Nadhan upuuzi ni yule anayetetea upuuzi, nakufananisha wewe na baba wa familia kukimbia nyumba yake ikipata matatizo huku ukiwatumia msg za kukatisha tamaa kuwa familia ianze kufanya maombi, wakati ulikuwa na nafasi ya kuikinga familia yakoUpuuzi mwingine bhana. Alafu kesho mtu kama wewe atakuja bishana na mtu kuwa oooh, urais ni taasisi.
hivi waziri mkuu ambaye alikabidhiwa rasmi hii ishu tena laivu hatukuona? Akaunda timu yake ya kuongoza juu ya hii ishu. Au ishu ni jamaa aoneoane tu ktk tv.? Dah!
Labda atakuwa nahodha hewa,aliwahi kusema nchi hii kila kitu ni hewa,so usishangae nae akawa hewa
Acha utoto basi mkuu!! Hivi ikitokea vita atakabidhiwa waziri? Rais katoroka dsm na kujifungia chato inatoa picha gani kwa watu wake?Upuuzi mwingine bhana. Alafu kesho mtu kama wewe atakuja bishana na mtu kuwa oooh, urais ni taasisi.
hivi waziri mkuu ambaye alikabidhiwa rasmi hii ishu tena laivu hatukuona? Akaunda timu yake ya kuongoza juu ya hii ishu. Au ishu ni jamaa aoneoane tu ktk tv.? Dah!
Kwa hiyo sehemu za kujitafutia umaarufu wa kijinga nahodha huwa hakosekani ila sehemu za kutangaza na kupambana na vifo anakula nduki. Alituaminisha ni kiongozi wa wanyonge, corona imekuja kakimbia mji kwa muda usiojulikanaUpuuzi mwingine bhana. Alafu kesho mtu kama wewe atakuja bishana na mtu kuwa oooh, urais ni taasisi.
hivi waziri mkuu ambaye alikabidhiwa rasmi hii ishu tena laivu hatukuona? Akaunda timu yake ya kuongoza juu ya hii ishu. Au ishu ni jamaa aoneoane tu ktk tv.? Dah!
Waambie hao..yaani awaoni kua na Trump au Xin Ping yupo nyumbani kabisa wala uwezi kumuona kwenye TV eti akiongelea Covid-19.Achana na wanaufipa haoUpuuzi mwingine bhana. Alafu kesho mtu kama wewe atakuja bishana na mtu kuwa oooh, urais ni taasisi.
hivi waziri mkuu ambaye alikabidhiwa rasmi hii ishu tena laivu hatukuona? Akaunda timu yake ya kuongoza juu ya hii ishu. Au ishu ni jamaa aoneoane tu ktk tv.? Dah!
Mimi simfananishi na nahodha wa chombo mimi namfananisha na dereva wa bajaji ambae ameona simba mbele yake ameachia usukani na kukimbilia siti ya nyuma huku yaani amekimbia majukumu yake
Hilo wanalifahamu fika ya kuwa hawana ushawishi ndiyo sababu wanatenda mambo bila weledi wowote.Ninachokiona kwa sasa umaarufu wa Magufuli umeshuka vibaya sana na kwenye Uchaguzi mkuu kama wasipouchafua basi anguko kuu laja swali ni je watakubali kuachia hatamu?
Au itatubidi turumie njia nyingine ili tuwang'oe ccm waliong'ang'ania madaraka
Hivi Tundu Lissu atarudi kweli "kugombea urais"?Mimi simfananishi na nahodha wa chombo mimi namfananisha na dereva wa bajaji ambae ameona simba mbele yake ameachia usukani na kukimbilia siti ya nyuma huku yaani amekimbia majukumu yake
Habari za Mh.Lissu zimeingiaje hapa kwenye Uzi wa Nahodha kujitosa Maji ya kina na kuacha chombo bila mwongozo?Hivi Tundu Lissu atarudi kweli "kugombea urais"?
Lissu si ndio Mgombea wenu wa uraisi au ni Membe?Habari za Mh.Lissu zimeingiaje hapa kwenye Uzi wa Nahodha kujitosa Maji ya kina na kuacha chombo bila mwongozo?
Usitutoe relini,tuambie kama umekutana na Nahodha tuliyemkabidhi chombo atuvushe ng'ambo?Huku chomboni hatunaye.