Vita vya Syria vina mchanganyiko sana, ila dikteta Assad ni uovu wenye afadhali (lesser evil) kuliko waasi Wanajihadi

Vita vya Syria vina mchanganyiko sana, ila dikteta Assad ni uovu wenye afadhali (lesser evil) kuliko waasi Wanajihadi

Waarabu huwa wanashindwa kupiga mahesabu ya kina aisee.

Badala mkubali kukaa chini ya bendera moja ya utawala mujenge taifa mnaleta utofauti unaowagawanya na kuharibu nchi na kuipasua kipande kipande.

Hili la Syria na Libya halina tofauti sana.

Waarabu walikosea 1948. Walipoamua kuunda Taifa la Israel, waarabu wasingekataa kulitambua. Walifikiri wangeweza kulizamisha lisiendelee kuwepo.
Sababu ya kosa lile, na baadae PLO ya Arafat kukataa kuendelea na makubaliono ya Oslo bila kuachiwa Jerusalemu yote, leo hii sijui wataanzia wapi kubadilisha mambo mengi magumu yaliyotokea.
Israel ya Netanyahu itafeli nayo sababu wanataka waunde Israel based on the bible territories.
All in all, Jordan na Egypt wana peace treat na Israel. Saudia kwa siri wanasaidiwa na Israel ili Iran isiwazingue.
Kilichobaki wahamie Igunga, Nzega, Tabora, Ushirombo au kule Kayenze waendelee kujenga maisha
 
Ndege za Kivita za Marekani A10 'Warthog' zimeanza kuwasaidia Waasi karibia na Mji wa Deir Ez Zor.

Terrible mistake....kwanini wasiwaache Syria wakaamua wenyewe?
Iraq mbona imeharika na wamekimbia?
 
Au afanye Dialogue na Waasi awaambie waachane na Idiolojia za Kisuni wachukue Usecular...unaonaje?!
Wewe na wenzako si ndio mliokuwa mnawaita washia magaidi na Iran ndio sponsor WA magaidi ? ,kila siku nikawa na waambia magaidi ni Israel, Marekani na machoko wenzao hao .
Nikawa nawaambia hebu leteni jina la gaidi hata mmoja wa kishia au incident ya ugaidi iliyofanywa na mshia .
 
Wazayuni hawamtaki Assad ni tishio kwa Taifa la Israel naona wameamua aondoke.
Mossad ,CIA na MI6 ndio masterminds WA hizi manipulations za kuunda vikundi vya mercenaries kufanya dirty jobs zao halafu wanaviita magaidi ili kuficha ukweli kwamba wao ndio funders WA hivyo vikundi ili kuwafanyia kazi zao chafu .
Msipolielewa hili mapema mtasumbuka sana ,hata Snowden yule CIA defector alishawahi kuongelea hili nadhani kwenye moja ya interviews zake
 
Syria haijawahi kuwa na jeshi competent hata kwenye vita ya Ramadhani Misri ndio ilipigana vizuri wakati concentration ya majeshi ya Israel ilikuwa dhidi yake pale Sinai. Syria ilikumbana na resistance ya majeshi kidogo ya Israel na ilikuwa na numbers ikashindwa basic manouvers na uharaka. Ikapigwa ikakaribiwa kufika Damascus ikahaha ikaanza mazungumzo.

Syria karibia Hafez al-Assad hajapindua serikali waliishambulia Jordan kulazimisha agenda yao ya Wapalestina na majeshi ya Jordan yakawapiga vibaya na kuwadhibiti kabla Jordan hawajakimbilia kuomba security assurance kwa Israel.

Syria walipopata civil war waasi walikuwa na speed, jeshi lilihasi mno hasa 2011 na 2015. Namba kamiri haijulikani ila Syria ilipoteza almost nusu ya wanajeshi kwa utoro, kukimbia na kujiunga na magaidi. Kabla ya vita wapo wanajeshi zaidi ya 300,000 ila katikati ya vita wapo kama 150,000.

Ndio maana offensives nyingi Assad alipendelea makundi yanayomuunga mkono na si jeshi hasa. Jeshi lake alipenda kuliweka nje na frontline kama hamna ulazima maana hata kupigana lina performance ndogo. Hata Iran na Syria zilijua bora upigane alongside Hezbollah na makundi yanayounga mkono Assad kuliko ushirikiane na jeshi la Assad wanaweza kukuacha frontline wakajifiche.
Kiufupi Hezbollah ,IRGC na air support ya mrusi ndio ilikuwa factor ya Asad kushinda ile vita dhidi ya magaidi kama ISIS ,Al nusra na waaasi wengine tena wakiwa supported na mataifa makubwa yenye silaha kama Uturuki , Marekani nk
Kuna mauaji ya kimbari yalifanywa na hivyo vikundi vya kigaidi humo Syria ,maana walikuwa wanachinja sana raia kama kuku vile
Ground forces bila wanaume Hezbollah Asad wangemnywa supu hao magaidi nakwambia.
Ile vita ilikuwa ni moja ya vita ngumu na ndefu mno
Nashangaa mpumbavu leo hii anayediriki kuandika " Hezbollah magaidi , " ,au " Hezbollah wadhaifu "mtu huyu bila shaka ni mtu asiyeelewa anachoandika
Mtu akiandika hivi huwa natamani kumtemea mate usoni
 
Sasa hivi Syria umekuwa ni uwanja wa fujo Ndege za Marekani zinawasaidia Waasi na zinawashambula Wanamgambo wa Kishia wanaotoka Iraq pamoja na Majeshi ya Assad.

