imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Ninachokiona kwa sasa umaarufu wa Magufuli umeshuka vibaya sana na kwenye Uchaguzi mkuu kama wasipouchafua basi anguko kuu laja swali ni je watakubali kuachia hatamu?
Au itatubidi turumie njia nyingine ili tuwang'oe ccm waliong'ang'ania madaraka
Au itatubidi turumie njia nyingine ili tuwang'oe ccm waliong'ang'ania madaraka