Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 6,696
- 6,734
Waarabu huwa wanashindwa kupiga mahesabu ya kina aisee.
Badala mkubali kukaa chini ya bendera moja ya utawala mujenge taifa mnaleta utofauti unaowagawanya na kuharibu nchi na kuipasua kipande kipande.
Hili la Syria na Libya halina tofauti sana.
Waarabu walikosea 1948. Walipoamua kuunda Taifa la Israel, waarabu wasingekataa kulitambua. Walifikiri wangeweza kulizamisha lisiendelee kuwepo.
Sababu ya kosa lile, na baadae PLO ya Arafat kukataa kuendelea na makubaliono ya Oslo bila kuachiwa Jerusalemu yote, leo hii sijui wataanzia wapi kubadilisha mambo mengi magumu yaliyotokea.
Israel ya Netanyahu itafeli nayo sababu wanataka waunde Israel based on the bible territories.
All in all, Jordan na Egypt wana peace treat na Israel. Saudia kwa siri wanasaidiwa na Israel ili Iran isiwazingue.
Kilichobaki wahamie Igunga, Nzega, Tabora, Ushirombo au kule Kayenze waendelee kujenga maisha