Ndege za Russia nazo zinawashambulia Waasi tena zinaruka chini chini.

Wananchi wa Syria wameanza kukimbilia ukimbizini wengine wameanza kukimbilia Lebanon.
 
Waasi wa Kisunni wamelivamia Gereza kuu la Aleppo na kuwafungulia Wanamgambo wa ISIS waliokuwa wamefungwa hapo.

Vita inazidi kuchukua mkondo wa Kigaidi.
Endeleeni kuwatetea hao vibaka na mabwana wao mnaowaabudu kama miungu yenu na kuwaita wapersia na Shiites magaidi .
Ngoja hao washenzi mercenaries wa US ,Israel ,Turkey ,Qatar ,Saudi nk watoke magerezani waingie mitaani ndio mtajua maana halisi ya magaidi ni ipi .
 
Endeleeni kuwatetea hao vibaka na mabwana wao mnaowaabudu kama miungu yenu na kuwaita wapersia na Shiites magaidi .
Ngoja hao washenzi mercenaries wa US ,Israel ,Turkey ,Qatar ,Saudi nk watoke magerezani waingie mitaani ndio mtajua maana halisi ya magaidi ni ipi .
Mgogoro wote huu lengo kuu ni kukata LINE inayotumiwa na Ayatolah kupeleka Silaha Lebanon kwa Hezbola na Hamas.
 
Mgogoro wote huu lengo kuu ni kukata LINE inayotumiwa na Ayatolah kupeleka Silaha Lebanon kwa Hezbola na Hamas.
Hakuna anaweza kumchallenge Ayatollah pale Syria, hao Wanajifurahisha TU watasanda wote ni suala la muda TU waasi wataitema
 
Kiufupi Hezbollah ,IRGC na air support ya mrusi ndio ilikuwa factor ya Asad kushinda ile vita dhidi ya magaidi kama ISIS ,Al nusra na waaasi wengine tena wakiwa supported na mataifa makubwa yenye silaha kama Uturuki , Marekani nk
Kuna mauaji ya kimbari yalifanywa na hivyo vikundi vya kigaidi humo Syria ,maana walikuwa wanachinja sana raia kama kuku vile
Ground forces bila wanaume Hezbollah Asad wangemnywa supu hao magaidi nakwambia.
Ile vita ilikuwa ni moja ya vita ngumu na ndefu mno
Nashangaa mpumbavu leo hii anayediriki kuandika " Hezbollah magaidi , " ,au " Hezbollah wadhaifu "mtu huyu bila shaka ni mtu asiyeelewa anachoandika
Mtu akiandika hivi huwa natamani kumtemea mate usoni

Mwenyezi Mungu ametuepusha na balaa kubwa.
ISIS hawakupaswa kupewa nafasi. Fanatics yao iligubikwa na ujinga, uhalifu na laana tupu.
Hawawezi kwenda kurithi mabikra 72 wale
 
Waarabu walikosea 1948. Walipoamua kuunda Taifa la Israel, waarabu wasingekataa kulitambua. Walifikiri wangeweza kulizamisha lisiendelee kuwepo.
Sababu ya kosa lile, na baadae PLO ya Arafat kukataa kuendelea na makubaliono ya Oslo bila kuachiwa Jerusalemu yote, leo hii sijui wataanzia wapi kubadilisha mambo mengi magumu yaliyotokea.
Israel ya Netanyahu itafeli nayo sababu wanataka waunde Israel based on the bible territories.
All in all, Jordan na Egypt wana peace treat na Israel. Saudia kwa siri wanasaidiwa na Israel ili Iran isiwazingue.
Kilichobaki wahamie Igunga, Nzega, Tabora, Ushirombo au kule Kayenze waendelee kujenga maisha
Waarabu hawakukataa kuitambua Israel bali walikataa reconciliation ya kwanza na ya pili na wakakubali ya tatu ambayo ndio hiyo Oslo accords japo ilikua too late.
Iran hana tabu na mtu ndio maana hata Qatar ameanza kumfungulia milango.
Ukibaraka wa Saudia ndio unamfanya ajitishe mwenyewe kuhusu Iran huku akiendekeza Ushia na usunni ilhali Iran imeshatoka huko.
 
Wewe na wenzako si ndio mliokuwa mnawaita washia magaidi na Iran ndio sponsor WA magaidi ? ,kila siku nikawa na waambia magaidi ni Israel, Marekani na machoko wenzao hao .
Nikawa nawaambia hebu leteni jina la gaidi hata mmoja wa kishia au incident ya ugaidi iliyofanywa na mshia .
Mkuu unabishana na huyo mwenye kichwa kisicho na ubongo!?
Usijikaushe nishati mwili bure.
 
