Vita vya Syria vina mchanganyiko sana, ila dikteta Assad ni uovu wenye afadhali (lesser evil) kuliko waasi Wanajihadi

Ila we jamaa wewe
 
Wamefanikiwa kuuteka Mji wa Hama na sasa wanaelekea Homs😁

Kutokea Hama kwenda Homs ni Kilometa 44 nadhani kufikia kesho Vita vimehamia huko.

Wananchi wameanza kuikimbia Homs na kukimbilia Damascus.
Huu meaka umeondoka na damu nyingi sana za wasio na hatia kuanzia Cuba Hadi Caracas Venezuela
 

Tatizo hiyo dini iliyobuniwa na muarabu, imekua kero duniani kote.
 
Malysia, Indonesia na Brunei ni mataifa ambayo majority ni Wasuni, Bangladesh huwa kuna machufuko ya mara kwa mara kati ya Waislamu na Wahindu na Wabudha pia katika baadhi ya maeneo.
US na wapambe wanawaunga mkono wamng'oe jamaa na baada ya kumng'oa wakaanza mambo yao utawasikia wale wale wakiuliza imekuwaje taifa limefika pale dunia iuangane kuwapiga kama vile hawakujua walichokuwa wanakitengeneza.
 
Breaking; Waasi wameshika Mateka wengi katika mapigano ya Usiku wa kuamkia leo miongoni wa waliotekwa ni Wanamgambo wa Madhehebu ya Shia kutokea Iraq.

Msemaji wa Waasi anasema Upinzani umeanza kuwa mkali lakini Allah yuko na wao.

Source: Jaz English

Kwahiyo sasa Shia Millitias wameshapenya ndani ya Syria mbona tena na wao wanasarenda?!
 
IDF imeshambulia Daraja la mpakani na kukata mawasiliano baina ya Syria na Lebanon.

Mchezo umeisha kwa Ayatolah's Corridor 😂

Source:Aljazeera
 
Aondoke tu huyo fedhuli,amejaa damu za wananchi wake...Tena akipatikana hai akachinjwa itakuwa Bora zaidi
 

Daraja katika kituo cha mpaka wa Lebanon na Syria limeshambuliwa na kuteketezwa na Ndege za IDF na kukata mawasiliano ya Ardhini baina ya Ayatolah na Hezbola.
 
Nyinyi waafrika mna umoja?
 
Assad ni km Putin waliwanyima wamarekani ma western kuchimba mafuta/gas/madini ndio maana akapigwa jina la dictatorship ila undani wake nikuwanyima mali,as long as haupo na western majina yote ya kishenzi utapewa ni sawa na jiwe wa TZ alipokua anawanyima Mali walimwambia anaviolate human kwakua aliwanyima na kuwapiga vita, bukinafaso wao wameingia wanajeshi hakuna swali
 
Habari njema ni kuwa huyo fedhuli aliyeua maelfu ya raia wake,hayupo madarakani na kakimbilia kwa mabwana zake,asubiri kujibu mashtaka yake Kama sio hapa duniani basi kesho akhera
 
Habari njema ni kuwa huyo fedhuli aliyeua maelfu ya raia wake,hayupo madarakani na kakimbilia kwa mabwana zake,asubiri kujibu mashtaka yake Kama sio hapa duniani basi kesho akhera
Dikteta Assad.

Your browser is not able to display this video.



Ritz , FaizaFoxy
 
Hakunaga kitu wahabi, hilo neno ni kama mtu aseme plutnumz, mwingine aseme dangote, mwingine aseme mtoto wa Tandale mwingine aseme Simba, mwingine aseme Baba Tiffah wote wakilenga Diamond.
Kwa hiyo Salafy, Sunni walipewa hiyo a.k.a ya wahabi na watu wanaochukia itikadi zao, halafu tambua kuwa wahabi na hanafy ni watu Ulamaa wakubwa na siyo dhehebu/ sect.
Jitahidi ukiona jambo pitia maandiko ulichimbe vyema kuliko kulisha watu matango pori
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…