Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema bhana yaani maoni ya TL yamekuwa maoni ya wananchi. Anaongea hivyo mtu ambaye yuko kwny sebule brussels
😁😁😁🤣🤣Tangu March 28, 2020 alipoonekana Chato akinywa kahawa, hadi leo hajatoka. Pasaka kailia nyumbani, mwezi sasa unakaribia kukata akiwa likizo. Je, huwa ana likizo ya siku ngapi?
Ni jambo jema lakini katika hali kama hii, yeye kama namba moja inabidi awe mfano katika mapambano haya akiwa ikulu ya Dar es salaam kwasababu hajatangaza kuhamia rasmi Dodoma.
Tunakuomba uige kwa Mseven, kwa Kenyatta, pia kwa John Trump wa USA.
View attachment 1425111
Tumeshauriwa kuwa tufanye kazi tukiwa nyumbani zaidi. Kwanza kwa sasa hakuna tena wageni wengi kutoka ubalozi wowote. Watakuja na nini nasi tumefunga viwanja vyetu kwa International flights??Kusema kweli mh Rais anafanya nini nyumbani?
Tangu March 28, 2020 alipoonekana Chato akinywa kahawa, hadi leo hajatoka. Pasaka kailia nyumbani, mwezi sasa unakaribia kukata akiwa likizo. Je, huwa ana likizo ya siku ngapi?
Ni jambo jema lakini katika hali kama hii, yeye kama namba moja inabidi awe mfano katika mapambano haya akiwa ikulu ya Dar es salaam kwasababu hajatangaza kuhamia rasmi Dodoma.
Tunakuomba uige kwa Mseven, kwa Kenyatta, pia kwa John Trump wa USA.
View attachment 1425111
Kwanini asingeenda kuongoza huko mkoani wakati hamna Corona? Huyu kakiimbia covid19 msituzuge hapaaAnaweza kuongoza akiwa sehemu yoyote Tanzania sio lazima Dar au Dodoma tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaaa...wananchi tunaomba wanaohusika na ulinzi wa Rais washikilie hapohapo, ikiwezekana waweke hata ndani kabisa asitoke, washenzi wanaudhi sana hawa.
Nani kakwambia kahawa kwareama hainywewi?3Arafu kanywa kahawa kipindi cha kwaresma.hapohapo anatuambia tumuombe mungu.sijui mungu gani anae muabudu yeye.hata kufunga alishindwa.
Hii kauli inaanza lini kutumika?Anaweza kuongoza akiwa sehemu yoyote Tanzania sio lazima Dar au Dodoma tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kusema kweli mh Rais anafanya nini nyumbani?
Hahaha! Wewe utakufa na presha kama corona haitakupitia.Wewe unaona anaongoza? Rais wetu ameamua tufe. Namchukia kuzidi kifani!
Ushuzi mtupuTangu March 28, 2020 alipoonekana Chato akinywa kahawa, hadi leo hajatoka. Pasaka kailia nyumbani, mwezi sasa unakaribia kukata akiwa likizo. Je, huwa ana likizo ya siku ngapi?
Ni jambo jema lakini katika hali kama hii, yeye kama namba moja inabidi awe mfano katika mapambano haya akiwa ikulu ya Dar es salaam kwasababu hajatangaza kuhamia rasmi Dodoma.
Tunakuomba uige kwa Mseven, kwa Kenyatta, pia kwa John Trump wa USA.
View attachment 1425111
Kwani Chato sio Tanzania ?Wewe maoni yako ni yepi kuhusu Rais kukaa Chato huku taifa liko kwenye majanga?
Tena Buhari na afya yake! Mungu amjalie afya asiiweke Naijeria katika majaribuMsimuonee bure rais jamani. Kovidi inatisha. Rais wa Nigeria ndugu Mohamadou Buhari naye kajificha pamoja na makamu wake. Haijulikani kama nao wamenasa kwasababu marehemu chief of staff Abba Kyari aliyefariki kwa kovidi alikutana nao alipotoka Ujerumani. Yani Safu ya viongozi wote wa juu wako Hibernation.
Hii kitu inatisha isikie tu, policcm hawezi kusaidia ni kujificha tu kwenye maandaki.
Kwahiyo ukifunga una kunywa kamakawaida.?Nani kakwambia kahawa kwareama hainywewi?3