maana moto unaofuata hauna mwisho, sasa ni raia gani ambao bado hawajahama wakati wenzao walitii amri na kuhamia kusini? Ni bora hivi wanavyolalamika wangehama haraka sana maana Israel haitoki huko leo wala kesho.
Israel hawaaminiki kwa kauli na matendo yao.Kuhusu kusini wameshasema wakimaliza huku kama wataweza wanakwenda kusini.Kabla ya kumalizika chochote huko kusini wanapigwa kila siku.
Katika hali kama hiyo wengi wameona bora wabaki huku huku na kama ni kufa wafe huko huko kwao.
 
Sipendi vita .....amani itawale waitane wazungumze....Hamas lipokwe silaha nzito hizo kwa usalama wa Gaza
There's no negotiations with the terrorists.Hakuna wa kuwanyang'anya silaha.Wazitupe na wakimbie wenyewe!😂😂😂
 
Hivi wewe uambiwe mara ngapi ndo uelewe ? Umeambiwa Israel haitafuti mateka Bali inawatafuta magaidi ambao wanajificha humo mahospitalini .

Shida yenu hamtaki kuwasikiliza kabisa waisrael kuhusu madai yao. Wao kulingana na taarifa za kiuchunguzi na kiintelijensia wanadai magaidi wamejificha humo mahospitalini, makanisani na misikitini. Lakini watu mmekaza shingo na vichwa hamtaki kuwasikiliza na kukalia kuilaumu.

Siku chache zilizopita Israel ilipiga Kambi ya wakimbizi na kusababisha maafa makubwa , Cha ajabu Moja kati ya makamanda wa HAMAS alilipotiwa kufa katika Kambi hiyo . Hiyo tafsiri yake Nini?.

Msemaji wa jeshi la Israel Daniel Hagari Jana ametolea ufafanuzi kuhusu hospital ya Al shifa na kusema wakati wakipambana na HAMAS katikati ya mapambano kiongozi wa HAMAS alikimbia na kuingia kwenye hospital hiyo .. Na Israel ikazingira hospital hapo na kuacha wazi upande wa mashariki Ili watu waweze kutoka Kwa ukaguzi , waliotoka walitoka na wabishi wakakaidi . Ulitegemea Israel awachekee? 🤣🤣🤣🤣
Ushahidi wa kuwa mayahudi ni waongo na wadanganyifu ni mwingi na kwamba hiyo intelijensia yao mara nyingi imefeli mia kwa mia kama ile oktoba 7.
Sasa una kipi cha kutulazimisha tuamini maneno ya msemaji wa jeshi na huku data zimezimwa.Naibu waziri wa afya wa Gaza jana alikuwemo ndani ya hospitali akawa anatoa ushahidi kwa ukatili wa Israel na akasema hawezi kurusha picha kutokana na data za intaneti kuzimwa.
 
Hivi wewe uambiwe mara ngapi ndo uelewe ? Umeambiwa Israel haitafuti mateka Bali inawatafuta magaidi ambao wanajificha humo mahospitalini .

Shida yenu hamtaki kuwasikiliza kabisa waisrael kuhusu madai yao. Wao kulingana na taarifa za kiuchunguzi na kiintelijensia wanadai magaidi wamejificha humo mahospitalini, makanisani na misikitini. Lakini watu mmekaza shingo na vichwa hamtaki kuwasikiliza na kukalia kuilaumu.

Siku chache zilizopita Israel ilipiga Kambi ya wakimbizi na kusababisha maafa makubwa , Cha ajabu Moja kati ya makamanda wa HAMAS alilipotiwa kufa katika Kambi hiyo . Hiyo tafsiri yake Nini?.

Msemaji wa jeshi la Israel Daniel Hagari Jana ametolea ufafanuzi kuhusu hospital ya Al shifa na kusema wakati wakipambana na HAMAS katikati ya mapambano kiongozi wa HAMAS alikimbia na kuingia kwenye hospital hiyo .. Na Israel ikazingira hospital hapo na kuacha wazi upande wa mashariki Ili watu waweze kutoka Kwa ukaguzi , waliotoka walitoka na wabishi wakakaidi . Ulitegemea Israel awachekee? 🤣🤣🤣🤣
Zuzu huyo.Wacha wakoyongwe hadi waimbe qaswida.😂
 
Israel ni wahuni tu hawana tofauti na hao Hamas. Nao ni magaidi tu. Wameshindwa kupambana na Hamas baada ya Iron Dome kuwa breached wakaona aibu wameamua kulipa kisasi kwa kuua raia wasio na hatia kwakuwa wanajua hawawezi kupambana na Hamas.

Israel kama sio hawa mataifa ya magharibi Hamas tu inaweza kuwafutulia mbali.

Cc Maghayo
Mtu Kama huyu. Uwezi kuelewesha chochote ukaelewa, unachojua kwamba ukifa unaenda kutana na mabikira. Sasa Israel anachofanya ni kuwapeleka kwenye mahuti, mkakutane na hawo mabikira
 
Hiyo Intelegensia mbona imeshindwa kujua mateka walipo mpaka sasa?

Siku zote ukiona jeshi linauwa raia hovyo ujue kuwa lina hali mbaya kwenye medani ya vita.

Kama lina hali mbaya jeshi la Israel si ndiyo ingekuwa muda muafaka Hamas nao kuingia Israel kule na kuwachakaza wayahudi? Au tarehe 07 Oktoba walikuwa wana-beep tu!
 
Ww nawe kisoda kweli utaweza kupambana na mtu anayejuchanganya na raia hana sare hana nn. Hamas ni waoga mwanaume hajifichi nyuma ya mwanamke na mtt ndo maana IDF wakihisi tu pale kuna magaidi, kuwepo watt kuwepo wazee ni kufumua tu watajua mbele ya safari. Israel iliwapiga waarabu ikiwa na siku moja tu tokea izaliwe hamuishi kujipa matumaini. Na mwaka huu wazayuni watazaa na nyinyi.

Ina maana majamaa yanatembeza hadi NDIZI kule!
 
Back
Top Bottom