Vita ya Corona: Nahodha wetu katelekeza chombo Baharini, tutaponaje?

Vita ya Corona: Nahodha wetu katelekeza chombo Baharini, tutaponaje?

Alisema anauwezo wa kuongoza hadi malaika, na sasa haijulikani hata chimbo alilojificha...
 
Ww kama mtz unaeipenda nchi yako umechukua hatua gani baada ya kuona wakenya wengi wanaingia huko Mara?

Sent using Jamii Forums mobile app
Anamsubiria mheshimiwa aende akawazuie, azuie Corona sijui kwa mkono,amwambie akae ndani na familia yake, avae barakoa pia dah! kutawala watanzania wanafiki kazi sana.

Hii nchi ina viumbe wagumu na wavivu kufikiri yaani wanapenda kufikiliwa kwa kila kitu hadi kuvaa barakoa aseme RC ndio wanavaa
 
Mnamsema sema rais wetu yupo likizo ndefu maana huu mwaka kuna mchakamchaka wa uchaguzi muacheni msimtie presha 😂
 
Kumbukeni kuwa Magufuli ni muumini wa siasa za Ujamaa. Amejifunza kwa uchina na Urusi ambao viongozi walijitokeza baadaye sana au kutoka na dhana za kujilinda kama Putin.

Tumemwajiri ndio, lakini jiulize tu ikitokea nchi ikawa inazama kwenye maji na kuna ndege, unafikiri nani wa kwanza kuchukuliwa? Mfalme siku zote hupewa sifa ya ufalme
 
yaani hata misikiti na makanisa yote yangefungwa maana hii ni hatat, Nadhani tupo katika exponential growth phase
 
Arafu kanywa kahawa kipindi cha kwaresma.hapohapo anatuambia tumuombe mungu.sijui mungu gani anae muabudu yeye.hata kufunga alishindwa.
Aje amelogwa? Kile kifaa kikipata even a single one virus, gone!
 
Yupo lockdown watanzania chapeni kazi chukueni tahadhali mzingatie maelekezo ya wataalam wa afya! Nadhan kauli Kama hii ukiidadavua kwaa umakini huna haja ya kulialia mzee yupo wapi yeye kashachukua tahadhali wewe je! Kazi ni kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangu March 28, 2020 alipoonekana Chato akinywa kahawa, hadi leo hajatoka. Pasaka kailia nyumbani, mwezi sasa unakaribia kukata akiwa likizo. Je, huwa ana likizo ya siku ngapi?

Ni jambo jema lakini katika hali kama hii, yeye kama namba moja inabidi awe mfano katika mapambano haya akiwa ikulu ya Dar es salaam kwasababu hajatangaza kuhamia rasmi Dodoma.

Tunakuomba uige kwa Mseven, kwa Kenyatta, pia kwa John Trump wa USA.

View attachment 1425111
Umem miss eeh?
 
Tangu March 28, 2020 alipoonekana Chato akinywa kahawa, hadi leo hajatoka. Pasaka kailia nyumbani, mwezi sasa unakaribia kukata akiwa likizo. Je, huwa ana likizo ya siku ngapi?

Ni jambo jema lakini katika hali kama hii, yeye kama namba moja inabidi awe mfano katika mapambano haya akiwa ikulu ya Dar es salaam kwasababu hajatangaza kuhamia rasmi Dodoma.

Tunakuomba uige kwa Mseven, kwa Kenyatta, pia kwa John Trump wa USA.

View attachment 1425111
Ni Donald Trump SIO John Trump

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yupo lockdown watanzania chapeni kazi chukueni tahadhali mzingatie maelekezo ya wataalam wa afya! Nadhan kauli Kama hii ukiidadavua kwaa umakini huna haja ya kulialia mzee yupo wapi yeye kashachukua tahadhali wewe je! Kazi ni kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania tuamue kujifungia wenyewe kwa sababu watawala hawapo tayari kuwaambia Hivyo. Wao wameshajifungia,Nahodha wetu ni mfano maana sasa ni dhahiri kajitosa.Chombo chaenda mrama.
 
Ukiwa kwenye siku zako jaribu kuwa mtulivu ukiwa unapenda kuropoka hovyo utazipitiliza
Mie haziwezi kupitiliza kama zinazopitiliza zako na za mkeo mana wote mnapitiamo umo umo so mme na mke haijulikani ni yupi
 
Back
Top Bottom