Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,263
Sasa nani anampikia kahawa masikini huyuNaskia chato kai lockdown hakuna bunadamu yyte kuingia.Natamani kma corona ingempata huyu jamas aonje joto ya jiwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa nani anampikia kahawa masikini huyuNaskia chato kai lockdown hakuna bunadamu yyte kuingia.Natamani kma corona ingempata huyu jamas aonje joto ya jiwe
Unajua maana ya kufunga? Na unafahamu nini maana ya kufunga?Kwahiyo ukifunga una kunywa kamakawaida.?
Kwani Chato sio Tanzania ?
Sema kikundi Cha wahuni wa mtaa ufipa wakiongozwa na TRAITOR tindo lisoTangu March 28, 2020 alipoonekana Chato akinywa kahawa, hadi leo hajatoka. Pasaka kailia nyumbani, mwezi sasa unakaribia kukata akiwa likizo. Je, huwa ana likizo ya siku ngapi?
Ni jambo jema lakini katika hali kama hii, yeye kama namba moja inabidi awe mfano katika mapambano haya akiwa ikulu ya Dar es salaam kwasababu hajatangaza kuhamia rasmi Dodoma.
Tunakuomba uige kwa Mseven, kwa Kenyatta, pia kwa John Trump wa USA.
View attachment 1425111
Ni vyema akaonekana kama vaba wa nyumbani hata kama hataki kutenda kama amiri jeshi katika mapambano! Unesema vyema kwamba korona ni ya dunia nzima na tumeona vikevile dunia nzima viongozi wa kuu wanavyoshughulika.Watu Wawili wanastahili Kuwawakilisha Wananchi wote 55+ Million waliopo Tanzania? Halafu hakuna Rais Mseven kama ulivyoandika hapa bali kuna Rais Museveni. Vilevile haijaandikwa mahala popote pale kwamba ni lazima Rais fulani amuige Rais mwingine hasa katika Kukabiliana na Janga hili baya la CORONA. Anaweza akawa kweli hajitokezi Kuzungumza na Wananchi ila akawa anatoa Maelekezo yake ya uhakika kwa Wasaidizi wake hao akina Majaliwa na Ummy na bado mambo yakawa yanaenda vile inavyotakiwa. Halafu Watanzania hatuhitaji Rais ajitokeze hovyo hovyo bali tunahitaji Mikakati Madhubuti ya Serikali kwa Kushirikiana na Wadau juu ya Kulikabili hili tatizo. Na tunaposema kuwa Rais hajitokezi hadharani Kipindi hiki cha hili Janga sidhani kama ni kweli au tunamtendea haki kwani hata hapa juzi kati tu alijitokeza akiwa huko aliko na Kuligusia hili Suala ( Janga ) na Kulitolea Ufafanuzi na hadi Maelekezo mapya. COVID-19 si ya Magufuli pekee bali ni ya Watanzania, wana Afrika Mashariki, wana Afrika na Ulimwengu mzima. Ni kweli Rais Dkt. Magufuli kama Binadamu anaweza akawa na Mapungufu yake ila nasi hasa ( Wanasiasa wa Upinzani ) na Wanaomchukia kwasababu zao / zetu tu Binafsi tumezidi Kumtupia Lawama na Kumshutumu kupita Kiasi.
Vutuko [emoji23][emoji1787][emoji2960][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wananchi wanatoa likizo kwa mheshimiwa rais, umewaona?
Naskia chato kai lockdown hakuna bunadamu yyte kuingia.Natamani kma corona ingempata huyu jamas aonje joto ya jiwe
Ikitokea nikapata dalili nitaenda kutalii burigi na rubondo ili angalau nimsogezee karibu...hili tatizo ni letu sote😀Naskia chato kai lockdown hakuna bunadamu yyte kuingia.Natamani kma corona ingempata huyu jamas aonje joto ya jiwe
Labda maoni ya ufipa sioMaoni ya lissu Ni maoni ya watanzania wengi
Hili swali nimekuuliza wewe?
Sio kosa lake katumwa na kakikundi ka wahuni pale mtaa wa ufipaYaani nchi hii inavyoonekana kumekuwa na wavulana wengi.sana kuliko watu wazima yaani kakijisikia kujamba kanajamba tu bila mpangilio. Hivi mtu mzima unaweza ukaja na kapost kama haka eti wananchi? Hivi siku hizi tuwatu tuwili tukitengeneza kaigizo kao kakijinga unakuja na kapost eti wananchi wamesema. Hivi huwa mnatafakari kabla ya kupost. Hivi kumbe likizo ya rais huwa inapangwa na wananchi? Hata kama humtaki huyu rais mpe tu heshima yake maana huwezi badiri kitu chochote atabaki kuwa rais tu. Pole
Ulitaka akufanyaje akuweke karantini akupe chakula au akufanyeje dadaWewe unaona anaongoza? Rais wetu ameamua tufe. Namchukia kuzidi kifani!
Wakiristo kwani wanafungaje?Arafu kanywa kahawa kipindi cha kwaresma.hapohapo anatuambia tumuombe mungu.sijui mungu gani anae muabudu yeye.hata kufunga alishindwa.
Kwani akikaa dar virusi vitakufa au itakufanya usidange?Wewe maoni yako ni yepi kuhusu Rais kukaa Chato huku taifa liko kwenye majanga?
Mwenye akili tu atakuelewa mkuuWatu Wawili wanastahili Kuwawakilisha Wananchi wote 55+ Million waliopo Tanzania? Halafu hakuna Rais Mseven kama ulivyoandika hapa bali kuna Rais Museveni. Vilevile haijaandikwa mahala popote pale kwamba ni lazima Rais fulani amuige Rais mwingine hasa katika Kukabiliana na Janga hili baya la CORONA. Anaweza akawa kweli hajitokezi Kuzungumza na Wananchi ila akawa anatoa Maelekezo yake ya uhakika kwa Wasaidizi wake hao akina Majaliwa na Ummy na bado mambo yakawa yanaenda vile inavyotakiwa. Halafu Watanzania hatuhitaji Rais ajitokeze hovyo hovyo bali tunahitaji Mikakati Madhubuti ya Serikali kwa Kushirikiana na Wadau juu ya Kulikabili hili tatizo. Na tunaposema kuwa Rais hajitokezi hadharani Kipindi hiki cha hili Janga sidhani kama ni kweli au tunamtendea haki kwani hata hapa juzi kati tu alijitokeza akiwa huko aliko na Kuligusia hili Suala ( Janga ) na Kulitolea Ufafanuzi na hadi Maelekezo mapya. COVID-19 si ya Magufuli pekee bali ni ya Watanzania, wana Afrika Mashariki, wana Afrika na Ulimwengu mzima. Ni kweli Rais Dkt. Magufuli kama Binadamu anaweza akawa na Mapungufu yake ila nasi hasa ( Wanasiasa wa Upinzani ) na Wanaomchukia kwasababu zao / zetu tu Binafsi tumezidi Kumtupia Lawama na Kumshutumu kupita Kiasi.
Ni vyema akaonekana kama vaba wa nyumbani hata kama hataki kutenda kama amiri jeshi katika mapambano! Unesema vyema kwamba korona ni ya dunia nzima na tumeona vikevile dunia nzima viongozi wa kuu wanavyoshughulika.