Vita ya Corona: Nahodha wetu katelekeza chombo Baharini, tutaponaje?

Vita ya Corona: Nahodha wetu katelekeza chombo Baharini, tutaponaje?

Kichuguu,
Inavyosomeka huku uraiani ni kuwa mkuu ana mbinu zake, na Ummy ana mbinu zake. PM yupo kati.

Kama Brazil vile! Mkuu (au muda mwingine PM) angesimama na Ummy na mganga mkuu wa taifa. Mtaalamu wa afya aongelee mbinu za kitabibu na upande wa serikali kuelezea mchakato wa utekelezaji.

Kwa sasa Ummy anakomaa kutoa taarifa na kusisitiza yaleyale ili hali game inazidi kuwa tight, huku tunaambiwa tusali siku tatu.
 
Nahodha wetu tunaambiwa yupo mapumzikoni,je tukisema kajitosa baharini na kutuachia chombo kielee kwenda kuzama tunakosea?
Kakorona ni kaugonjwa kadogo!



Tuamini kuwa tupo salama?Tuamini kuwa Nahodha hajajitosa na kuacha chombo katikati ya mawimbi makali?
Wakazi wa Dar tusiwe na hofu, tuko katika mikono salama!



Gellangi, sina la kusema...! Mpwa kakabidhiwa chombo na yuko usukani!
 
Upuuzi mwingine bhana. Alafu kesho mtu kama wewe atakuja bishana na mtu kuwa oooh, urais ni taasisi.
hivi waziri mkuu ambaye alikabidhiwa rasmi hii ishu tena laivu hatukuona? Akaunda timu yake ya kuongoza juu ya hii ishu. Au ishu ni jamaa aoneoane tu ktk tv.? Dah!
Acha kupaniki ngosha, relax swali, Magufuli anafanya nini chato???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gellangi,
Akili za Kimburula kweli, Wewe umeanza lini kumchagulia Nohodha mahali pa Kukaa. Mbona Tundu yupo ulaya na kutwa anashinda JF kupitia comment na anagundua kumbe wanaomsifia ni Bavicha Tu.

Nchi Jirani walianza lockdown kabla ya Corona kusambaa mbona wana Idadi ya kutisha. Tundu acha kutupangia Maisha wakati upo Karantini.
 
Corona bila lockdown itatumaliza, ilikuwa Arusha, Dar na Zanzibar hatukuona haja ya lockdown eti tutakufa njaa. Sasa tuna wagonjwa mikoani na hakuna kinachoonekana kufanyika, hatujaamua bado kulock maeneo yenye wagonjwa.
Si ujilock down wewe mwenyewe?
Jiweke tu ndani mpaka ugonjwa uishe,hakuna wa kukuzuia,acha kulalamika
 
Kuna mwongoza mtumbwi mmoja aliulizwa swali na abiria wake Kama Ana degree kuendedha chombo chake, yeye akajibu tu Hana. Baadaye akashushiwa swali lingine, Kama huna degree unawezaje kuendedha chombo hiki, yeye akatikisa kichwa safari ikaendelea. Walipofika katikati ya maji marefu Mara ghafla Hali ikabadilika. Upepo mkali ukaanza kuvuma.

Mvuvi akajitahidi kwa kadri alivyoweza na ilpobadilka kuwa mbaya zaidi akamgeukia abiria wake na kumuuliza Kama anaweza kuogelea. Abiria akajibu kuwa hawezi, mvuzi akamrudishia swali lake, si una digrii.