Sunni hakuna mgawanyiko! Sunni inaundwa na ncha 4.

Hizi ncha zinaitwa madheheb, ndipo kuna Hanafi, Hanbali, Maliki na Shafii.

Hakuna mahali popote ukasikia hayo madheheb yamegombana, hakuna!
Tanzania na ukanda wa Afrika mashariki kwa ukubwa ni madheheb ya Shafii. Madheheb yaliyobakia ni yana wafuasi wachache kama shia, ibadhi n.k na hatujawahi kusikia hata siku moja wakigombana.

Sufi siyo dheheb, sufi ni mojawapo katika matawi ya elimu mtu anaamua kushughulika nayo! Wanasema sheria ni timilifu la kiwiliwili, Sufi ni timilifu la kiroho. Kwenye usufi wapo madheheb ya Shafii, Hanbali, Hanafi na Maliki. Wote utawakuta humo. Hilo ni tawi la elimu la tazkiya (elimu ya kuitakasa nafsi).

Kwenye usufi kuna madheheb napo!
Kuna Shisti, Naqshibandi, Sahrawardii, Qadir, Shadhalii n.k

Mtu anaweza akawa sunni na asiwe kwenye usufi n.k

Wahabi ndiyo Salafi na ndiyo Answar Sunna. Hayo majina yote yanawakilisha dhehebu moja Siyo dhehebu tofauti.

Hili dheheb lipo tofauti na madheheb yote ya juu niliyoyaorodhesha. Hili dheheb linapingana na madheheb yote ya hapo juu kwa namna yake. Na madheheb ya hapo juu yanapingana na Salafi au wahab kwa namna yao pia.

Kupingana kwao ni kielimu si kimapigano ya kimwili.

Na salafi au wahab wamegawanyika! Wapo ambao wenye msimamo mkali sana na wapo ambao wapo safi hawana matatizo yoyote kwenye jamii.

Tanzania na ukanda wa Afrika mashariki wengi wao ni Sunni madheheb ya Shafii, ambapo humo kwenye Usunni wapo ambao wanaofuata sufi.

Madheheb mengine ni Shia, Ibadh Wahab/Salaf n.k
Mufty uko wapi nikuletee sharubati ya tende!?
 
Huwezi kusikia Ulamaa yeyote akisema hadharani kwamba Al Nusra au Al-Shabaab wanapigana jihadi ya haki kwa sababu atawekwa kwenye us terror watch list na maisha yake yatakuwa magumu sana.
Kisheria hao sio wapigana jihad.
Shurti za jihad usiue wanawake na watoto na usiharibu miji.
Na jihad ina malengo yake sio kama hayo wanaopigana hao HTS.
Hao kisheria za kiislam wanafanya mauaji hiyo sio jihad.
 
Sunni hakuna mgawanyiko! Sunni inaundwa na ncha 4.

Hizi ncha zinaitwa madheheb, ndipo kuna Hanafi, Hanbali, Maliki na Shafii.

Hakuna mahali popote ukasikia hayo madheheb yamegombana, hakuna!
Tanzania na ukanda wa Afrika mashariki kwa ukubwa ni madheheb ya Shafii. Madheheb yaliyobakia ni yana wafuasi wachache kama shia, ibadhi n.k na hatujawahi kusikia hata siku moja wakigombana.

Sufi siyo dheheb, sufi ni mojawapo katika matawi ya elimu mtu anaamua kushughulika nayo! Wanasema sheria ni timilifu la kiwiliwili, Sufi ni timilifu la kiroho. Kwenye usufi wapo madheheb ya Shafii, Hanbali, Hanafi na Maliki. Wote utawakuta humo. Hilo ni tawi la elimu la tazkiya (elimu ya kuitakasa nafsi).

Kwenye usufi kuna madheheb napo!
Kuna Shisti, Naqshibandi, Sahrawardii, Qadir, Shadhalii n.k

Mtu anaweza akawa sunni na asiwe kwenye usufi n.k

Wahabi ndiyo Salafi na ndiyo Answar Sunna. Hayo majina yote yanawakilisha dhehebu moja Siyo dhehebu tofauti.

Hili dheheb lipo tofauti na madheheb yote ya juu niliyoyaorodhesha. Hili dheheb linapingana na madheheb yote ya hapo juu kwa namna yake. Na madheheb ya hapo juu yanapingana na Salafi au wahab kwa namna yao pia.

Kupingana kwao ni kielimu si kimapigano ya kimwili.

Na salafi au wahab wamegawanyika! Wapo ambao wenye msimamo mkali sana na wapo ambao wapo safi hawana matatizo yoyote kwenye jamii.

Tanzania na ukanda wa Afrika mashariki wengi wao ni Sunni madheheb ya Shafii, ambapo humo kwenye Usunni wapo ambao wanaofuata sufi.

Madheheb mengine ni Shia, Ibadh Wahab/Salaf n.k
Kheri hata wewe dini unaijua kuliko yule gaid FaizaFoxy gaidi wa kike asiye jua hata dini yake

Wewe mda siyo mrefu KRISTO YESU atakuwa mwokozi wako maana hauko mbali na kweli
 
Back
Top Bottom