General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Nahodha kasema tusali siku tatu....
Lakini bado hajatoa muongozo baada ya siku tatu tufanye nn?....
Kiukweli naona meli inakwenda mrama lkn nahodha hana habari....
Nahodha kanywa mataputapu, kalewa chakari....
Wasaidizi wake wa chombo nao wamelewa zaidi ya nahodha...
Nani atakiokoa chombo?
Au tuzame tu mana wengine hatuna cha kupoteza???
Lakini bado hajatoa muongozo baada ya siku tatu tufanye nn?....
Kiukweli naona meli inakwenda mrama lkn nahodha hana habari....
Nahodha kanywa mataputapu, kalewa chakari....
Wasaidizi wake wa chombo nao wamelewa zaidi ya nahodha...
Nani atakiokoa chombo?
Au tuzame tu mana wengine hatuna cha kupoteza???