MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Echolima hicho kitabu kikipata promotion nzuri kitauza kuliko albamu za wasanii ila hofu yangu ni jeshi kukulazimisha wao kuwa ndio wasimamizi wakuu wa uhariri na usambazaji na mwisho ukaishia kupata vijipasenti tu!!
mkuu jitahidi kuwashirikisha Invisible na Mzee Mwanakijiji na manguli wengine humu kama Philemon Mikael ili walau ukiacha kutoa mchango kwa jamii ufaidike pia.
mkuu jitahidi kuwashirikisha Invisible na Mzee Mwanakijiji na manguli wengine humu kama Philemon Mikael ili walau ukiacha kutoa mchango kwa jamii ufaidike pia.
Last edited by a moderator: