mlingoti west
JF-Expert Member
- Mar 16, 2020
- 252
- 195
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wetu Mimi na nani? Hivi mkiulizwa mnaongoza nchi huku mmefumba macho utasemaje?Lissu si ndio Mgombea wenu wa uraisi au ni Membe?
Wazir mkuu alienda kwenye daraja kule moro akaamua ya kuamua . Baada ya muda na raisi akaenda na kuamua ya kuamua kwenye hili ana muamini Pm kwakuwa linaua?Upuuzi mwingine bhana. Alafu kesho mtu kama wewe atakuja bishana na mtu kuwa oooh, urais ni taasisi.
hivi waziri mkuu ambaye alikabidhiwa rasmi hii ishu tena laivu hatukuona? Akaunda timu yake ya kuongoza juu ya hii ishu. Au ishu ni jamaa aoneoane tu ktk tv.? Dah!
Unamtetea Nahodha wa Chombo chetu?Wewe pia ni abiria?Sijaelwa unataka kusemaje hasa?
Nani kasema kakaimisha? Unavijua vyeo vya melini na kazi zake. Unamfahamu First Officer, Second Officer? Unafikiri huwa wanakaimishwa unahodha kisa tu nahodha kapumzika? Kama hujui, uliza weweeee!!!Kisheria Unahodha haukaimishwa hovyo hovyo,unakaimisha wakati wa mawimbi na kushika usukani chombo kikitulia majini?Huo Unahodha ni bora tukampatia hiyo kaimu kama anasifa,kama hana tupo Watanzania zaidi ya 50milioni tutachambua moja wetu atuongozee chombo chetu kitie nanga salama.
Tuchukue hatua.
Trump kila siku yupo kwenye TV akiimba taarab na kuwasuta waandishi wa habari. Usiku anakesha Twitter akiwachamba magavana wanaomtaka atume vifaa na dawa kwenye majimbo yao.Nyie mifano yenu si mnatoa kwa Trump? Haya Trump kila siku yuko on air akitolea ufafanuzi janga kwa wamarekani.
November hakuna uchaguzi.Ninachokiona kwa sasa umaarufu wa Magufuli umeshuka vibaya sana na kwenye Uchaguzi mkuu kama wasipouchafua basi anguko kuu laja swali ni je watakubali kuachia hatamu?
Au itatubidi turumie njia nyingine ili tuwang'oe ccm waliong'ang'ania madaraka
Mnataka aje Dar? Akipata korona akifa sasa mtaongozwa na nani? Mwacheni akajifiche mpaka Korona iishe aje awaongoze vizuri.mi sitaki utani nambieni Rais yuko wapi sisi ndiyo tumemwajiri mbona hayuko kazini
1978 kwenye vita vya kagera sokoine akiwa Prime Minister alikabidhiwa majukumu mengi ila Nyerere alikuwa anatoa update kila sikuUpuuzi mwingine bhana. Alafu kesho mtu kama wewe atakuja bishana na mtu kuwa oooh, urais ni taasisi.
hivi waziri mkuu ambaye alikabidhiwa rasmi hii ishu tena laivu hatukuona? Akaunda timu yake ya kuongoza juu ya hii ishu. Au ishu ni jamaa aoneoane tu ktk tv.? Dah!
SamiaMnataka aje Dar? Akipata korona akifa sasa mtaongozwa na nani? Mwacheni akajifiche mpaka Korona iishe aje awaongoze vizuri.
anazungumzia lockdown siyo Waziri mkuu, kwani PM ana uwezo wa kuamuru city lockdown?Upuuzi mwingine bhana. Alafu kesho mtu kama wewe atakuja bishana na mtu kuwa oooh, urais ni taasisi.
hivi waziri mkuu ambaye alikabidhiwa rasmi hii ishu tena laivu hatukuona? Akaunda timu yake ya kuongoza juu ya hii ishu. Au ishu ni jamaa aoneoane tu ktk tv.? Dah!
Na muendelee kuchapa kazi na msitishike kwa mimi kujilockdown with my wife huku chatogani.