mr chopa
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 5,297
- 13,678
Wachaga tupo hapa kumwakilisha mwenyekiti wetu wa Sacco'sWasukuma tupo hapa kumtetea rais by gwajima.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachaga tupo hapa kumwakilisha mwenyekiti wetu wa Sacco'sWasukuma tupo hapa kumtetea rais by gwajima.
Eti na wewe ni baba umeoa?kabisaaaa!?maajabu!pumbaf kasoro mkia weweItakupata wewe na mumeo na vifaranga vyako.
Tena hata mkipona mbaki kama MAZOMBI.
Pumbavu.
Ufipa ndio walivyo tuambiaNani kakwambia kahawa kwareama hainywewi?3
Tafuta sehemu uende hulazimishwi kukaa TZWewe unaona anaongoza? Rais wetu ameamua tufe. Namchukia kuzidi kifani!
Ukiwa kwenye siku zako jaribu kuwa mtulivu ukiwa unapenda kuropoka hovyo utazipitilizaNaskia chato kai lockdown hakuna bunadamu yyte kuingia.Natamani kma corona ingempata huyu jamas aonje joto ya jiwe
Sio ikupate ww kwanzaNaskia chato kai lockdown hakuna bunadamu yyte kuingia.Natamani kma corona ingempata huyu jamas aonje joto ya jiwe
Nadhani anafanya utalii wa ndani. Wale wanyama tuliwahamishia kule wameshaanza kuzalianaWewe maoni yako ni yepi kuhusu Rais kukaa Chato huku taifa liko kwenye majanga?
Eti na wewe ni baba umeoa?kabisaaaa!?maajabu!pumbaf kasoro mkia wewe
Kweli aisee,yale ndio anayo yaamini kuliko yote.na akisikia kuna babu anatoa chanjo ya corona naona yeye atakuwa wakwanza kufika.atapiga ban wote ilimladi yeye awe wa kwanza.Ushasahau alishakunywa kikombe cha babu wa Loliondo?
Unajua maana ya kua raia namba moja wa nchi? ni zaidi ya Askari potea.[/QUOTE]Akipata corona atapona kweli.tuseme tu ule ukweli ingekua wewe ungerudi Dar??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani hujipendi
Arafu kanywa kahawa kipindi cha kwaresma.hapohapo anatuambia tumuombe mungu.sijui mungu gani anae muabudu yeye.hata kufunga alishindwa.
Nadhani anafanya utalii wa ndani. Wale wanyama tuliwahamishia kule wameshaanza kuzaliana
Hahaha! Wewe utakufa na presha kama corona haitakupitia.
Yaani huyo rais ndo kwanzaaa anaitafuta nusu ya miaka kumi!!
Wewe kwa hiyo roho yako NGOZI ITAKUBANA MPAKA ITACHANIKA. Yeye yupo sanaa.
Ww kama mtz unaeipenda nchi yako umechukua hatua gani baada ya kuona wakenya wengi wanaingia huko Mara?Nataman kuandika kitu ila nasita
Ila kiuhalisia hali n mbaya tena huku mara wakeny wanaingia sana tanzania sijui huyu rais wetu na watu wake kama wana akili timamu bas tu
Bora uzee kuliko uzembe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mantiki hiyo, je ikulu si salama?tuseme tu ule ukweli ingekua wewe ungerudi Dar??? 😂😂😂😂
Kwani hujipendi
Kwahiyo unatakusema kuwa afya yake mgogolo.
Mkuu wa kaya,baba mwenye nyumba ukipenda muite jiwe juu ya mawe.Kwani tunamwongelea nani.?