Sasa tujifunze kuwa dhamana ya afya yako Ni wewe mwenyewe kufuata masharti na kuzingatia maelekezo. Tuachane na ama Fulani Yuko wapi atatuokoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpuuzi
Nadhan upuuzi ni yule anayetetea upuuzi, nakufananisha wewe na baba wa familia kukimbia nyumba yake ikipata matatizo huku ukiwatumia msg za kukatisha tamaa kuwa familia ianze kufanya maombi, wakati ulikuwa na nafasi ya kuikinga familia yako
Mpuuzi mwingine huyu hapa. Ulitaka umwone JPM akiwa maabara anapima sampuli yako ndo ujue yupo kazini? Hovyo kabisa
 
Akili za Kimburula kweli, Wewe umeanza lini kumchagulia Nohodha mahali pa Kukaa. Mbona Tundu yupo ulaya na kutwa anashinda JF kupitia comment na anagundua kumbe wanaomsifia ni Bavicha Tu.
Nchi Jirani walianza lockdown kabla ya Corona kusambaa mbona wana Idadi ya kutisha. Tundu acha kutupangia Maisha wakati upo Karantini.
Tazama idadi ya wanaopona mbwiga wewe ukitoa unaona kabisa tumewaacha mbali sana kwa wanaoumwa
 
Sehemu kama hizi ndio wanakumbukwa watu mahiri kama kina Mkapa na Jakaya.

Mwenyezi Mungu atulinde na kutuondolea janga hili kwetu na Duniani.
 
Mpuuzi

Mpuuzi mwingine huyu hapa. Ulitaka umwone JPM akiwa maabara anapima sampuli yako ndo ujue yupo kazini? Hovyo kabisa
Ficha ujinga wako usiidhalilishe familia yako, huu ndio wakati alitakiwa awe mstari wa mbele sio kwenda kujificha huko alipo ameonyesha hatufai.

kwenye maandamano ya chadema huwa mnajikamua kupiga kelele kina mbowe wakae mstari wa mbele. Leo vipi m'mejisahau na hako kaslogan maandazi chenu, usijikakamue wakati unaumwa tumbo la kuharisha..
 
Imhotep was an Egyptian chancellor to the pharaoh Djoser, probable architect of the Djoser's step pyramid, and high priest of the sun god Ra at Heliopolis. Very little is known of Imhotep as a historical figure, but in the 3000 years following his death, he was gradually glorified and deified.Wikipedia

Born: Memphis

Died: Ancient Egypt

Parents: Kanofer, Kheredu-ankh

Ninachokiona kwa sasa umaarufu wa Magufuli umeshuka vibaya sana na kwenye Uchaguzi mkuu kama wasipouchafua basi anguko kuu laja swali ni je watakubali kuachia hatamu?

Au itatubidi turumie njia nyingine ili tuwang'oe ccm waliong'ang'ania madaraka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kimbori,
Tunaposema Nahodha kateleke,a chombo hatukosei,huu ndiyo ulikuwa wakati wa kutuongoza nakuonyesha umahiri wake,ila Nahodha wetu kaenda zake bila kujali kama tutazama na chombo au la!Haijalishi kamwachia msaidizi gani haijalishi.

Yeye ndiye tulimkabidhi usukani.Manahodha wa vyombo vingine huku baharini wapo ndani ya vyombo vyao,wakwetu pekee ndiyo kajitosa.Tunamhitaji Nahodha Mwenyewe,Shujaa,Jemedari...Si vinginevyo,
 
NTWA MWIKEMO,
Kama hizi ndiyo akili za watetezi wa Nahodha,sina shaka tena kwa nini kajitosa.Amekutuma kumtafuta Mh.Lissu?Huyo ndiyo Nahodha ajaye,mbona hamjiamini?

Kwa hiyo kila anayemtafuta Nahodha mnadhani ni Lissu.

Suala LA Mh.Lissu kuwa karantini au LA anafahamu Dr wake,je Nahodha wetu naye yupo huko?
 
Kama hiz
Kama hizi ndiyo akili za watetezi wa Nahodha,sina shaka tena kwa nini kajitosa.Amekutuma kumtafuta Mh.Lissu?Huyo ndiyo Nahodha ajaye,mbona hamjiamini?Kwa hiyo kila anayemtafuta Nahodha mnadhani ni Lissu.
Suala LA Mh.Lissu kuwa karantini au LA anafahamu Dr wake,je Nahodha wetu naye yupo huko?
Mwisho usipende kutukana wenzio,utakuwa na Tabia mbaya,nitakusemelea kwa babako.
 
Back
Top Bottom